Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Sasa nyumba umejenga mwenyewe lakini unaiogopa mpaka unakaa masaa sita kati ya 24 mbona unajitesa sana
 
Umenena kweli hii Inanifanya nimkumbuke sana mama yangu marehemu na dada yangu,😯inafikirisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…