Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Kikubwa umeoa mwanamke wa namna gani, kama mnaelewana vizuri na mnashirikishana utafurahia maisha, mishahara yenu mnaijumuisha na kuipangia matumizi, ila usisahau kuwa wanawake wanamahitaji makubwa kuliko sisi hehe lazima awe na ziada
Nakuelewa zaidi maana nimeshaexperience haya. Na hapo ndipo mwanaume unatakiwa kutumia akili zaidi
 
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Sikumaanisha kufa, bali ajali, kuumwa, redundancy kazini, kuwa fired.
Kwenye suala la ku enjoy nakuunga mkono
Maana kwenye mipango yako kifo sio kitu ya kuacha na ukikumbuka kuna kufa basi uwezi acha kufurahi
 
Unaonaje hao bint zako unaowapenda wakija kusogezwa na kijana wa hovyo huku wewe baba yao ukiwa unajua hilo, Nafikiri itakuwa hivyo maana mchezo wote huwa ni hapa hapa duniani. tunataka kujua reaction yako
Haipunguzi ukweli wala hainifanyi niingie ubaridi mm hata ukisema mama na dada zangu bado sheria ni 👉 "survival of the fittest". Hao mabinti kama watashindwa kusurvive kwenye dimbwi la vijana wa hovyo then they were not meant for it. Its simple as that no feelings attached🤗

Mwanaume inabidi uwe kama simba kwelikweli ukiwa nyorinyori hufiki mahali, kwenye kufanya maamuzi unatakiwa utumie akili sio hisia,,,hisia ni za wanawake!
 
Umewahi kuugua magonjwa ya akili ?
 
Umesahau siku hizi kuna compressor za kuvuta vumbi, Aya heaters, rice cookers, oven, kuna Ile nyingine inachoma nyama sijui Inaitwaje, viberiti vipo vya risasi na gas za kwenda mtungi 75 elfu

Ila N. B MSILE malaya mnabeba nuk
Mtu ambaye bado anateseka na wanawake hayupo na akili timamu.

Mwanaume katika karne hii kinachotakiwa kukuumiza kichwa ni pesa tu yaani pesa tu🙏
 
kwa mentality hii ya kupenda kusaidia majukumu iko siku utakuja kufungua uzi hapa unaomba ushauri huyo mke wako anakucheat😄😄😄

Nyie ndo aina ya wanaume hamtaki kuamini kuwa mwanamke hawatupendi wala hawajali,,,,kuhusu chchote zaidi ya pesa tu. Ww huyo mke wako akikutana na akina Baltazar utajua hujui.

Tafuta hela uishi kama mfalme sio unaanza kuzipigia hesabu hela za mwanamke wako,,,bro hela ya mwanamke chungu kama shubiri😄😄😄unless umekubali kuwa bushoke!!!
 
Hili nalo neno. Manamke anapaswa kujua kuwa wewe kidume anytime unaweza muondoa na maisha yakaendelea bila tabu.
 
Unabidi kuoa MTU unayempenda uoga wa maisha ni kitu kibaya .


Kitu muhimu ambacho anabidi kuwa nacho mwanamke ni kujitambua the sense of who you are.
bro hakuna kitu kama mapenzi hizi theory zimeumbwa ili kuhadaa watu waache kutumia akili,,,,hivi ww na USOMI WAKO bado unaamini huu utapeli wa kudanganyana kuwa mnapendana.

Infact watu wanaangalia unanini utachooffer ila wanaicingsugar tukio zima na mbwembwe za kuigiziana mapenzi,,,,filisika au fukuzwa kazi ndo utajua hata mamako mzazi alikuwa anakupenda kisa unapesa😂😂😂😂 ogopa utapeli kataa ndoa!!!!
 

Ndo dunia ilivyo mkuu.
 
Utaweka kila kitu ndani ila mwanamke akinunua hata kijiko tu atakusimanga kinoma huku anakwambia yeye ndo ananunua kila kitu ndani
Umejuaje mkuu??? Nimezushiwa haya kikaoni juzi. Yan ni kama umecopy na ku paste hapa mambo yalionikuta juzi kwenye kikao dhidi ya wife mbele ya wachungaji wetu.

Uzuri ni kwamba i always keep the record for whatever i do as part of my financial discipline. Na uzur matumiz mengime nilikua namuandikia cheque na zaid huwa nina bank statement za kila mwezi kwakua namandikiaga cheque kwa account ya office so details are so cleae ndio kilichoniokoa kwenye uongo wake maana niliambiwa sijawah kutoa hata mia kuhudumia familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…