Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Du kule ndio balaa wengi wameishia njiani na kujikuta wamepoteza hela nyingi,maana hata viwanja vilipanda bei mara dufu
[emoji3][emoji3] mim ni msukuma Lakin siwezi kwend kuishi chato
 
Ok
 
Hii nakataa nina shughuli nafanya dom, mzunguko wa pesa popote pale hutegemea unachofanya. Hata dar unapoona Kuna mzunguko mkubwa, Kuna watu wanafeli na kufunga biashara.
Nina mtu yupo sabasaba kila siku analia biashara hamna
 
Wewe mwenyewe una nyumba?Hivi watanzania tumekula maharagwe yq wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…