Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Umemaliza kila kitu[emoji1666]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wasikutishe ndugu...Kuna my Dada ako na 36 jumamosi iliyopita katolewa mahari..ubwabwa mwezi wa 5...🀣🀣🀣🀣 Suala la muda tu ma wakati wa Mungu.
 
Najutaa now nahitaji yeyote ila mradi awe anapumua(joke)[emoji23]
Em nikuulize swali..inaamaanaa miaka yote hukuwah kubqhatika kudate na serious guy mpk unafika 30s...qu ulikua unawakataa unaangalia
Hana hela
Hana sura
Mfupi
Hatuendani..nijuze tu
Maana wanaumewalivyo wengi mi siaminigi km mtu anaweza kosa partner.nahisi shida ni sisis kubagua.[emoji848]

And pia its about God timing .....
 
Mnabagua sana mkiwa low ages ila mm ninafsi siangalii umri.
 
MWANAMKE NDIO MWENYE KUHITAJI ZAIDI NDOA KULIKO MWANAUME.(NI SABSBU ZA KIBAILOJIA, HII KUBALI KATAA NI HIVYO HIVYO.MWANAUME NI MBEGU, MWANAMKE NI SHAMBA. SHMBA BILA MBEGU NI LA NINI SASA?)
DAWA KWA MWENYE NJAA NI KULA CHAKULA,
DAWA KWA MWENYE NYE.GE NI KUTIWA.
SASA UKIWA SINGLE UNATIWA NA NANI? (NDIO UNAWEZA TUMIA VIDOLE AU MIDOLI AU CHUPA AU TANGO AU MCHI WA KINU SAWA TU UTAKATA KIU YAKO. ). WENZIO WANA KAMPANI WANAPIGA UMBEA, WANASIMULIANA YA MAKAZINI HUKO. SASA WEWE MBOWE KUACHIWA HURU UNAPIGA STORI NA NANI?

WENZIO WAKIFIKISHA UMRI WA MIKA 50,55 WANA KAMPANI YA WENZI WAO (HAWA WENYE NDOA)
SINGEL MWENYE 50,55 UNA KUWA NA KAMPANI NA NANI? UNAJUA UPWEKE NI UGONJWA KAMA MAGONJWA MWENGINE?

UKWELI KUNA SEHEMU TULIKOSEA...
WATU WAANZE KUZAA WATOTO KWA UWIANO
 
I
Ili uolewe haraka jitahidi kumpenda mwanaume na madhaifu yake na pia jitahidi usiwe mwanaharakati ndoa utaipata na acha dharau. Unatongozwa unaringa ringa pia acha viwanja kujirusha acha hutaolewa watakubutua tu km mpira wa kona
 
Ukiwa na expectations nyingi sana za kimaisha huku ukiamini zitatuliwa kupitia mfuko au pochi la mwanaume lazima mtasubiri sana dada yangu.

Wanaume wenye hela wapo wachache na kila mwanamke anamtaka huyo mwanamme, mwisho wa siku atachagua mmoja hao wengine ataonyesha uwanaume wake kwa kuwagonga wanawake watakao jipendekeza.

Kama umepata mwanaume anaye kutimizia MAHITAJI YA MSINGI anza nae huyo huyo,tatizo wengi wenu hamjui mahitaji yenu ya msingi,mnaamini luxury needs ndiyo mahitaji yenu ya msingi.
 
Waambie waaambie. Wakishaambiwa nakupenda wanakuaga yatima aisee yaani mahusiano yanageuzwa ajjra.
 
mmfikia wapi? mmeshampatia mume?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…