Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Japo mimi bado mdogo ila Kwa maoni yangu ni kwamba vijana wengi katika 20s huishi kufantasize watakavyoishi maisha ya ndoto zao swala ambalo kwa upande mwingine hupoteza mda na kuja kushtuka wakiwa 30s.. ndio maana jinsia KE wengi katika 20s zao huwa wanabagua kutokana na standard zao zinazozunguka vichwani mwao katika umri husika,kuja kustuka matokeo yake ndo yale ya "nahitaji mwanaume yoyote"
 
Inawezekana ni kweli ila pia huwezi kuoa au kuolewa na mtu yeyote tu, kumbuka ni kifungo cha maisha kile, lazima awe na sifa fulani unazopendezwa nazo japo si 100%, na nna hakika hata wewe ukiwa mkubwa hutooa tu ili mradi, lazima utachagua aina fulani labda anayejali, mtafutaji nk..
 
Ndio,japo sasa uhalisia kama ulivosema standard hazitofikiwa 100% kwahiyo inabidi unazichukua standard hizo alafu unazistandardize tena hapo sasa unakuwa unapunguza michakato ya ajabu
 
Tatizo wapigaji ndo mnao wapa tunda bila kujua unampa mzigo mtu ambaye anapiga tu halafu imeisha iyo au mbaya zaidi anakufanya mchepuko,

waoaji wanakuwaga na midomo mizito nadhani umeshawapiga chini wengi bila kujua unapiga teke ndoa.
Ok ila ntawagunduaje hao wazito midomo au wapigaji? , nini kifanyike?
 
Hihiiii. Mliinjoy ujana kwa mapana yake.
 
Aisee .....haiwezekani. iliyotumika imetumika tuu tusijidanganye. Wee sema tuu tuendeleze uzinzi
Ukisha kula tunda vitu viwili vinaweza kutokea, kuendelea na mahusiano au mahusiano kuishia hapo.

Inaonekana hujui sababu ya mojawapo kati ya hayo mawili kutokea baada ya mwanamke kuliwa tunda.

Mwanamke alie tumika Sana anaachwa baada ya kugongwa pia hata ambaye hajatumika Sana anaachwa baada ya kugongwa,

Labda wewe unafikili Ni kitu gani kinasababisha mahusiano yaendelee?
 
Ujinga wa mwanaume ndio unasababisha mahusiano yaendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…