Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Naona mnazidi kupeana stress zisizo na sababu, umri wowote ni sahihi kuoa/kuolewa, Ila nasisitiza kupata/kujaliwa watoto mapema ni muhimu sana.

I was in my early 30s, she was in her late 20s....sioni tofauti yoyote kwenye maisha zaidi ya majukumu kuongezeka kila umri unapoongezeka.
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Pole mkuu wewe ndiyo umekuwa yule Ant
 
Ukiwa mjinga (ujitambui na utambui thamani yako) utaendeshwa sana na maneno ya wenzio.
Usikimbilie ndoa kisa umri umeenda au watu wanakusema, kila jambo na wakati wake na wakati wako sio sawa na wakati wa mwenzio.

Ila hio kauli isikupe kichwa ukaanza kuwakataa wanaokuja sahivi.
 
Tatizo mabinti mkiwa kwenye 20s mnakuwa wa moto moto akija msela myajenge muoane mnaruka ruka kama popcorn kisa tu kuna wahuni kibao wanawatongoza.

Little do you know kuwa unapo pass up kila opportunity na probability ya kuolewa nayo inazidi kupungua.
Kuna kimoja icho miaka 25 njoo upige ndoa eti am taken sawa sawa duh kina mimba jamaa kakimbia south kasema mpaka mtoto azaliwe ahakikishe kama ni wake 🤣🤣🤣na hatomuoa atachukua mwanae tu
 
Naona mnazidi kupeana stress zisizo na sababu, umri wowote ni sahihi kuoa/kuolewa, Ila nasisitiza kupata/kujaliwa watoto mapema ni muhimu sana.

I was in my early 30s, she was in her late 20s....sioni tofauti yoyote kwenye maisha zaidi ya majukumu kuongezeka kila umri unapoongezeka.
Kikubwa Amani na furaha si ndio
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya I'm ea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Ndoa ni mpango wa Mungu na ndio maana alipomuumba mwanamke na mwanaume akatoa baraka ya kuzaliana na kuongezeka, msingi wa kupata watoto inatakiwa iwe ndani ya ndoa na sio nje, kuzalia nje ya ndoa wanafosi lakni bado Ile ya hamu ya kuingia kwenye haiwezi Toka maana ndio msingi wa maisha ambao Mungu amemuumbia Mwanadamu isipokuwa kwa kazi maalumu kutoka kwake mwenyewe
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na jpili njema...
Yaani gari kilomita zishasoma halafu hutaki liiguse vumbi?
 
J akili yako unainuaga mwenyewe
Hahahaahhaha

Yaani Joanah unaweza sema sometimes huwa anapiga ndumu vileeee.

Hahaahaha but hii personality yake ndio inamfanya pia anapata fans kama mimi hivi.

O'level darasani tulikuwa na binti flani hivi anaitwa Mwanabakari nadhani sina uhakika, alikuwa msela msela hivi hivi mpaka akawa anajiita Beka. Aiseee nlimkubali sana yule binti swaga zake
 
Back
Top Bottom