Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Ngoja waje walio oa
 
Hahahaahhaha

Yaani Joanah unaweza sema sometimes huwa anapiga ndumu vileeee.

Hahaahaha but hii personality yake ndio inamfanya pia anapata fans kama mimi hivi.

O'level darasani tulikuwa na binti flani hivi anaitwa Mwanabakari nadhani sina uhakika, alikuwa msela msela hivi hivi mpaka akawa anajiita Beka. Aiseee nlimkubali sana yule binti swaga zake
Napenda mwanamke msela ila si apitilize..
Awe na majibu kama J au wakati mwingine kama yangu..unashindwa kueleweka 😀😀

Kuna njema iliniwashiaga moto ikijua mimi ni mwanaume 😃😃inafurahisha ee…
 
Napenda mwanamke msela ila si apitilize..
Awe na majibu kama J au wakati mwingine kama yangu..unashindwa kueleweka 😀😀

Kuna njema iliniwashiaga moto ikijua mimi ni mwanaume 😃😃inafurahisha ee…
Hahahahahaahahahah

Napenda sana mwanamke msela ila awe mwana tu. Sio wale Tom boys, yaani mwanamke asiwe na issue za umbea umbea au all the time kuvutavuta midomo gubu gubu.

Ananikosha sana mtu kama huyo akiwa mshkaji
 
Kikubwa Amani na furaha si ndio
Hilo ni la msingi sana, maisha yapo so complicated kiasi kwamba ukiweka petty issues kama kipaumbele utajiumiza nafsi yako, olewa at 25 or 35 au usiolewe kabisa haijalishi, muhimu ni je, unapata amani na furaha unayostahili kuipata? Maisha mafupi sana!!
 
Napenda mwanamke msela ila si apitilize..
Awe na majibu kama J au wakati mwingine kama yangu..unashindwa kueleweka [emoji3][emoji3]

Kuna njema iliniwashiaga moto ikijua mimi ni mwanaume [emoji2][emoji2]inafurahisha ee…
Kuna namna usipoangalia nitasema wewe ni ka-tomboy kiaina[emoji23][emoji23]
 
Hapo Ule Wimbo Wa Zuchu (Jiwe Alikuwa Anamuita Chuchu)
Unatakiwa Wakati Unaimbwa Unasikiliza Kwa Makini Sana
Moyo Unakwarua Kuna Maneno Mbivu Zinaniozea
 
Hahahaahhaha

Yaani Joanah unaweza sema sometimes huwa anapiga ndumu vileeee.

Hahaahaha but hii personality yake ndio inamfanya pia anapata fans kama mimi hivi.

O'level darasani tulikuwa na binti flani hivi anaitwa Mwanabakari nadhani sina uhakika, alikuwa msela msela hivi hivi mpaka akawa anajiita Beka. Aiseee nlimkubali sana yule binti swaga zake
Ndumu ni kitu gani? Relief Mirzska
Ila nahisi itakuwa ni pombe ama bangi

Kumbe na mimi msela teh! teh!
 
Ni kweli mkuu, ila nadhani kila mtu na plan yake , mfano mimi i wish siku nije kuwa na familia ile ya Baba, mama na watoto. So kwangu bila ndoa maisha yanawezekana ila ikipatikana ndoa yatawezekana zaidi maana ntatimiza malengo niliyojiwekea. Mungu mwenyewe alimuumba Adamu na kumpa msaidizi Eve. So nadhani ni muhimu kupata wasaidizi.
Wewe ndio unataka msaidizi au unapenda uwe msaidizi?
Saizi hamna dada ambaye ni msaidizi ni unyama tu.
 
Back
Top Bottom