Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Dunia imebadilika wanawake Sasa Hivi wamesoma sana na wanakazi nzuri haina haja ya kuolewa mapema .Pili kwa wanaume life start at 40 ndio maana ndoa za ukiwa na miak 20-2026 ukifika 40 mwanaume anatafuta mtu mwingine na divorce ni nyingi .Halafu ndoa inHitaji experience ya kimapenzi .Chemistry sex lazima ujue mambo Hayo kabla hujaingia kwenye uwanja wa mapenzi .Sio lazima kuolewa au kuoa just love yourself and relax
😳
 
Wanawake Dunia imebadilika, tunachopitia leo kama jamii wazungu washapitia siku nyingi. Hakuna kitu kibaya kama mwanamke wa Karne ya 21 kutegemea malengo yake kwa mwanaume. Kwamba utapata mwanaume atakaekuhudumia, kukujengea nyumba ya kuishi n.k. Simama dada yangu jiamini unaweza kufika mbali bila mwanaume au ndoa. Jiongezee thamani wanaume tutakusumbua mpaka utachanganyikiwa hajalishi umri wako. Kuna wanawake wengi Wana maendeleo makubwa na hawajaolewa. Ndoa haitakiwi kuwa kipaumbele kiasi Cha kukupotezea focus ya maisha.
Wewe ni kiazi
 
Wanawake wa 30s na 40s wanapendwa sana na senior brothers wenye vipato na wameoa, na hata wadada hao pia hutoka na married men, muhimu hapa ni aina ya maisha alooishi hadi unakutana nae, Nguzo ya Ndoa ni Uvumilivu, Subira na kutambua ndoa ni taasisi ya kudumu na sio daraja la kufika matakwa binafsi. Wengi hukosa sifa hizo pande zote
MUHIMU HAPA NI AINA YA MAISHA ALIYOISHI HADI UNAKUTANA NAE💯💯
 
Ndo narudi pale pale aliyeweka ndoa focus yake ya maisha,ni mtu ambaye anamtegemea binadamu mwenzake. Ushauri wangu upo pale pale wanawake wajiongezee thamani wataolewa. Unaweza ukafocus uolewe, ukabadili mienendo yako dada yangu lakini Kuna mahali utashindwa ku compromise. Maisha ni zawadi Mungu kakupa ishi utakavyo jipende jipe kipaumbele trust me utapata furaha ya kudumu.
JIPENDE NA UJIPE KIPAUMBELE, MAISHA NI ZAWADI💯
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.

Umetisha sana kama ni mngurumo huu wako ni wa RADI💪
 
Wanawake Dunia imebadilika, tunachopitia leo kama jamii wazungu washapitia siku nyingi. Hakuna kitu kibaya kama mwanamke wa Karne ya 21 kutegemea malengo yake kwa mwanaume. Kwamba utapata mwanaume atakaekuhudumia, kukujengea nyumba ya kuishi n.k. Simama dada yangu jiamini unaweza kufika mbali bila mwanaume au ndoa. Jiongezee thamani wanaume tutakusumbua mpaka utachanganyikiwa hajalishi umri wako. Kuna wanawake wengi Wana maendeleo makubwa na hawajaolewa. Ndoa haitakiwi kuwa kipaumbele kiasi Cha kukupotezea focus ya maisha.
Umaweza kumshauri dada ako wa kuzaliwa pamoja hivyo☝☝
 
Umaweza kumshauri dada ako wa kuzaliwa pamoja hivyo☝☝

Ushauri mzuri ameutoa wa kumfanya mwanamke apambane na maisha bila kutegemea mwanaume.

Now days mwanamke anaolewa kwa kuangaliwa mchango wake kwenye familia hasa kipesa.

Mwanamke mwenye kipato ni rahisi sana kuolewa kuliko asie na kipato kabisa.

Jamaa anashauri wadada wajipambanie kwanza kabla ya kuwaza ndoa
 
financial services a.k.a CPA(T) Ukipata muda msome huyu dada katika kitabu chake

Screenshot_20220214-155215_LinkedIn.jpg


Screenshot_20220214-154946_LinkedIn.jpg
 
Kuachika wanaachika makabila yote mkuu. Ila mimi nathamini sana mtu anayeniheshimu. If u dont why should i keep u? Mapenzi ni two ways traffic bwashee. Kwanini nitumie nguvu kukukeep? Niolewe ili nionekane na mm nimetoa gundu? Hapana. Nibaki nalo tu..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe hayo ni malezi! Kuna waliolelewa katika umuhimu wa kuondoa gundu! Nao tuwaheshimu wakati tukiheshimu mawazo yako. Maisha hayana fomula
 
Back
Top Bottom