Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Nashindwa ni kwambieje lkn hiyo ni nature tu ya wanyama karibia wote na ni ngumu kuikwepa na ukiikwepa itachukua muda mrefu kutoka akilini mwako
 
Dah Mimi umenitachi Sana .....ningekuoa kabisa, tatizo Ni umri wako mkubwa tu
 
Thank you for the advice, ila mimi niko simple wala sihitaji mambo makubwaa, mkaka tu wa kawaida ila yes awe anajali, napenda kudeka siyo sana lkn[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajiju sasa wee subiri hivyo wa kumdekea, wanaume wenyewe hawa wameshavurugwa hawaelew, muda wa kukubembelezaa na kukudekeza wanautoa wapi kwan? Hahahah
 
Financial services mbona nilikuambia uje PM tuzungumze haya maswala....

Ila enewi nisianzishe vayolensi muuluze mrema na mke wake mpya wana umri gani.
 
financial services hebu nikupe uzoefu wangu kwa upande wa kinyume chake.

Mimi niliolewa na miaka 21.
Nikimtizama binti yangu mwenye miaka 22 leo.
Siamini kuwa niliruhusiwa kuolewa nikiwa nina mwaka mmoja chini yake.
Najiuliza kwann wazazi hawakunikatalia ile posa?
Nakuja kuhitimisha wangekuwa ni wazazi wangu kabisa baba na mama yangu wangenigomea.
Nafkiri walioniozesha waliona ni nafuu niende.

Ipo tafsiri kubwa sana ya miaka 30 na kuendelea.
Ukiniuliza mimi, nafkiri miaka 30 ndo miaka sahihi ya binti kuolewa.
Mi nilikuja kuelewa maana ya ndoa nikiwa nimeshakaa miaka zaidi ya 8 kama sio 10 kabisa.

I was too young to marry, we were both too young.
21 kwa 23.
Jamani!!
By 35 tumeshaoneshana kila rangi!!
Mxxxxxxxiiiieeee.
 
financial services hebu nikupe uzoefu wangu kwa upande wa kinyume chake.

Mimi niliolewa na miaka 21.
Nikimtizama binti yangu mwenye miaka 22 leo.
Siamini kuwa niliruhusiwa kuolewa nikiwa nina mwaka mmoja chini yake.
Najiuliza kwann wazazi hawakunikatalia ile posa?
Nakuja kuhitimisha wangekuwa ni wazazi wangu kabisa baba na mama yangu wangenigomea.
Nafkiri walioniozesha waliona ni nafuu niende.

Ipo tafsiri kubwa sana ya miaka 30 na kuendelea.
Ukiniuliza mimi, nafkiri miaka 30 ndo miaka sahihi ya binti kuolewa.
Mi nilikuja kuelewa maana ya ndoa nikiwa nimeshakaa miaka zaidi ya 8 kama sio 10 kabisa.

I was too young to marry, we were both too young.
21 kwa 23.
Jamani!!
By 35 tumeshaoneshana kila rangi!!
Mxxxxxxxiiiieeee.
Duuuuh poleeeeeh sanaaa. Na hongera pia.
 
Kuanzia 30 ni poa kwani wana mawazo ya mtu mzima na wanajua maana ya ndoa. Ila mwanaume aanzie 40 ndio mambo yatanyooka. Umri mkubwa unapunguza michepuko.
 
Mwanaume inatakiwa ukifkisha miaka 50 angalau wanao wawe kwenye 30 au 25 na mwanamke akifika 50 wanawe wawe 30 au 35

Inasaidia ukifika 60 hakuna tena mtoto mdogo ambae atawakimbiza mchaka mchaka na mambo ya ada,ugomvi wa mitaani,katoroka nyumban vitu kama hvyo unakwepa umalize uzee wako mke na mume mkiwa mnapewa kampuni na wajukuu au mnaruka zenu bakurutu kumalizia maisha na vacation kwa sana
 
financial services hebu nikupe uzoefu wangu kwa upande wa kinyume chake.

Mimi niliolewa na miaka 21.
Nikimtizama binti yangu mwenye miaka 22 leo.
Siamini kuwa niliruhusiwa kuolewa nikiwa nina mwaka mmoja chini yake.
Najiuliza kwann wazazi hawakunikatalia ile posa?
Nakuja kuhitimisha wangekuwa ni wazazi wangu kabisa baba na mama yangu wangenigomea.
Nafkiri walioniozesha waliona ni nafuu niende.

Ipo tafsiri kubwa sana ya miaka 30 na kuendelea.
Ukiniuliza mimi, nafkiri miaka 30 ndo miaka sahihi ya binti kuolewa.
Mi nilikuja kuelewa maana ya ndoa nikiwa nimeshakaa miaka zaidi ya 8 kama sio 10 kabisa.

I was too young to marry, we were both too young.
21 kwa 23.
Jamani!!
By 35 tumeshaoneshana kila rangi!!
Mxxxxxxxiiiieeee.
Hongera, ona sasa una binti ana 22, yaani probably ina your early 40s uko na binti mkubwa. Hiyo ndio faida ya kuzaa mapema, the rest ni hasara tu. 30s ni wakati mzuri sana kuingia ndoani, disadvantage yake ni kupata watoto umri ushakata.
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Malipo ni hapa hapa duniani, si ulinikataa!
 
Binti anaruhusiwa kuolewa kuanzia miaka 15 waliotunga hii sheria waliwaza mengi ikiwemo mabinti wengi kuanzia huo kua na maumbo makubwa,hivyo kwenye huo umri mpaka miaka 25 wanaume wengi wanaowa hapo,sasa mwanamke anafika miaka 30 hapo kiukweli anakuwa ni mmama sana,na wengi wao kwenye huo umri anakuwa amekimbiza kilometa nyingi sana[emoji23][emoji23] hivyo mara nyingi wanawake hao huolewa na wanaume wenye umri mkubwa kuanzia 45 and above sasa shida wenye huo umri ni waume za watu tayari yaani kijana mwenye miaka 30-35 akioa hapo mwanamke akizaa mara moja tu yaani unaonekana umeoa lijimama tena la mwendokasi kwahiyo hapo unahitaji mwanaume kuanzia 45 years na kuendelea,pia kitu kingine ni uzuri na wa mwonekano wa mwanamke sasa hapo jamaa akijaa haangalii umri ye atatangaza ndoa tu umri kwake sio shida.
 
Tunaelekea kwenye kipindi cha ubeberu (imperialism era) kama zilivyo inchi matajiri kama Japan unaweza kuta mama ana maisha mazuri lakini anaishi na pets ( mbwa au paka) yaani ndio familia yake hiyo hana mtoto wala mume nasi Africa tunaelekea huko.
Kama unafatilia tunaona mambo kadhaa ambayo zamani hayakuwapo lakini sasa yanajitokeza kwa kasi ya 5G mfano:
  • late marriages
  • distance marriages
  • childless marriages
  • Single life forever
-infertility and barrenness
Mambo yote hayo hapo juu nadhani yanasababishwa na mfumo wa maisha kubadilika ambapo sasa sehemu kubwa ya faraja ya maisha imekuwa pesa na ndo chanzo cha taasisi ya ndoa kukosa mashiko ( marriage institution). Mfano mimi nimekaa na girlfriend wangu tangu tunasoma huko secondary yaani tumefukuana for ten years sasa wakati tuko chuo lodge za kimara, changanyikeni, Manzese, Suvey.Zote hizo nilikuwa nampeleka kumfukua lakini sikuwahi kuwaza ndoa kwa kisingizio cha ubize wa kutafuta maisha mazuri kwanza (bila kujali umri unaenda/ imperialist lifestyle). Dada wa watu alikua anakaa kwao mimi nishatoka kwa wazazi najitegemea sasa. Akawa akija nyumbani wikiend anafua na kupika na kuosha vyombo then anarudi kwao maana yake naye anafanya kazi lakini anaishi kwao kwa wazazi. Jaribu kufikiria miaka kumi yaani ya kutinduana sina mpango wa ndoa.
Sasa siku moja kanipigia simu akaniambia yuko Lodge X niende huko (hii siku sitasahau maishani). Nilipofika tukafukuana vya kutosha baadae akaniamsha nikakuta kaweka diary na pen kwenye meza. Nikamuuliza nini hicho akaniambia nimekuita Leo nikuulize unaoa lini maana kila sehemu ushagusa na unanifukua tangu tuko sekondari sasa nakuambia bajeti yangu ya send off nishaandika huko nyuma ya diary nataka uandike bajeti yako ya harusi huko mbele ya dairy ukitoka hapa ukatafute hela ya tulivyoviandika humu.
Daaaa mzee baba nikaona Leo ishakuwa nongwa muda huo wote tuko kama tulivyozaliwa. Nikamwambia nipe muda akasema hakuna cha muda wala nini Leo tukitoka hapa naenda kuwaambia nyumbani wajiandae kupokea barua ya posa.
Hapo ndo nikajuwa kumbe nimekaa kwenye uhusiano kwa miaka kumi kisa natafuta maisha na hakuna cha maana nilichopata kwenye hayo maisha.
Baada ya mwezi mmoja mshenga alipeleka barua kulingana na mila zao mwaka uliofata nilioa. Tumeoana tukiwa na miaka 30. Yaani yeye miaka 30 na mimi miaka 30. Ndoa kwangu imekuwa tamu zaidi maana maisha niliokuwa natafuta yameanza kuonekana nikiwa kwenye ndoa. Kajinepepea kwa kulizika hadi tako lote limefutika namchek tu hapa anavyoangaika na watoto.
Huwa nafurahi kuona kuna mtu anafurahia. Hongera sana mkuu
 
financial services hebu nikupe uzoefu wangu kwa upande wa kinyume chake.

Mimi niliolewa na miaka 21.
Nikimtizama binti yangu mwenye miaka 22 leo.
Siamini kuwa niliruhusiwa kuolewa nikiwa nina mwaka mmoja chini yake.
Najiuliza kwann wazazi hawakunikatalia ile posa?
Nakuja kuhitimisha wangekuwa ni wazazi wangu kabisa baba na mama yangu wangenigomea.
Nafkiri walioniozesha waliona ni nafuu niende.

Ipo tafsiri kubwa sana ya miaka 30 na kuendelea.
Ukiniuliza mimi, nafkiri miaka 30 ndo miaka sahihi ya binti kuolewa.
Mi nilikuja kuelewa maana ya ndoa nikiwa nimeshakaa miaka zaidi ya 8 kama sio 10 kabisa.

I was too young to marry, we were both too young.
21 kwa 23.
Jamani!!
By 35 tumeshaoneshana kila rangi!!
Mxxxxxxxiiiieeee.
Sasa huo upande mmoja...upande mwengine je tunakubali kuwa na jamii ambayo watu wanagegedana tuu mpaka wakafike hiyo miaka 30? Madhara yake ndani ya ndoa tutakubalina nayo?
 
Binti anaruhusiwa kuolewa kuanzia miaka 15 waliotunga hii sheria waliwaza mengi ikiwemo mabinti wengi kuanzia huo kua na maumbo makubwa,hivyo kwenye huo umri mpaka miaka 25 wanaume wengi wanaowa hapo,sasa mwanamke anafika miaka 30 hapo kiukweli anakuwa ni mmama sana,na wengi wao kwenye huo umri anakuwa amekimbiza kilometa nyingi sana[emoji23][emoji23] hivyo mara nyingi wanawake hao huolewa na wanaume wenye umri mkubwa kuanzia 45 and above sasa shida wenye huo umri ni waume za watu tayari yaani kijana mwenye miaka 30-35 akioa hapo mwanamke akizaa mara moja tu yaani unaonekana umeoa lijimama tena la mwendokasi kwahiyo hapo unahitaji mwanaume kuanzia 45 years na kuendelea,pia kitu kingine ni uzuri na wa mwonekano wa mwanamke sasa hapo jamaa akijaa haangalii umri ye atatangaza ndoa tu umri kwake sio shida.
Warembo wolewe mapema tuu 24-28 waolewe...ukishafika 30 wee tulia na mbususu yako tuu huna sababu ya kuwalisha watu makombo yako🤣🤣🤣🤣
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Vp umeshadoda....!!
 
Back
Top Bottom