Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Elon Musk amezaliwa South Africa nadhani.
Halafu labda siyo citizen wa United States.
Ingawa sijui inakuwaje amepewa uwaziri katika administration ya Trump.
Marekani ni Taifa la wote.ndio Maana Obama baba yake alikuwa Mkenya lakini akawa Rais.ingekuwa Tanzania mngembagua na kupiga sana Makelele
 
Account yake Rasmi ni hii
Screenshot_20241210-225022.png
 
Wew jinga una matatizo gani? Abdul mtoto wa kiume wa chura kiziwi ambaye ni rafiki wa Rostam Aziz ( fisadi papa) anaishi Dubai kwenye jumba la kifahari alilopewa bure na kampuni ya DP WORLD iliyopewa bure bandari yetu. Halafu wew una kaa kutoa uhalo wako humu
Acha uongo na uzushi wako hapa
 
Back
Top Bottom