Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani ni Taifa la wote.ndio Maana Obama baba yake alikuwa Mkenya lakini akawa Rais.ingekuwa Tanzania mngembagua na kupiga sana MakeleleElon Musk amezaliwa South Africa nadhani.
Halafu labda siyo citizen wa United States.
Ingawa sijui inakuwaje amepewa uwaziri katika administration ya Trump.
Embu acha dharau dogo.Hivi Luca kichwa chako kina ubongo? Hiyo ni ac ya Elon?
Hyo account sio ya Elon Musk!
Wajomba hawajui kuhusu parody😅Hyo account sio ya Elon Musk!
Basi, Mungu akubariki SanaEmbu acha dharau dogo.
AsanteBasi, Mungu akubariki Sana
Daaah nimelidharau sana hili jamaa eti account ya ya Elon Musk?Hili jamaa kumbe jinga tu! Hiyo ni account ya Elon Musk?
🤣 🤣 🤣Lukasi kwema kiongozi? Vipi leo mama hajaushangaza ulimwengu kwa uhapisho wake ambao toka dunia imekuwepo umefanyika kwa ufanisi sana leo?
🤣 🤣 🤣Chawa walishazoea kuibiwa akili na ccm wenzao watajuaje kama ni account ya uongo wakati wamezoea kudanganywa na kudanganywa?
Acha uongo na uzushi wako hapaWew jinga una matatizo gani? Abdul mtoto wa kiume wa chura kiziwi ambaye ni rafiki wa Rostam Aziz ( fisadi papa) anaishi Dubai kwenye jumba la kifahari alilopewa bure na kampuni ya DP WORLD iliyopewa bure bandari yetu. Halafu wew una kaa kutoa uhalo wako humu
Ameushangaza ulimwengu hadi waasi wa Syria wamebubujikwa na machozi ya furahaLukasi kwema kiongozi? Vipi leo mama hajaushangaza ulimwengu kwa uhapisho wake ambao toka dunia imekuwepo umefanyika kwa ufanisi sana leo?
Lete ukweli unaoujua weweAcha uongo na uzushi wako hapa