Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
Binafsi una Bipolar Disorder unadhani unaweza kuona mtu asiyekua na akili timamu? Ni kama mlevi kutambua miongoni mwake Kuna walevi na walioko timamu!
Bro you are a waste sperm!
 
Ya muundo huo mbeya zipo sana wengine bado tunazo sitaisahau mwak 1968 iliniunguza kwenye mguu wa kulia kwenye mkunjo wa goti alama bado ninayo kidonda kilichukua muda kwasababu ya kukunja na kukunjua mguu, iliniungaza ningali mtoto nilitumwa nikaichukue nje ilikuwa nzito
Zimeunguza wengi sana nikiwepo mimi mwenyewe.tena wengi tulikuwa tunakwenda kuazima kwa majirani😃😃
Mwenye picha ya Lucas atusaidie tumjue kwa kauli na rangi...
 

Attachments

  • Love it, or leave it_ 🧡💛~4.jpeg
    Love it, or leave it_ 🧡💛~4.jpeg
    94.8 KB · Views: 3
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uliemtaja ni smart , wakati unamshangaa kupost iyo picha ,mwenzako anafikili namna gani iyo pas inaweza ina pass nguo bila mkono wa binadam, au kitu kingine , sasa mfano Tz Chawa wanafikili nini ? Uyo sio level ya machawa bali ni level ya smart brain thinking people
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aisee... Unajua maana ya parody?
 
Uliemtaja ni smart , wakati unamshangaa kupost iyo picha ,mwenzako anafikili namna gani iyo pas inaweza ina pass nguo bila mkono wa binadam, au kitu kingine , sasa mfano Tz Chawa wanafikili nini ? Uyo sio level ya machawa bali ni level ya smart brain thinking people
Acha unyonge na kujidunisha.Hata wewe ni binadamu uliyepewa akili
 
Nahisi kama uwezo wa ku bridge ulichokiona na unachotaka kusema ndio huna. Sidhani kama kuna mtu kakuelewa mkuu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ccm ni wapumbavu ndio maana hawawezi kushindana na chadema.
 
Vijana kama hawa wanamchango mdogo sana kwenye taifa. X-President JPM R.I.P
 
Back
Top Bottom