Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Elton
Mchango wake n mkubwa kulko maneno yake
& Vise versa
 
Marekani ni Taifa la wote.ndio Maana Obama baba yake alikuwa Mkenya lakini akawa Rais.ingekuwa Tanzania mngembagua na kupiga sana Makelele
Afadhali umekuja na hii hoja
Wanaondekeza Hoja za kuwabagua watu kwenye nafasi za uongozi kwa kigezo Cha uzawa na uraia ni Wana Ccm,
Nitakutajia orodha kidogo halafu uniambie lini hiyo dhambi mlitubu na sasa uwe na uhalali wa kuzungumzia Hilo:
1. Ulimwengu Jenerali
2. Askofu Niwemugizi (mlimnyang'anya passport kabisa, mkmtaka akaoneshe vyeti vya kuzaliwa vya marehemu bibi na babu zake)
3. Hussein Bashe nk.

Lakini nikirudi kwenye mada uliyowasilisha, hivi kweli kichwa Chako kina ubongo au kimejaa takataka?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo Tajiri amewauliza Wateja wake walio wengi Duniani Vijana ambao tangu wamezaliwa hawajawahi kuiona hiyo kitu !

Lakini sisi huku bado tunaitumia hiyo kitu mpaka leo na kila mtu mpaka watoto wanaijua hiyo Chombo !

Sasa unataka na sisi tuwe tunazungumzia vitu vya namna hiyo ??!

Hapana sisi tunataka tuelezwe namna ya kutatua Changamoto zetu nyingi kabisa zinazotukabili !

Uongozi ni kuonyesha njia za kupitia kufikia maendeleo tunayoyataka au tunayoyatarajia !

Nimebubujikwa na machozi ya hasira kujua kwamba kumbe Lucas Hebel anadhani Tajiri Elon Musk ana Akili sana 😅😂🤦🏽‍♂️ !
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kizungu ndiyo lugha gani? Inatumika wapi!?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona mimi bado natumia umeme unapokuwa wa mgao
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aibu yako hii wewe mlugaluga, umeingia cha kike leo, hiyo siyo account ya Elon.
 
Nianze kwa kulisifu jina mama yetu kipenzi na malaika aliyejaliwa kuishi dunia Daktari mkuu wa wakuu mama Samia suluhu hasani kipenzi Cha wanyonge .

Lakini sanjari na habari za Elon Munsk nipende kueleza umma kuwa Daktari mkuu wa wakuu kipenzi Cha watanzania na dunia mama Samia anotosha kwa kila kitu .

Sasa rasmi nijielekeze kwenye mada kwa kusema Elon Munsk amenichekesha kweli .

Kwa kumalizia japo kwa machache nimshukuru mtukufu raisi na kipenzi Cha dunia na watanzania kwa kuweza kukomenti hapa .

Asanteni jamani
 
Unatumia Lipasi la Aina hiyo au zilizoboreshwa.
Ya muundo huo mbeya zipo sana wengine bado tunazo sitaisahau mwak 1968 iliniunguza kwenye mguu wa kulia kwenye mkunjo wa goti alama bado ninayo kidonda kilichukua muda kwasababu ya kukunja na kukunjua mguu, iliniungaza ningali mtoto nilitumwa nikaichukue nje ilikuwa nzito
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna aina nyingi za maradhi ya akili.Moja wapo ni mtu kujikuta unachagua upande mmoja wa kufikiri au kuona mambo na ukaamini uko sawa.Alicho post kwako ni cha kijinga!...
 
Ya muundo huo mbeya zipo sana wengine bado tunazo sitaisahau mwak 1968 iliniunguza kwenye mguu wa kulia kwenye mkunjo wa goti alama bado ninayo kidonda kilichukua muda kwasababu ya kukunja na kukunjua mguu, iliniungaza ningali mtoto nilitumwa nikaichukue nje ilikuwa nzito
Zimeunguza wengi sana nikiwepo mimi mwenyewe.tena wengi tulikuwa tunakwenda kuazima kwa majirani😃😃😆
 
Mwenye picha ya Lucas atusaidie tumjue kwa kauli na rangi...
 
  • Thanks
Reactions: IIS
Back
Top Bottom