Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anatosha kwa wajinga na wapumbavu kama wewe msiojitambua hata biblia inasema amkanaye mzazi wake amelaaniwa nyinyi tayari laana inatembea mpaka kwenye vizazi vyenu saba kwa ajili ya kuhangaikia tumbo badala ya kumtukuza mungu unahangaikia mtu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unaongea ugolo uliochanganywa na kahawa. Sasa hapa unataka kusema ni kwamba kuiba kura na kuteka watu na kuuwa watu ni sawa tu kwa kuwa hata wazungu wanafanya hivyo. Au unataka tuamini kuuza misitu, kuhamisha wamasai na kuuza bandari kwa warabu ndio ujaja?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una tatizo la afya ya akili wahi ukapate tiba.
Hukuwa na haja ya kutoa povu loote hili kisa Elon kapost pasi ya mkaa!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo Elon musk unaye mzungumzia mwenzako kany💩 na kubakisha AKILI ila huyu mjalana wa kizanzibar yeye ana kuny💩 AKILI na kubakisha Kinye💩 kichwani
 
ameuliza matumizi ya hicho kifaa.....lengolake Kuna kizazi hakijui ...wewe unakuja na maneno mengiiiii
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X.

Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote kile katika maisha. Anaandikaga vitu ambavyo angepost na kuandika kiongozi kutoka Tanzania au mwanasiasa ungeona Wabongo wanavyoleta ujuaji.

Sasa leo Ameposti picha ya pasi ya mkaa tena zile pasi za zamani sana au waweza kusema matoleo ya Mwanzo kabisa. Na katika post hiyo akauliza kama watu wanafahamu matumizi yake.

Shida yetu Wabongo kitu kikifanywa na mzungu kinaonekana ni cha maana sana hata kama kitu na jambo hilo ni la kijinga tu. Tuna kasumba ya kujidharau ,kujishusha thamani ,kujiweka chini na kujiona ni binadamu toleo la Mwisho tusio na thamani.

ndio Maana tunajiweka katika hali ya unyonge sana na kuweka mikono nyuma kwa uoga mbele ya wenzetu.ndio Maana hata mtu akiongea kizungu kama mnavyokiita Ninyi kiingereza anaonekana ana akili na msomi sana.

Ndio Maana unakuta watu na akili zao timamu wanajadili habari za kizungu au kiingereza cha mtu kuwa huyu anajua na huyu hajui na kwamba hana akili.bila kujua mataifa kama Japan au China hawaongei Kizungu lakini wana maendeleo makubwa kabisa na hata wakiwa kwenye vikao na mikutano ya umoja wa Mataifa wanazungumza kwa lugha zao na kushangiliwaView attachment 3173978

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo siyo Elon hiyo parody account inayotumia jina lake.
Ujinga ni mzigo
 
Lucas sijawahi kuelewa akili yako naona wewe umesoma memkwa kabisa.ukiangalia huku mitaani tunashindwa kujenga barabara alafu tunaimba tumepata uhuru ni kujiaibisha.sasa karne ya 21 watu wanataka kuhama dunia na kwenda sayari nyingine wewe bado unajenga vyoo alafu unajiona una akili kweli.kwa ufupi wazungu wapo sahihi kutaka kutuua hatuna faida.na wewe mwashambwa ni wa kupigwa mawe na kufa una roho mbaya saana kama yule pimbi msigwa ambaye njaa imempanda kichwani eti sasa hivi anaona CCM ni chama kizuri wakati kinaua watu kwa dizaini zote wengi wanakufa kwa umasikini wengine wanapotezwa live na tunaambiwa kifo ni kifo.
 
Nani alikwambia hiyo ni account official ya Elon wewe kunguni wa mama Abdul.

Tatizo shule yako ni ndogo umeshindwa kuelewa maneno kama "parody" au "commentary" hutumika na account zisizo rasmi za wahusika.

Na kupata hiyo check mark hata sio ngumu tena ni $4 unaipata.
 
Back
Top Bottom