Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
Binafsi una Bipolar Disorder unadhani unaweza kuona mtu asiyekua na akili timamu? Ni kama mlevi kutambua miongoni mwake Kuna walevi na walioko timamu!
Bro you are a waste sperm!
 
Zimeunguza wengi sana nikiwepo mimi mwenyewe.tena wengi tulikuwa tunakwenda kuazima kwa majirani😃😃
Mwenye picha ya Lucas atusaidie tumjue kwa kauli na rangi...
 
Uliemtaja ni smart , wakati unamshangaa kupost iyo picha ,mwenzako anafikili namna gani iyo pas inaweza ina pass nguo bila mkono wa binadam, au kitu kingine , sasa mfano Tz Chawa wanafikili nini ? Uyo sio level ya machawa bali ni level ya smart brain thinking people
 
Aisee... Unajua maana ya parody?
 
Acha unyonge na kujidunisha.Hata wewe ni binadamu uliyepewa akili
 
Nahisi kama uwezo wa ku bridge ulichokiona na unachotaka kusema ndio huna. Sidhani kama kuna mtu kakuelewa mkuu.
 
Ccm ni wapumbavu ndio maana hawawezi kushindana na chadema.
 
Vijana kama hawa wanamchango mdogo sana kwenye taifa. X-President JPM R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…