witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hee wako fit kinoma...sio minyama uzembe afu vijana sasaWawe na nguvu kivingine Sasa, lakini sio kutegemea ukubwa wa miili yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee wako fit kinoma...sio minyama uzembe afu vijana sasaWawe na nguvu kivingine Sasa, lakini sio kutegemea ukubwa wa miili yao.
Hao ni kuwapa kesi ya madawa ya kulevya mpaka pale watakapokiri kwamba hawataniingilia tena kwenye mapenzi yangu na wewe.Hee wako fit kinoma...sio minyama uzembe afu vijana sasa
Wanaume huwa hatupigi bila sababu na ikilazimu ni kwa sababu za kuonya tu! Just alerting you kwamba its beyond the limits. Thats doesn’t involve kuvimbishana sura just a slight kakofi ku restore settings.That's great...na wao wanafata procedure, kinachokuja kuwakera ni ile umenipiga sijui ukaniumiza jicho au umenitoa alama asee hawakuachi[emoji848][emoji848]
Wanawake wote washike hili.Nataka kusema kitu kimoja
Wadogo zangu mlioolewa na msioolewa ndoa ni sacrifice kwa mwanamke!
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke,tunafeli kutaka kua sawa na wanaume.Hiko kitu hakipo na hakitakaa kiwepo hata usome mpk wapi au uwe na mshahara billions of cash...!!!Labda uolewe na wazungu hukoo au mukubaliane kimkataba b4 hamjaona kua mtaishi kizungu zungu ila hawa wa kitanzania utaenda kazini,utarudi na utamhudumia yeye binafsi uchoke usichoke utajiju.
Ukihisi huwezi kumtake care mwanaume au unapretend ukiolewa unaonesha makucha yako mtashindwana mwisho kutafutiana lawama kuzungushana mahakamani Bure.
Kingine hakuna mwanaume anapenda mkewe amzidi kipato ikitokea ndo hvyo atakubali lakini wengi inakua shida plus mawivu na maugomvi.
So choose wisely mwenza wako,na Mungu awasimamie sana.
Ndoa ni changamoto sana,siku hizi sihukumu wanandoa mmegundua wake na waume wotee vimeo Siku hizi.
Kanywe nalipaMbona wanaume tulisha kubaliana hapa ndani kwamba hakuna kuoa...[emoji53]
Nimesemaje Eroni?@Makiwendo ndio kasema [emoji39][emoji39][emoji39][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe ukikosea arestore settings zako kwa kofi la wapi?Wanaume huwa hatupigi bila sababu na ikilazimu ni kwa sababu za kuonya tu! Just alerting you kwamba its beyond the limits. Thats doesn’t involve kuvimbishana sura just a slight kakofi ku restore settings.
Kwa mwanamke anaejielewa anajirudi right away! Anajutia kosa lake na anazidisha upendo kwa kuwa umemuondoa kwenye ujinga!
Baba hakosei wewe,,,hamna wakubwa kwenu huko?Na wewe ukikosea arestore settings zako kwa kofi la wapi?
Sure ni aibu kuleta visheria vyako kwa watu, tena ka unaishi hapo inabidi uwahi kuamka na kufanya vikazi vya hapoKwanza mtu ukienda kwa watu inatakiwa usiwe msumbufu.
Kuanza kuchosha watu bure.
Mimi mvivu wa jogging hutembea usiku tuJitahidi ujiunge jogging za masaki
We mwanga au😂Mimi mvivu wa jogging hutembea usiku tu
Ni kweli mtu anayetegemea kufanyiwa vitu na wengine as if ni mlemavu namuona ana matatizo na ni mvivu.Teh teh
Wanaume wetu wapo humu wanatusoma mubashara kabisa.
Wao hawapo kwenye kundi la hawa wanaojifanya walemavu.
Wewe ni malaika eeh?Baba hakosei wewe,,,hamna wakubwa kwenu huko?
Na huyo dada mvumilivu sana mtu anakupiga bado unaendelea kabisa kumzalia or else hata hao watoto sio wa mumeYeye bila shaka ndo alichaguliwa sio yeye aliyechagua, hivi kumpiga kote ngumi yeye bado yupo tu, bila shaka yeye ndo kachaguliwa na kupendwa
Dah Bora useme wewe mtu ana mpiga mtu mzima mwenzako kisa eti anaenda kazini na ana force mambo na anajianika humu JF nakusema mke wangu mkorofi. Mwanaume anayepiga mwanamke hana akili kabisaWanaume wa kiafrika tu ndio wanafikiri wana haki ya kuwapiga wanawake. Inabidi tuchukue sheria mikononi. Imagine, niko na very beautiful daughter. Sijawahi kunyanyua mkono wangu kumpiga hata siku hii moja. Halafu arudi nyumbani na red aye? Oh my boyfriend did this. I think I'm going to shoot your ass