Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

That's great...na wao wanafata procedure, kinachokuja kuwakera ni ile umenipiga sijui ukaniumiza jicho au umenitoa alama asee hawakuachi[emoji848][emoji848]
Wanaume huwa hatupigi bila sababu na ikilazimu ni kwa sababu za kuonya tu! Just alerting you kwamba its beyond the limits. Thats doesn’t involve kuvimbishana sura just a slight kakofi ku restore settings.

Kwa mwanamke anaejielewa anajirudi right away! Anajutia kosa lake na anazidisha upendo kwa kuwa umemuondoa kwenye ujinga!
 
Wanawake wa humu ndani mnaona raha kujimwambafai kuwa hamfui nguo za wanaume zenu wala kuwapikia chakula? Naomba kusema kwamba hao wanaume zenu watakuwa ni watu wa Pwani bila shaka.

Mwanamke hawezi kuniletea ujinga hata siku moja kwamba hataki kunifulia nguo, kunipikia n.k wakati nakuhudumia na nakutunza vizuri bila kujali kama na wewe una kipato chako.

Kumbuka nilitoa mahari huko kwenu uje kunipa utamu pamoja na kufanya kazi zangu zote za nyumbani kama ambavyo nitakutunza na kukuhudumia ipasavyo.

Kwa ambao hamjaoa humu ndani napenda niwashauri kwamba mwanamke siyo wa kumuendekeza katika utendaji wake wa majukumu ya ndani. Ukimuendekeza mwanamke mwisho wa siku atakuona kama mwanamke mwisho wa siku yatakutokea puani. Mwanaume bila kujali chochote katika familia yako inabidi uwe na mambo yafuatayo ndipo utaheshimika katika maisha ya ndoa:-

1. Unatakiwa umtunze na kumhudumia mke wako bila kujali kama ana kipato chako.

2. Kuwa na msimamo mkali. Msimamo ni kitu cha msingi sana katika mahusiano. Ukiwa na msimamo mkali hakika ndoa yako itakuwa na maisha marefu sana. Hata kama umekosea kufanya uamuzi simama imara na unachokiamini.

3. Kauli moja tu. Kuhusu kuwa na kaili moja ni kwamba Mwanaume ukiongea kitu mara moja iwe ni mara moja kweli. Pia usipende kubishana na mke wako hata siku moja.

4. Heshimu mawazo ya mke wako. Msikilize kwa umakini pale anapokuwa anakushauri kuhusu kitu fulani, pia mpe attention za kutosha ikiwezekana mpaka ajione yupo peponi. Ila usiruhusu kama mwanamke akupangie katika nyumba kuwa nataka hiki sitaki hiki. Mwanaume ndiyo kichwa cha familia. Wewe ndiyo unatakiwa upange unataka nini na hutaki nini katika nyumba yako.
 
Wanawake wote washike hili.
 
Na wewe ukikosea arestore settings zako kwa kofi la wapi?
 
Dah Bora useme wewe mtu ana mpiga mtu mzima mwenzako kisa eti anaenda kazini na ana force mambo na anajianika humu JF nakusema mke wangu mkorofi. Mwanaume anayepiga mwanamke hana akili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…