Sio tatizo ,ila ukimtaka wa hivyo itabidi umtafute sana.Sioni shida mwanaume ukimbeba mwanao na kuosha vyombo hyo sio dhambi kabisa
[emoji23][emoji23] ushauri wako una kaukweli asilimia kubwa maana, Sasa hivi wanaume wanajisahau sana kimajukumu na wanapenda kulelewa na wengine kugegedwa ka sisi wanawake.Sio tatizo ,ila ukimtaka wa hivyo itabidi umtafute sana.
Toka kitambo ni nature kwa mwanaume to provide for the family ,to protect and to lead the way.
Mwanamke ni kuzaa na kulea familia.
Huu mvurugano wa sasa hivi na muingiliano wa kimajukumu umuwaacha wanaume kusahau majukumu yao na kuwa watu wa kulia lia , kuwa laini na wengine kutamani hata kuingiziwa mb.oo kama wanawake.
Jitahidini mjenge watoto wenu kutofautisha majukumu ya Me na Ke- mtanishukuru baadae.
Huyu Mungu mbona anamu address kwa herufi ndogo!Hahahaha u are very naive jamaa yangu[emoji23][emoji23] nimechekaaaa
Sasa muone huyu la saba b. Na hapo ana watoto watatu kila mmoja na mamake na na hela bado hana na kila muda anajihami kwnagu juu ya elimu na pesa. Ukatoke jasho udangwe halaf wakishapataga pesa hawa wanabadilika balaa. Ni mwendo wa kuchapwa matukio tu[emoji23][emoji23][emoji119]View attachment 2040119View attachment 2040120View attachment 2040121
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hawa viumbe wote ni shida huwezi kupata ambaye hana tatizo, huyu akiwa na hili yule anajingine! Cha muhimu ni kuitambua kasoro yake na kuishi nayo hivo hivo.NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushauri wako una kaukweli asilimia kubwa maana, Sasa hivi wanaume wanajisahau sana kimajukumu na wanapenda kulelewa na wengine kugegedwa ka sisi wanawake.
Mungu anusuru vizazi vyetu.
Nasepa keshoPlz bakia aiseh
Mtalaka wangu aliolewaga fasta fasta na ameachika tena baada ya kushindwa kuvumilia vipigo sababu nimeambiwa alikuwa anamletea jamaa jeuri,kiburi,dharau....Hakuna mwanaume anayejitambua atakubali mambo yenu ya kizungu na ligi za kishenzishenzi......Mbona Sasa hivi ninaishi na mwanamke ni banker lakini anajitahidi angalau kuna vitu hakubali house girl anifanyie...siku za katikati ya wiki,kazi nyingi anazifanya house girl ndiyo lakini kuna mipaka.....weekends anaingia mwenyewe jikoni ,nguo za kuvaa ananipangia vizuri , boxer na vest zangu hazishikwi na mtu mwingine yeyote, etc...etc....Huyu ndiye namuita Mke anayenifaa sasa...siyo nyie watu wa ligi za kishenzimawazo mgando ndo maana ndoa imekushinda. shughulika na afya ya akiliyako kwanza kabla hujaanza mahusianoo mapya.
hakuna binadamu alie tayari kuburuzwa, watoto wako ukiwamistreat wanaenda zao kitaaa kuwa machokoraaa, sembuse mke mwenye option ya kuolewa tena , ana kujishughulisha akawa na Maisha bora.
badilika kifikra mkuu
anawaachia wale wazee wa kutembea na wanawake watu wazimaWanawake wasomi kama huyo huwa hawaolewi, wao ndio wanaoa.
Ila kama uliweza kuishi nae kwa miaka yote hiyo ningekushauri ungeishi nae tu hivyohivyo kama skrepa lako kwa maslahi mapana ya watoto.
Kwakuwa tayari Mahakama imeshabariki Talaka hapo hamna suluhisho lingine, Pole mkuu
Wewe bado una mpenda mkeo Hadi unafatilia kuwa aliolewa na kuachika huko aliko bado una mpenda rudisheni mpira kwa kipa na muache ujeuri za kijinga na mambo ya ajabu mzeeke pamojaMtalaka wangu aliolewaga fasta fasta na ameachika tena baada ya kushindwa kuvumilia vipigo sababu nimeambiwa alikuwa anamletea jamaa jeuri,kiburi,dharau....Hakuna mwanaume anayejitambua atakubali mambo yenu ya kizungu na ligi za kishenzishenzi......Mbona Sasa hivi ninaishi na mwanamke ni banker lakini anajitahidi angalau kuna vitu hakubali house girl anifanyie...siku za katikati ya wiki,kazi nyingi anazifanya house girl ndiyo lakini kuna mipaka.....weekends anaingia mwenyewe jikoni ,nguo za kuvaa ananipangia vizuri , boxer na vest zangu hazishikwi na mtu mwingine yeyote, etc...etc....Huyu ndiye namuita Mke anayenifaa sasa...siyo nyie watu wa ligi za kishenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe ni mwenzangu na mm😂[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
duu, na watoto wanne akaenda kuolewa tena!!!!. hapo nimeamini ulikuwa umeoa jiniMtalaka wangu aliolewaga fasta fasta na ameachika tena baada ya kushindwa kuvumilia vipigo sababu nimeambiwa alikuwa anamletea jamaa jeuri,kiburi,dharau....Hakuna mwanaume anayejitambua atakubali mambo yenu ya kizungu na ligi za kishenzishenzi......Mbona Sasa hivi ninaishi na mwanamke ni banker lakini anajitahidi angalau kuna vitu hakubali house girl anifanyie...siku za katikati ya wiki,kazi nyingi anazifanya house girl ndiyo lakini kuna mipaka.....weekends anaingia mwenyewe jikoni ,nguo za kuvaa ananipangia vizuri , boxer na vest zangu hazishikwi na mtu mwingine yeyote, etc...etc....Huyu ndiye namuita Mke anayenifaa sasa...siyo nyie watu wa ligi za kishenzi
Nashauri tuanzishe nao urafiki wa kufarijianaSisi tuliokosea kuolewa tunacomment wapi?
Hahaha jamaa ni mtata yani ni mtata balaa huyo mkewe miaka ya nyuma alikuwa anaishi naye kama wako jeshini. Jamaa ni muwest Africa ni mtata balaa mtaani kwake kila mtu anamwogopa. Sema kwa mkewe na utata wake alikubali mziki🤣Warekebishe maelekezo kuwa jamaa kaolewa na mzigo hapigi bila shaka. Mwanaune weak namna hio huwa kuna sababu huenda hata kusimamisha mashine hasimamishi😅
Kumfatilia ex wife hiyo vipi😀my dear unajilazimisha kumove on.ila jifariji tu itakiwaje sasaMtalaka wangu aliolewaga fasta fasta na ameachika tena baada ya kushindwa kuvumilia vipigo sababu nimeambiwa alikuwa anamletea jamaa jeuri,kiburi,dharau....Hakuna mwanaume anayejitambua atakubali mambo yenu ya kizungu na ligi za kishenzishenzi......Mbona Sasa hivi ninaishi na mwanamke ni banker lakini anajitahidi angalau kuna vitu hakubali house girl anifanyie...siku za katikati ya wiki,kazi nyingi anazifanya house girl ndiyo lakini kuna mipaka.....weekends anaingia mwenyewe jikoni ,nguo za kuvaa ananipangia vizuri , boxer na vest zangu hazishikwi na mtu mwingine yeyote, etc...etc....Huyu ndiye namuita Mke anayenifaa sasa...siyo nyie watu wa ligi za kishenzi
Nanina kuacha tarehe 1st January 2022!Hukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.
Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua