Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Kwahyo sista mwanaume asipokuwa na sauti, asipokufokea ,au asipokuwa na wivu ni lofa ? [emoji1787][emoji1787]Huyu mkewe analiwa I swear wanawake tunapenda mwanaume mwenye mwenye wivu,yaani mwenye sauti ndani ya nyumba!sio lofa km huyu nooo....thank you!!!!simtaki ht kwa buree
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Asa kaka,mwanaume huyo haulizi,hataki kujua unaenda wapi wala unarudi saa ngapi?yaani yeye kila kitu hewala tu!then mke amwambie aongeze mwingine yeye hewala tu!we unahisi hiyo sawa!?Kwahyo sista mwanaume asipokuwa na sauti, asipokufokea ,au asipokuwa na wivu ni lofa ? [emoji1787][emoji1787]
Wanaume sadist , misogynist, Kama sisi tunatamani kuwa na wanawake kama nyinyi .. achaneni na hao wapole malofa
Mtu inatakiwa uoe kamwanamke kapole kabisa vile vinavyotoa shikamoo mpaka kwa waume zao na kupiga goti kabisa. Ambako hata hela ya sabuni hakana. Hapa lazma utawale na kuona raha ya uanaume.
Sio unaoa limwanamke mmelingana elimu na kipato, matokeo yake halikupikii, halikufulii, unarudi usiku na yeye anarudi usiku na kuweka miguu juu ya meza. Sasa huyo atakua ni mwanamke au jike dume? wakuu kwa staili hii siutakuwa umeoa dume jenzako afu unajifariji una mwanamke.
Wanawake wanaojifanya wasomi sana au wana hela sana, msiwaoe wala msizae nao, wa hivo acheni waoane wanawake wao kwa wao wakasagane huko.
Kabisaa,nakaziaKwahyo sista mwanaume asipokuwa na sauti, asipokufokea ,au asipokuwa na wivu ni lofa ? [emoji1787][emoji1787]
Wanaume sadist , misogynist, Kama sisi tunatamani kuwa na wanawake kama nyinyi .. achaneni na hao wapole malofa
Mtu inatakiwa uoe kamwanamke kapole kabisa vile vinavyotoa shikamoo mpaka kwa waume zao na kupiga goti kabisa.
Me pia siwezi kumgombeza mtu maana nikiwa na hasira siwezagi kujieleza watu tumetofautiana personalities Kama mke unaondoka huja niaga na ukalala nje bila kutoa taharifa jua kwangu umetangaza Vita maana najua ata nikikuuliza utanidanganya na Niki panic naweza ata kukuchoma visu mwili mzima ..Bwege ni yule anaekaa kimya hata mke akikosea anaona sawa, Mke anarudi asubuhi yeye usiku kucha alikua busy kubembeleza watoto!!!
Binafsi hapana aisee
Hujanielewa. Na ni kwa sababu nimeandika kwa kifupi sana.nahisi hujaelewa point yangu. rudi kasome tena. hakuna sehemu nimesema mtoto ana hatia.
Wengine wanaogopa kuachwa. Hivyo anaamua kuwa kondoo. HahahaaaaaKabisaa,nakazia
Mwanaume inatakiwa unkuwa na sauti ndani,mkali kiasi unapoona vitu haviendi sawa, unavimba una control yaani! Mi mwanaume ambae hawezi kuni-control simtaki,simwezi!
Lzm ujue niko wapi na nafanya nn,
Lkn pia sio ukali usio na sbb,no!
Na pamoja na hayo aweze kubembeleza pia inapotakiwa,awe romantic ndio maisha,na ndo wanawake wanavyotaka ukiwa mpole wanawake tuna midomo tunakupanda kichwani, tunakuona fala.
Then kaa Kwenye nafasi yako km baba,mwanaune uone km mwanamke atafurukuta au kuleta ujinga!
Pole sana huyu ni mzembe na mchafu kabisaNGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Wanafanya hivyo ukienda nyumbani lazima uwakwarue tena vzr na kuwaosha maana yeye huwa anakwarua kwa speed tuu sio kama weweDuuh..pole sana.
Ila hapo kwenye samaki na kuku kuna mbadala.
Sidhani kama kuna ulazima wa yeye kukwarua samaki na kukata vinyeo, unless otherwise mnawavua wenyewe..
Wanaowauzia wanaweza fanya hayo mkipenda
Hii nakataa mkuu inategemea hasa kwa sisi wanaume tinaozalisha bila ndoa haya yote uliyoelezea huenda yasitokee na yakabaki kuwa jukumu la mzazi mmoja tu pekee,ukizaa na mwanamke/mwanaume ambaye mliokotana huko mabarabarani, inakuwa ni kama umetengeneza agano la kiroho na yeye.
hata kama ulikuwa humpendi, you will always be haunted by her/him whenever you go. mtoto wenu anakuwa kiungo cha kuwavuta pamoja.
kwa hiyo kuna siku mtajikuta mpo eneo moja ili kusolve jambo muhimu linalomuhusu mtoto.
inaweza kuwa kwenye ofisi ya mwalimu mkuu wa shule anayosoma, chumba cha hospital ambayo kalazwa, chumba cha mahakama, kituo cha polisi, ofisi ya ustawi nk.
Mkuu hawa viumbe ni wagumu mno, ukitumia akili yako halisi kupambana nao unaweza pata ukichaa, cha msingi ni kujifaya kama huna akili na kumpuuza tu.Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Ushasema yote Dada!siongezi tena ila pita kwa mangi chukua Pepsi unywee!!!Kabisaa,nakazia
Mwanaume inatakiwa unkuwa na sauti ndani,mkali kiasi unapoona vitu haviendi sawa, unavimba una control yaani! Mi mwanaume ambae hawezi kuni-control simtaki,simwezi!
Lzm ujue niko wapi na nafanya nn,
Lkn pia sio ukali usio na sbb,no!
Na pamoja na hayo aweze kubembeleza pia inapotakiwa,awe romantic ndio maisha,na ndo wanawake wanavyotaka ukiwa mpole wanawake tuna midomo tunakupanda kichwani, tunakuona fala.
Then kaa Kwenye nafasi yako km baba,mwanaune uone km mwanamke atafurukuta au kuleta ujinga!
Duuh nikajua ni mimi tu, jamani kazi hii ngumu mno...NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]duuhhhh....hii kweli au move?!!Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.
Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko. Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.
Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.
Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Hivi mnajua wanaume wa siku hizi ninyi? Nina shemeji yangu hata unipe na nyongeza juu simtaki kabisa. mtu hata kazi ya kuleta kipato cha nyumbani anapiga cha juu kwa mekweke? Mke ahangaike yeye akae kama ngombe la mnada halafu watafute tender asimamie aongeze hela kwa kila kitu mara nondo mchanga daaah yule ni chuma ulete wa maana badilika broNdivyo inavyotakiwa baba asimame km baba mpe baba majukumu yake,shida inaanza tunataka tujipendekeze Mara ufanye hiki,Mara kile automatically atajihis inferior tuu...labda aamue kukuomba umsaidie tena sio kila itokee kwa mwaka Mara 1 au Mara 2 hivi!
Pesa yako fanyia mambo yako au kama mnachanga hakikisha yeye amezidi kea kila hatua!!
Mfanye ajiskie baba ,ukitaka kujifanya wewe ndo mwenye uwezo Mara sijui ufanye hiki unnue kile rafiki ,mtakwaruzana tu atajiona hana thamani.
Muache Annue mpk kiberiti,hii Tabia ya kujifanya eti na miye naweza kwa kua na kazi inatugharimu then tunaonekana tuna kiburi tuna jeuri n.k..!!!
Msaidie inapobidi sio ubebe majukumu ya baba au Mme!hamtaelewna never ever....!!!!Ada wewe,pango wewe,Mara sijui kila kitu kaaah,na unamuambia kama huwezi baasi ntafanya mwenyewe...hii mbaya kabisaa ndo tunapofeli hapo!
[emoji134][emoji849][emoji144][emoji125]nimekosa hata cha kusema!Mimi nilimwoa mke mchawi Mwenye malengo ya kuwa na nyumba yake na baadae awe single mother . Niliishi nae kwa miaka 18 na kubarikiwa kuwa na watoto 2.
Alinipiga na kitu kizito cha kienyeji nikaugua ugonjwa wa ajabu na kuachishwa kazi, Nikaenda kulima akatuma kombola na heka 25 zote za nyanya bado week moja kuvunwa zikateketea kwa mafuriko. Nikapatwa BP kwa Ile hasara nikaishia hospital. Nilipo rudi nyumbani aliondoka na ku niacha , akachukua Hati ya Kiwanja changu na vyombo vyote vya ndani nikabaki nalala juu ya tiles kavu.
Baada ya miezi 2 kaja kushinikiza nyumba iuzwe na ikauzwa ili apate jasho lake.
Nina mwaka wa 7 Sina mke wala hamu ya kuoa Tena.
Dada ako ana moyo[emoji119]Hivi mnajua wanaume wa siku hizi ninyi? Nina shemeji yangu hata unipe na nyongeza juu simtaki kabisa. mtu hata kazi ya kuleta kipato cha nyumbani anapiga cha juu kwa mekweke? Mke ahangaike yeye akae kama ngombe la mnada halafu watafute tender asimamie aongeze hela kwa kila kitu mara nondo mchanga daaah yule ni chuma ulete wa maana badilika bro