love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Huu upupu wako unapata wapi confidence ya kuuandika!!!?Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Mkuu acha hasira.Huu upupu wako unapata wapi confidence ya kuuandika!!!?
Mwanamke gani anayeweza kusimama even for a second ku-argue yeye ni better than man!?
Stephene Hawking alisema the enemy of education are not the educated but the one with eduction illusion.
Mmepewa lift mnaomba na kupiga...
Mwamke yeyote ni kilaza uki-compare na mwanaume yeyote haijalishi ni cooperate
au ni phd holder wa havard au Massachussetts.
Wewe dada unawazimu uvurugwe ndio iwe excuse ya kujisahau kama wewe ni mke!!!?Umeandika tu haya huwajui wanaume kinachowatesa sio wanawake wafanya kazi ni inferiority complex ndio huleta hayo yote, mwanaume asiye jiamini huwa hana jema hata ukikosea ka binadamu atakyshambulia kuwa unaringa una elimu na umemuzidi mshahara kumbe wala mtu umevurugwa tu, so kuna wanawake Wana vyeo na wanaheshimu waume zenu, ila Ile inferiority wengi inawafanya wajione less wanaume, pia mahusiano na kugombana kupo tu uwe na shule kubws au ndogo daily kina mwajuma ndala ndefu huolewa na kuachika, so relationship ikishindikana inabidi kujiuliza ni wapi tulikwama na sio ku blame one side of the story, and from my experience saa nyingine wanaume kutokusimama ka familia na kujisahau na kufanya vitu huwafanya wanawake na wao wawe wakorofi waanze kushindana, na vile ni ngumu mwanamke mwenye kipato kuvumilia mateso ya mtu anaondoka.
So I'm sure wanawake wakiwa na kipato Cha uhakika ni nadra kuvumilia ndoa chungu umaskini hufanya watu wavumilie hata visivo vumilika
Sio weak men tu..Mkuu acha hasira.
Yaani umeona weak men ukahakikisha tumejua wewe ni mmoja wao.
Pole. Grow some balls.
Wanaume wanaozidiwa akili na wanawake wapo kibao tunawaona, wacha kupaisha wanaume vilaza.Huu upupu wako unapata wapi confidence ya kuuandika!!!?
Mwanamke gani anayeweza kusimama even for a second ku-argue yeye ni better than man!?
Stephene Hawking alisema the enemy of education are not the educated but the one with eduction illusion.
Mmepewa lift mnaomba na kupiga...
Mwamke yeyote ni kilaza uki-compare na mwanaume yeyote haijalishi ni cooperate
au ni phd holder wa havard au Massachussetts.
Hahaha!!! hawa wanao bebwa kwa kuwa ni wanawake!!?Wanaume wanaozidiwa akili na wanawake wapo kibao tunawaona, wacha kupaisha wanaume vilaza.
Wanaume vilaza wapo kubali au kataa, wapo.Hahaha!!! hawa wanao bebwa kwa kuwa ni wanawake!!?
Mnabebwa na wanaume sasa mnataka mnakojolea na alie wabeba..
Semen ni value gan mmeadi kuzisaidia familia zenu, jamii yenu na dunia kwa ujumla
nyie mnaojiita wasomi kwa rushwa ya ngono.
Wapo kulinganisha na wanaume wenzao sio na viumbe dhaifuWanaume vilaza wapo kubali au kataa, wapo.
Wanawake smart wapo na ndio naowasemea hapa, kuna wanaume ukiwafananisha nao ni sawa sawa na hakuna.Wapo kulinganisha na wanaume wenzao sio na viumbe dhaifu
vinavyotegemewa kubebwa na wanaume vijiiete smart.
Hao wanawake labda wako universe nyingine...Wanawake smart wapo na ndio naowasemea hapa, kuna wanaume ukiwafanisha nao ni sawa sawa na hakuna.
Haya,baki na unaloliamini.Hao wanawake labda wako universe nyingine...
Mwanamke hayupo anayeweza kusimama yuko hapo for her personal strugle nyie
mnabebwa na mbeleko na wanaume..
Toka sayari dunia imeumbwa sijawahi kusikia mchango wa mwanamke ulio impact sayari yetu.
Labda huu ujuajji wakujiita msomi kisa umemalza udsm..
Kama huo mchango upo naomba uuweke.
Wanaume wame sacrifice maisha yao kwa kila kitu wanafanya kazi usiku na mchana,Wanawake smart wapo na ndio naowasemea hapa, kuna wanaume ukiwafanisha nao ni sawa sawa na hakuna.
[emoji1787][emoji1787] haya umesomeka. Uwe na muda mwema.Wanaume wame sacrifice maisha yao kwa kila kitu wanafanya kazi usiku na mchana,
ujenzi wa kila kitu, maabara na kila kona bila kuangalia watapoteza au kunufaika vipi..
Ninyi kazi yenu ni kudai usawa mmpewe viti maalum bungeni, kama mko sawa na wanaume
kwa nini msidai haki sawa kuanzia huko chini ujenzi, kuzibua chemab nk.
Mnakaa ofsini kwenye maghorofa, mnatembea kwenye lami bila kuhoji
mchango wa wanawake sehemu hizo kazi nikudai haki sawa bungeni mnawazimu sio bure.
Mnamsaada gani kwenye hii dunia ninyi viumbe zaidi ya uharibifu.Haya,baki na unaloliamini.
Mwenzangu watu wamepasukiwa na nyongo heheeHuu Uzi una comments za makasiriko[emoji1787][emoji1787]
Pole rafiki. Ndio maana mmeambiwa msioe au ulikimbia kikao??Nasikitika sana mwanamke kadri unavyozidi kumthamini,kumuheshimu na kuhakikisha anapata kila anacho hitaji ndivyo jinsi anavyozidi kukudharau, ukifunga vioo na ukaamua kuachana nae bado hataki uendelee na maisha yako kwa amani matokeo yake anatafuta njia na mbinu ya kukuharibia maisha yako au kukuangamiza kabisa
Hadi unashindwa kuelewa kosa lako ni nini kumpenda na kumthamini au kosa lako ni kumuacha aende kuishi maisha yake baada ya kukuona wewe huna maana kwake
Jitahidi kufocus na mambo yanayokupa faida maishani mwako , wanawake achana nasi.Mnamsaada gani kwenye hii dunia ninyi viumbe zaidi ya uharibifu.