Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Mwanamke kutimiza majukumu yake siyo utumwa, ni uwajibikaji - waache wawajibike.Ni sawa kabisa.
Hawa wanawake zetu tusiwafanye kama watumwa wetu.
Mara moja moja saidia kufua,kutandika kitanda,kuwaosha watoto inaongeza upendo pia.