Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Kaoe type yako mkuu unaoendana maono Sasa Karne hii ya 21 unabebewa maji kwa ndoo bafuni ka si ushamba nini?
Mume wangu awaze vitu vikubwa vya kimaisha sio kuwaza mie nimubebee maji kwa ndoo maana hapo bado tutakuwa tunaishi kwenye poverty line
Ww huna heshima hata kidogo , unajifanya sijui et mumeo anawaza vitu vikubwa , umeshasema huwezi muhandle mumeo , huwezi kumthamini mtu ambaye hana shukurani
 
Kati ya samia na mwigulu nani anafanya kazi nyingi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kama mwenzio kachoka jamani, ukute nae mvua imempiga. Sasa hapo mtafanyaje?
Hahahahahah mvua imempiga yupo kwenye ac? πŸ˜…
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo hamchelewi kutuita mafeminist kumbe logic za kawaida tu. Kama wewe unachoka na mke wako anachoka vile vile uzuri kizazi cha nyoka hiki tunanyooshana
Feminists mmekuja kutuharibia taratibu za dunia yetu[emoji2]
 
sidhani kama wewe ni Me....yaani mke akiwa nyumbani kutwa yupo insta au whatsapp ....Mume anahangaika na kuosha vyombo nk....kweli?
 
Kwanini msioe tu hao wadada wanaoshinda nyumbani?
Wataolewa wa makazini sana tu, na spana za kutosha watachezea..tena spana malaya! Hatutaki ujinga sisi, kwani Mungu alisemaje eti, sisi ni vichwa, kichwa gani kikasonga ugali na kuanza kutoa makamasi jikoniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Chakula cha mke kitamu ukikua utaelewa
 
Facts
 
Haha... Na hapo lazima wagombane na mkwe wake, halafu hapa anataka mtoto wa mwenzie afanye mambo ya ajabu, haikubaliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…