[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Duuh..pole sana.
Ila hapo kwenye samaki na kuku kuna mbadala.
Sidhani kama kuna ulazima wa yeye kukwarua samaki na kukata vinyeo, unless otherwise mnawavua wenyewe..
Wanaowauzia wanaweza fanya hayo mkipenda
Aisee, kwa hali hii tutaoa kweli?NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu. Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika! Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani ya vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu. Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Baada ya miaka 15 mbele ya ndoa yako naww hakuna rangi utaacha ona..[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Kuota mapembe huku ndio maana jamaa hapo juu anashauri ukapime DNA kujua kama watoto wote 4 ni wa kwakoNilimkuta akiwa hana ishu mkuu.....kuanzia shule mpaka kuanza kazi ...ila akaja kuota mapembe baadaye
Fafanua zaidi mkuu [emoji55][emoji55]Si kweli
Si ndiyo hapo sasa mimi hili nitapinga miaka buku! Haiwezekani mume na mke wasaidiane kulipa bills!Being a woman isn't easy..ukikaa nyumbani utaitwa golikipa hata ukifanya majukumu yote utatafitiwa sababu
Ukienda kutafuta 'msaidiane' ukirudi bado utatafitiwa sababu na kuonekana less of a woman, ukisema umechoka unaambiwa kipato kinakupa jeuri
Watu wanafata hela na connection vikiisha ndio wanaona wapenzi wao wabayaKwa maisha ya leo 2021...vijana wenzangu waoe kwa kufuata hela na connection...
Kumbadilisha mtu mzima Ni kazi na swez kupoteza mda kufanya hvo. Kwa nn nilazimishe kukaa na mtu ambae naona chemistry zinakataa.Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Ila alikuja kuzidi mahali ndio maana ndio ikawashinda kwa uzoefu wangu wanaume wanaoendelezewa kielimu au kibiashara ndoa zao hufa, a moment mke akipata kazi au hela humuona mume si chochoteVery funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]mtaachana tu
Tena housegirl hapo ndo mtihani maradufu..ataambiwa anajua ratiba ya baba kuliko mke mtu[emoji23][emoji23][emoji23]Si ndiyo hapo sasa mimi hili nitapinga miaka buku! Haiwezekani mume na mke wasaidiane kulipa bills!
Then linapokuja suala la kazi za nyumbani wote mnaenda kazini asubuhi mnarudi usiku mmechoka! Ila mkirudi mke ndiyo apike aoshe vyombo na bado afue na afanye usafi mume kumsaidia hataki na mkiweka housegirl lawama duuh!
Yes haswa wivu, ni chanzo bana, anyway wangevumiliana tu maana hata huyu mwanaume mkorofi kwanini upige mke, nadhani huyu mwanaume alishindwa kusoma saikolojia ya mkewe huko kumpiga piga ndio kulimfanya awe jeuri na aanze kuwa busy na kazi na hata kuchepuka na mwishowe ndoa kuwa Chali.mjomba alikua akifikiria dinner meeting za kila siku anaona kabisa mama huko alikokua wakurugwa wameshamkula wife [emoji1787][emoji1787]
5yrs to 10yrs hiko kipindi hapoo!Mungu awapiganie[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]