joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wakubwa wa mwili.Mimi sikutanagi na wajinga nakutanaga na watu wakubwa tunasaidiana maisha na connection, huyo Mario msingi kiuno amtake nani wengine tumetumwa kutafta hela mjini, too ambitious
What do you mean?Wakubwa wa mwili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Na unakuta mgongo wake wala hauna tatizo lolote.
Soma comments kuna mmoja amemuoa mama wa nyumban na anamkera. Usikariri
Usikute maza ako alikuwa anampelekea dingi ako bafuni[emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume wakubebewa maji bafuni akapimwe akili
Ukioa size yako huwezi mlalamikia kabisa tofauti na kutaka mambo makubwa kuliko uwezoNi kweli mkuu tuoe wanawake size zetu wenye heshima nyie maviburi na ujuaji sio size yetu
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Kiburi na ujuaji havihusiani na usomi au umama wa nyumbani. Ni tabia ya mtu ipo damuni mwake. Ni sawa na mtu mwenye roho mbaya au mchoyo.Kukerwa na mwanamke asiejua kupika ni TOFAUTI NA KUKERWA NA JANAMKE KIBURI, LIJUAJI na mwananke kiburi hua linakua MALAYA pia. Sasa mwanamke mvivu anavumilika na anarekebishika. Haya niambie janamke jeuri na lijuaji linarekebishika vipi ?!
Nilijibu kulingana na huyu mleta mada alimpenda kwa ajili ya kazi na connection kubwa za hela, so it's obvious hakukuwa na love,@cariha unamaanisha wanawake wote wenye uwezo ukiwatongoza ni kwamba umefata connection na hela?
Yeah wanawake wengi huwa ni whiners,Na ndivyo wanavyo-play. Wanafanya mind manipulation halafu ndiyo wanakugeuza kuwa mwanamke huku wao wakichukua nafasi ya mwanaume. Halafu wanakusifia upo romantic, gentleman na majina kama hayo. [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utajua hujui
Kudeka tu. Watoto wakudekee bado na jitu zima lenye ndevu zake lideke. Ubebane na ndoo ya lita 20 kupeleka bafuni halafu baadae anakuja JF mke wangu siku hizi hanivutii kakomaa mikono. Hapo amesahau mikazi uliyokua anaifanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na unakuta mgongo wake wala hauna tatizo lolote.
Ni wajibu wenuRoho mbaya tuu na kutotimiza wajibu mbona sie wanaume tunachoka na kuoambania hela ila tunahudumia.
4 years ni minimum ya probation but baware kuna pretenders kibao4yrs ?? Dah hatar sana
Shida wakioa wanakuwa walemavu ghalfaKudeka tu. Watoto wakudekee bado na jitu zima lenye ndevu zake lideke. Ubebane na ndoo ya lita 20 kupeleka bafuni halafu baadae anakuja JF mke wangu siku hizi hanivutii kakomaa mikono. Hapo amesahau mikazi uliyokua anaifanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mshamba wakukaa naye Mita 200 ka za uchaguziWakati unamuona mwenzio mshamba we unadhani anakufikiriaje!!?[emoji1787][emoji1787]
[emoji122][emoji122]Inferiority complex inamfanya mwanaume awe kipofu wa kusimama ka head of family, Matokeo yake hata changamoto za kutatua kikawaida kwa kutumia akili yeye atalaumu kazi na kipato Cha mkewe kuwa ndio ina mpa jeuri, na kusahau kutofautiana kuko tu mtu awe msomi au lah, mtu anayelalamika badala ya ku solve tatizo na too much lawama yeye ndio ana shida
Natural ndio nzuriSikuhizi Nazi hazikunwi unanua na unakuniwa bure kabisa acheni kujichosha
Hata wanaume pretenders wapo kibao...isionekane tu wanawake ndio tuna matatizo.4 years ni minimum ya probation but baware kuna pretenders kibao
Durimg hzo 4 years wanajifanya malavidavi ,hard workers ,sasa put the ring on haahah utakuja hadithia kama mleta mada hapa
Au yule alielishwa kuku mwenye kinyeo[emoji1787][emoji1787]after 12 fvckimg years [emoji1787][emoji1787]