Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Mimi sikutanagi na wajinga nakutanaga na watu wakubwa tunasaidiana maisha na connection, huyo Mario msingi kiuno amtake nani wengine tumetumwa kutafta hela mjini, too ambitious
Wakubwa wa mwili.
 
Soma comments kuna mmoja amemuoa mama wa nyumban na anamkera. Usikariri

Kukerwa na mwanamke asiejua kupika ni TOFAUTI NA KUKERWA NA JANAMKE KIBURI, LIJUAJI na mwananke kiburi hua linakua MALAYA pia. Sasa mwanamke mvivu anavumilika na anarekebishika. Haya niambie janamke jeuri na lijuaji linarekebishika vipi ?!
 
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.

Corporate women are not for the weak men.

Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.

Alfa male tunaowa manawake wanajua majukumu yao hao unaowasema wewe ni ma simps.
 
Kukerwa na mwanamke asiejua kupika ni TOFAUTI NA KUKERWA NA JANAMKE KIBURI, LIJUAJI na mwananke kiburi hua linakua MALAYA pia. Sasa mwanamke mvivu anavumilika na anarekebishika. Haya niambie janamke jeuri na lijuaji linarekebishika vipi ?!
Kiburi na ujuaji havihusiani na usomi au umama wa nyumbani. Ni tabia ya mtu ipo damuni mwake. Ni sawa na mtu mwenye roho mbaya au mchoyo.
 
Na ndivyo wanavyo-play. Wanafanya mind manipulation halafu ndiyo wanakugeuza kuwa mwanamke huku wao wakichukua nafasi ya mwanaume. Halafu wanakusifia upo romantic, gentleman na majina kama hayo. [emoji16]
Yeah wanawake wengi huwa ni whiners,

Hupenda kuji-victimize

Cha ajabu hata sheria za siku hizi zinawabeba

Just imagine kuna mama juzi kati kaua watoto wameshakuja na excuse eti ana mental health problems.

Angwekuwa mwanaume hakuna mjadala life sentence inakuhusu barabara!!
 
4yrs ?? Dah hatar sana
4 years ni minimum ya probation but baware kuna pretenders kibao

Durimg hzo 4 years wanajifanya malavidavi ,hard workers ,sasa put the ring on haahah utakuja hadithia kama mleta mada hapa

Au yule alielishwa kuku mwenye kinyeo[emoji1787][emoji1787]after 12 fvckimg years [emoji1787][emoji1787]
 
15 Years sijafika. NImejifunza kitu. And Ukweli Maisha ya ndoa ya Corporate Personnel yana changamoto sana. Kuna Mahitaji ya Wanaume kwenye Ndoa yanatakiwa either kuwa modified Or Else changamoto ni kubwa sana
 
Inferiority complex inamfanya mwanaume awe kipofu wa kusimama ka head of family, Matokeo yake hata changamoto za kutatua kikawaida kwa kutumia akili yeye atalaumu kazi na kipato Cha mkewe kuwa ndio ina mpa jeuri, na kusahau kutofautiana kuko tu mtu awe msomi au lah, mtu anayelalamika badala ya ku solve tatizo na too much lawama yeye ndio ana shida
[emoji122][emoji122]
 
Sikuhizi Nazi hazikunwi unanua na unakuniwa bure kabisa acheni kujichosha
Natural ndio nzuri

Hayo kununua ni source ya kansa,kisukari na upungufu wa nguvu za kiume zinazotumika kuwakaza vizuri

Kweli cariha badlika bhana[emoji2]
 
4 years ni minimum ya probation but baware kuna pretenders kibao

Durimg hzo 4 years wanajifanya malavidavi ,hard workers ,sasa put the ring on haahah utakuja hadithia kama mleta mada hapa

Au yule alielishwa kuku mwenye kinyeo[emoji1787][emoji1787]after 12 fvckimg years [emoji1787][emoji1787]
Hata wanaume pretenders wapo kibao...isionekane tu wanawake ndio tuna matatizo.
 
Back
Top Bottom