Kwa kweli yaani mtu kitu kakiacha ndani wakati anatoka nje then anakwambia uliopo ndani umletee nje😬😬😬[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utumwa huo
Angalau kwetu jamaniii kwenu too much😬Kama nyie mnavyokuwa maskini ghafla mkitongozwa😅
Ndo' umeona ushauri bora zaidi sio?!
Kuna wengine tuna mpango wa kwenda Mbinguni mkuu!
Mahusiano yako sio ya kwao[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Kiburi na ujuaji havihusiani na usomi au umama wa nyumbani. Ni tabia ya mtu ipo damuni mwake. Ni sawa na mtu mwenye roho mbaya au mchoyo.
Duh! Kwa hiyo jamaa kaoa ila anapika, kufua na kusafisha nyumba??Nna rafiki yangu yuko kwenye late 40s yeye na mke wake.
Mke wake kuhusu suala na usafi wa nyumba, kupika, kufua kwakweli Mungu amsamehe.
Ila ana roho nzuri yule mama yani ana roho nzuri sana.
Mmewe yeye ananiambiaga ashakubaliana na mkewe, uwa anafua mwenyewe na anamfulia mkewe maana uwa ana tabia analoweka nguo anaweza ziacha hata week kwenye maji.
Usafi wa nyumba hicho ni kisanga.
Mwanzo walikuwa wanagombana sana, ila baada ya kukubali hali wako fresh.
Na mkewe anampenda sana mmewe sema ndo kupika, kufua, usafi umegoma. Na pia anafanya kazi benki flani hivyo anakuwa bsy siku nyingine hadi weekend.
Khaaah!! Hebu kuweni wanaume jamani.
Jando lirudishwe tu[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kweli mkuu , wote hatuwezi kupita njia moja [emoji3][emoji3]Mahusiano yako sio ya kwao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama nyie mnavyokuwa maskini ghafla mkitongozwa[emoji28]
hakuna maumivu kama yale ndugu yangu....waache wawa tetee tuEti wanawake na watoto, mimi nasema watoto ndio wanaoathirika sana
Hapo kwa mwanamke au mwanaume kuathirika inategemea na akili ya hao wawili,,,ila mke wa mtoa mada alizingua bhana hata kama uko kazini ndo ushindwe kumhudumia mumeo hata weekend's? hapana jaman mimi nakataaaa
Tatizo mmeolewa na Marioo....Mimi wa kwangu alikuwa hatoi financial support yeyote, pamoja na kwamba alikuwa anajiweza...lakini kitu chochote kikiisha mfano jikoni eg chumvi,mboga,mkate,juisi nk lazima beki tatu anitafute mimi , yeye hana habari kabisa na kinachoendelea ndani mwake.....halafu kazi za nyumbani siyo lazima kusugua masufuria,yupo beki tatu,...lakini yeye hata kumuomba glasi ya maji au kupakua chakula au kupanga nguo tu ni mbinde ya kufa mtu....sasa hapo mume nakuwa kichwa au mkia?Kwahiyo sisi ndiyo tuliumbiwa kuteseka eeh, kamume kenyewe kamekaa sebuleni tu kameshika remote, mama anapalangana na masufuria jikoni, bado na kuoga upelekwe,akii wewe utatulisha kwa jasho humo ndani yaani utalipa kila bills sitoi mimi chochote na siku nikitoa pesa nakuandika kwenye kitabu cha madeni cha familia utanirefund tu.😂 si wataka kuwa kichwa cha familia eeh sawa sisi mikia tutakudekeza baba.ila utalipia hadi chumvi.🏃♀️
Hakuna mwenye uhakika kama watoto ni wake.....nyie hakuna anaye waelewa...shithole!Mkuu wewe shida huna mshukuru Mungu!!!
Vaa viatu vya mleta mada hapo inawezekana hata watoto kuna wengine siyo damu yake,hayo ya kwako mepesi sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaHizo hela za kikoba usishobokee maana watakuja kikosi kazi kukuzodoa [emoji28][emoji28][emoji28] hutaamini!
Mengineyo tuko pamoja
Duh something for the kids uwe unatafta mda wa kukaa nao nakutoka out, pia uwe una wa spoil na vitu wanavopenda, huyo mkeo sorry to this ana akili ndogo na Ali grow mazingira ya ajabu hivi mama wa nyumbani anashindwaje kuandaa hata chakula kizuri au kuparua samaki si aibu tupu.
Na hizo sumu anazowalisha watoto waeleze a, b, c, d isije ku ku cost wewe ka provider siku ukiwa mtu mzima utengwe bure iwe ka hujazaa
Warekebishe maelekezo kuwa jamaa kaolewa na mzigo hapigi bila shaka. Mwanaune weak namna hio huwa kuna sababu huenda hata kusimamisha mashine hasimamishi😅Duh! Kwa hiyo jamaa kaoa ila anapika, kufua na kusafisha nyumba??
kama haujui mahaba ...hili litakusumbua sanaHatukatai kuhudumia ila kuna wengine wamezidi maji ya kunywa ukamchukulie,Viatu kaviacha ndani anatoka nje nipe viatu ndani jamaniii😬😬😬😬
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ndivyo dunia ilivyo mama. Huwa nafikiri ni mgonjwa wa akili japo haonyeshi dalili nyingine za aina hiyo huko nje. Ni mimi ninayekaa naye tu ndiye ninaye mjua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]inaonekana wewe ni mtoto wa kishua ....halafu elimu inakutia ujeuri....unashindwa kutofautisha ishu za kifamilia na ndani ya ndoa....endelea hivyo hivyo utapata wa kugawana naye kazi za ndani.......huyo baba yako mdogo kama kaoa huko aliko anaendelea na kukuna nazi,kumfulia mkewe na kupika?
Hujanielewa.
Huyu mwanamme angesimama kama mwanamme, sio kibabe, kwa upendo na busara angeiongoza familia na isingevunjika.
AsanteSema kuna wababa wanateseka sana kwenye hizi nyumba..!!
Mungu akutieni nguvu Walakhy..