Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Kiburi na ujuaji havihusiani na usomi au umama wa nyumbani. Ni tabia ya mtu ipo damuni mwake. Ni sawa na mtu mwenye roho mbaya au mchoyo.

Sio kweli, elimu na viajira huwa wanawake jeuri. Hata mtoa mada kaliweka vema kua alimsomesha akamtaftia kazi ndio janamke likaota mapembe.
 
Nna rafiki yangu yuko kwenye late 40s yeye na mke wake.
Mke wake kuhusu suala na usafi wa nyumba, kupika, kufua kwakweli Mungu amsamehe.
Ila ana roho nzuri yule mama yani ana roho nzuri sana.
Mmewe yeye ananiambiaga ashakubaliana na mkewe, uwa anafua mwenyewe na anamfulia mkewe maana uwa ana tabia analoweka nguo anaweza ziacha hata week kwenye maji.
Usafi wa nyumba hicho ni kisanga.
Mwanzo walikuwa wanagombana sana, ila baada ya kukubali hali wako fresh.
Na mkewe anampenda sana mmewe sema ndo kupika, kufua, usafi umegoma. Na pia anafanya kazi benki flani hivyo anakuwa bsy siku nyingine hadi weekend.
Duh! Kwa hiyo jamaa kaoa ila anapika, kufua na kusafisha nyumba??
 
Khaaah!! Hebu kuweni wanaume jamani.
Jando lirudishwe tu[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]

Vipi na nyie mmeshakua wanawake au bado mnajishindanisha na wanaume ?! Na nyie mtakua wanamake na mfanye majukumu ya mwanamke au mtaendelea kua midumejike ?!
 
Eti wanawake na watoto, mimi nasema watoto ndio wanaoathirika sana

Hapo kwa mwanamke au mwanaume kuathirika inategemea na akili ya hao wawili,,,ila mke wa mtoa mada alizingua bhana hata kama uko kazini ndo ushindwe kumhudumia mumeo hata weekend's? hapana jaman mimi nakataaaa
hakuna maumivu kama yale ndugu yangu....waache wawa tetee tu
Kwahiyo sisi ndiyo tuliumbiwa kuteseka eeh, kamume kenyewe kamekaa sebuleni tu kameshika remote, mama anapalangana na masufuria jikoni, bado na kuoga upelekwe,akii wewe utatulisha kwa jasho humo ndani yaani utalipa kila bills sitoi mimi chochote na siku nikitoa pesa nakuandika kwenye kitabu cha madeni cha familia utanirefund tu.😂 si wataka kuwa kichwa cha familia eeh sawa sisi mikia tutakudekeza baba.ila utalipia hadi chumvi.🏃‍♀️
Tatizo mmeolewa na Marioo....Mimi wa kwangu alikuwa hatoi financial support yeyote, pamoja na kwamba alikuwa anajiweza...lakini kitu chochote kikiisha mfano jikoni eg chumvi,mboga,mkate,juisi nk lazima beki tatu anitafute mimi , yeye hana habari kabisa na kinachoendelea ndani mwake.....halafu kazi za nyumbani siyo lazima kusugua masufuria,yupo beki tatu,...lakini yeye hata kumuomba glasi ya maji au kupakua chakula au kupanga nguo tu ni mbinde ya kufa mtu....sasa hapo mume nakuwa kichwa au mkia?
 
Duh something for the kids uwe unatafta mda wa kukaa nao nakutoka out, pia uwe una wa spoil na vitu wanavopenda, huyo mkeo sorry to this ana akili ndogo na Ali grow mazingira ya ajabu hivi mama wa nyumbani anashindwaje kuandaa hata chakula kizuri au kuparua samaki si aibu tupu.
Na hizo sumu anazowalisha watoto waeleze a, b, c, d isije ku ku cost wewe ka provider siku ukiwa mtu mzima utengwe bure iwe ka hujazaa

Kwa mara ya kwanza nakubalianatna mewe kwenye post hii umesound kama mwanamke mwenye maadili mema na aweza kua mke na mama bora.

Kwemze post nyingine za ma ufeminist ya kijinga na ujuaji juaji naendelea kukupa nyundo tu sorry to say so.
 
inaonekana wewe ni mtoto wa kishua ....halafu elimu inakutia ujeuri....unashindwa kutofautisha ishu za kifamilia na ndani ya ndoa....endelea hivyo hivyo utapata wa kugawana naye kazi za ndani.......huyo baba yako mdogo kama kaoa huko aliko anaendelea na kukuna nazi,kumfulia mkewe na kupika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hujanielewa.

Huyu mwanamme angesimama kama mwanamme, sio kibabe, kwa upendo na busara angeiongoza familia na isingevunjika.

Kwa hyo mwanaume ndio alitakiwa kusimama kama mwanaume na sio mwanamke kusimama kama mwanamke akawe na heshima kwa mume na aache kiburi na umalaya ?!

Wanawake wa jf hua hamna akili, we unadhani mwanamke angekua sio malaya na kiburi angepigwa ?! Unasema aonyeshwe upendo, we unadhani mwanaume wakati anamuoa hakua na dhamira ya kumuonyesha upendo daima ?! Unadhani nini kilitokea mpaka mwanaume mmpige ?!

Mianamke ya jf pia hamna akili
 
Back
Top Bottom