Kosa lako kubwa kumsomesha mpenz hasomeshwi Bora unge somesha yatima au mitaa kuna watoto wakike Wana ufaulu mzur Tu sema familia zao duni, mpenzi mchumba au mke ukimtoa gizani na kumpeleka kwenye mwangaa lazima hata kusumbua tu maana utakuwa ume mpeleka kwenye dunia ambayo yeye na familia yake au ukoo hawaja wai kuishi umoVery funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Hilo janamke la aina hii uliliokota wapi[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kwenye post za u feminist lohKwa mara ya kwanza nakubalianatna mewe kwenye post hii umesound kama mwanamke mwenye maadili mema na aweza kua mke na mama bora.
Kwemze post nyingine za ma ufeminist ya kijinga na ujuaji juaji naendelea kukupa nyundo tu sorry to say so.
Mkuu shida ilikuwa ni wewe Kuna watu huwa hawabadiliki hata ufanyeje Sasa wewe ungepuuzia huo ujinga wake Sasa mkawa mnabishana wenyewe kwa wenyewe na kudundana juukazi sana kukuelewesha....sijui niiwekeje hii!!nilisema nilishamruhusu amtumie housegirl ili mambo yaende ,....yeye anaweza asifanye chochote mwenyewe lakini arekebishe/aboreshe kupitia housegirl....nalo likashindikana...alitakiwa kutoa maelekezo sahihi tu...kuna mambo yanamhusu mama mwenye nyumba moja kwa moja...ukimuelekeza lakini ataanza ubishi na mashindano! Tatizo wewe haujaolewa au una deal na Marioo tu!
Lipi litanisumbua mkuukama haujui mahaba ...hili litakusumbua sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kwenye post za u feminist loh
Amefanya hivo vitu mpaka sasa wanazeeka pamoja wakipendanainaonekana wewe ni mtoto wa kishua ....halafu elimu inakutia ujeuri....unashindwa kutofautisha ishu za kifamilia na ndani ya ndoa....endelea hivyo hivyo utapata wa kugawana naye kazi za ndani.......huyo baba yako mdogo kama kaoa huko aliko anaendelea na kukuna nazi,kumfulia mkewe na kupika?
Hii kauli huwa mnaielewa vibaya yaani baada ya vigezo(akae nyumbani hakuna kutoka isipokuwa kwa dharura au haja) na masharti(mwenye akili timamu) kuzingatiwa sasa ndiyo unaishi naye kwa AKILI.Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bado unabadili maneno na mwanzo unasema ulimkuta ni corporate tayari usibadili maneno Ili ufarijiwe kwa blunders zako, uhuni na kupiga mke hyo ni unacceptable kabisaKwa mfano mimi nilishamzidi mke tangia namchumbia mpaka kumtafutia kazi...ila akapata kauwezo flani....hakukuwa na inferiority complexity yeyote ile upande wangu......tabia za kiburi,jeuri na dharau zinajionyesha wazawazi haihitaji kutumia darubini....
Swali la msingi kwanza unamruhusu vipi mkeo aende kazini, yaani afanye kazi na wewe uko hai ? Hapo ndipo alipo kosea.Kuna wanaume wanaojielewa Hawa mind vitu vidogo sijui kubebewa maji sijui ku saviwa msosi kah in our family una jisevia, Sasa Hawa humu eti anavunja ndoa kisa mke alikuwa akitoka kazini hapiki Yani upendo unapimwa kwa kumugeuza mke house girl.
Ata nyie ni wajibu wenu kutupa mbususu kutwa mara tatuNi wajibu wenu
Kama mkeo anafanya kazi hapo kazi unayo ila kama mkeo ni mama wa nyumbani basi ishi naye kwa wema,muheshimu mjali na umtunze pia.[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Hata akiwa malaya si mwili wake why ujichukulie hatua mkononi?Kwa hyo mwanaume ndio alitakiwa kusimama kama mwanaume na sio mwanamke kusimama kama mwanamke akawe na heshima kwa mume na aache kiburi na umalaya ?!
Wanawake wa jf hua hamna akili, we unadhani mwanamke angekua sio malaya na kiburi angepigwa ?! Unasema aonyeshwe upendo, we unadhani mwanaume wakati anamuoa hakua na dhamira ya kumuonyesha upendo daima ?! Unadhani nini kilitokea mpaka mwanaume mmpige ?!
Mianamke ya jf pia hamna akili
Ukipewa hushuki Na huchoki akuAta nyie ni wajibu wenu kutupa mbususu kutwa mara tatu
Baba/kaka ubarikiwe.Tujaribu kuvaa uhusika wa wanawake tutaona ugumu wanaopata.
Au wanaume tujifunze kuwasaidia kazi wake zetu tunaweza angalau kuona ugumu wa kazi hizo.
Mimi nakumbuka wakati wife analea mtoto wetu mchanga hatukuwa na binti wa kazi nilikuwa naamka saa kumi kasoro nakosha vyombo,nafua nguo,nadeki,nasafisha jiko,napika chai,natia maji chooni ya kutumia then saa mbili nakoga naenda kwenye ishu zangu,yeye wife anabaki anapambana na mtoto.
Tulikiiishi kipindi hiko bila binti wa kazi,lakini hizo kazi zote ningemuachia mzigo ungezidi kuwa mzito.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti anakuzid mpk dhambi hahahahaaa huyo amuache tu hamfai[emoji23][emoji23][emoji23]maneno ya kujifariji tu hayo kila mtu hupata mtu wa type yake tena kusuuza rungu ka wote tuli enjoy no problem at all, wewe ukila mua na kutupa maganda yake hyo inakuwa furaha kwa chungu ku enjoy, tafuteni wanawake mnao wa mudu, wewe dhaifu kila idara unatafta strong woman aliyekuzidi kila kitu, kuanzia akili, hela hadi dhambi Matokeo yake ni kulia lia humu JF
[emoji23][emoji23][emoji23] Yani unakerwa na post zangu mkuu jichunguze life is too short kukasirika vitu visivo na kichwa wala miguu, ningekuwa na wewe na mimi ningekupiga kelbu moja matata sana mpaka ukome[emoji23][emoji23]Yeah for sure hua unanikera sana unapojifanya mjuaji kutetea hata ujinga kisa utetea tu gander yako. Hua natamani ungekua karibu nikuboost kofi moja akili ikukae sawa.
Inaitwa "dear ex i miss you" [emoji1787][emoji1787]Sasa kashaoa ya nini kuanza kukumbusha machungu jamani!
Daddii huwa hasumbui tena vikiwa mzani hujisevia tena nikimwambia I'm tired anasema pumzika Binti yangu Sasa mume yeye ni kikutuma tu kila saa mara niletee glass mara ninyooshee shati aaarghHahahaaa
Ila Baba yako unamsevia,right?
Personally sipendi mambo ya kusaidiwa hadi mambo ya kijinga hivyo
Ila wanawake ni wanafiki,just listen to yourself!
Baba sawa,ila mumeo,ni uonevu!
Huwa nawaza mtoto wa kiume unakubali vipi kusaidiwa na Mwanamke kutafuta pesa ? Wanawake dhaifu sana,ndiyo maana aliye waumba akawaambia mbaki manyumbani.Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!