Hehehe Wyatt ndani nyumba[emoji1732][emoji1732][emoji23]Kama wewe unalijua hilo kwamba ndoa haina chance ya ku survive kama mwanamke kampita mwanaume hela na elimu na kila kitu?
Inakuaje still unaenda kujiolesha kwake na unajua ana hizo "inferiority complexes"?
Na hii hoja ya inferiority complex mbona unawatumia wanaume tu yaani wanawake hawana?
Na ndoa zote zimevunjika kwa "inferiority complex" tu?
Stop this campaign bana
Huon huyo jamaa kinda mserereko afu yy ndo kabwagwaa....sasa nje njaa kali, lazima apate maujanja humu ya kumrudia! Au kujifarijiAu bado anamtaka maana asingeandika hapa
Umenichekesha Elli, huwa nna hulka ya kutopenda kushikwa hadharani!Kumbuka tu, tunaitawala dunia, mambo on the ground sio kama tunavyojadili hapa, mtapika, mtadeki, mtaosha vyombo, mtafua, mtatenga maji...halafu mtatupa mbususu! Tena ukipapaswa kalio usiku tulia kabisa usikilizie [emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
HayaSi kweli..huyo ni mkoswa hela hana maana
Amekosa hela na pia home economics planning yake ni very poor
Ndio maana hadi viombo anaosha yeye badala ya kumpa hata mwanadamu mwingine nae apate chochote
Hata hunishughulishi.Mwanamke gani badala ya kumuheshimu mume anatembeza kum.a ovyo. Malaya unamtetea malaya mwenzako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]Huwezi amini na yote hayo bado anachepuka...ila sema anakuwa na woga flani
So did you meet within marriage?We jidanganye tu.. Eti kusimama, hv (nisamehe chief, sijui jinsia yako) ushawai kuwa na mke / mume kiburi tena kile cha kuzaliwa? Usidhani ni jambo dogo kubadili tabia ya mtu mzima, serikali yenyewe imeweka jela, mtu hajarekebishwa kwao huko na wazazi uje kuwa wewe? Funny
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama kawa mama la mama
Kuna mashori wenzio eti wanataka kukataa kufanya kazi za ndani around home
My brain really dont register this kind of stupidity
Sasa imefikia such that any job ndani ya nyumba watu wawili mkae mpige kura nani aifanye?
How do we organize these jobs among these two fools?
Jamii ilikuaga haina jawabu lake ila genius mmoja akasema lets assign these jobs based on gender (yaani gender based roles)
That was and still the only possible and successful solution todate on this madness...
Sasa kuna wenzako hawataki hili.....Ukiwauliza wana solution better than this?Hawana...
Wanataka kila kazi ndani ya nyumba ifanyiwe bunge huru,ipigiwe kura apewe nani among you two,then ndio ifanyike...
Thats madness na sio practical kabisa!
We won't argue about that young man.[emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji724][emoji724][emoji724][emoji724][emoji724][emoji724] wrooooooong,,, no one can tame a wild woman,,, hata alpha hawezi
Aisee wewe hyna akili kabisaWadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Mbona wanaume tulisha kubaliana hapa ndani kwamba hakuna kuoa...😕
Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Mimi hata utani tu siufanyi. Kwangu ni kama jehanum. Baada ya kuona ujeuri wake na kiburi unazidi na ni king'ang'anizi. Maana nilimwambia twende mahakamani au kanisani mimi nitakuachia nyumba na kila kitu,akakataa.Nashukuru, vinginevyo ningeua au ningekuwa chizi.....kweli kuna watu wanaongea tu humu lakini kuna wanawake majeuri na viburi siyo vya nchi hii....yaani inafikia kurudi nyumbani kwako unaona kama unakwenda jela?....yaani hata akiwahi kurudi au weekends au public holidays hajishughulishi na chochote zaidi ya kuwa bize na simu ,ipad nk......Wacheni nyie jamani!
Mwanamke msomi ishi naye kama demu wako. Ukitaka kuishi naye kama mke wako utakufa kwa mawazo
Kama ambavyo wewe unaona dili kumpa mkeo pesa kisa eti naye anafanya kazi na ana mshahara wake! Ndivyo na yeye anavyoona kupika ni ishu (huko huko kupika tu ndiyo)!Sasa kumpikia mume wako ni ishu jmn? Kweli? Kupika tuu. Kwenye gesi? Pressure cooker, Rice cooker etc. Kupika!!!!!
Kuna wanaume take these things serious
Binafsi I dont care who cooked that shit
Kinachoniudhi ni pale anaponiletea ujinga wa kitchen politics na mimi zinihusu
Kuna mshikaji wangu mmoja yeye asipoambiwa "chakula tayari" basi hali halafu ugomvi wake hauna mwisho
People are different aisee and some people take these things very very serious,I dont know inatokea wapi,nadhani society ndio imeleta haya,its the one to blame!
Solution ya hayo ni kuoa mwanamke asiyesoma mkuu! Huwezi kuoa mwanamke aliyesoma halafu uanze kumlazimisha mtoto wa watu aache kazi ili akutunze wewe kwamba wazazi wake walisomesha ili aje kuwa house wife?Kama kazi inakufanya usitimize majukumu yako, iache.
Primary responsibility ya mwanaume ni ku-provide for his family, conversely, ya mwanamke ni ku-take care of her family.
Tuishi humo.
Hata wanaume bora wanapungua mkuu! Mwanaume anayetaka msaidiane kwenye kulipa bills ila kwenye house chores upambane na hali yako hafai kuwa mume huyo!Tunaomba uongezewe ulinzi... Wanawake bora kama wewe wanapungua kwa kasi sana.
Thank you japo sijui nikiingia huko kwa ndoa kama mambo yatabadilika ama lah, isijekua najiongelesha hapa ila huko ndani ni tofauti 🤔What a wife material!