Eti eehSasa hadi nipike kiive hiyo nguvu ya game naitoa wapi tena? Bora ule tu chipsi nguvu ziishe ili nikusimange vizuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahah si tulikubaliana hamfui majinziπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulijuajeeeeee? Ndio memaliza na kufua majeans hapa mikono haina hali, niko hoiiiii. Daaah mtuone huruma jamani[emoji1787]
Wanajua kila mtu ananyumba kubwa nakumilik vitu vingi vya umeme hawawajui wa Tz walioweng wanamaisha ya kuungaunga nduguBora umwambie, eti washing machine...mtu anaishi chumba kimoja hiyo washing machine anaitoa wapi.
Acha wivu mkui, unataka kusemaje sasaπ kuna theories zingine ni sawa na uhalisia ujueNi theories tu, huyo financial services hajaolewa huyo
Kwa Ground mambo ni differentThank you japo sijui nikiingia huko kwa ndoa kama mambo yatabadilika ama lah, isijekua najiongelesha hapa ila huko ndani ni tofauti π€
Halafu ndio wanaongoza kwa visiran na umbea kwa waume zao duh nimwendo wakusutanaWamama wa nyumbani huwa wavivu na wazito kichwani, Mimi mwenyewe siwezi kukaa tu nyumbani nisubirie kuletewa kila kitu, ndio maana hata majukumu madogo yana mshinda amekukuwa ka kuku wakisasa
Kwamba unataka kutudanganya kuwa mumeo hachepuki kisa unafanya hayo yote kikamilifu? Kalagabaho!Shoga ukiona utumwa utasaidiwaaa
Me yoote tusaidiane lakini swala la usafi wake, kunyoa na K nitayafanya hadi kufa hata niwe nimechoka.
Tatz letu tukishasifiwa huko nje na kutongozwa kwa wing huwa tunaona hao waume zetu hawana maana ndio maana vibur vinaanza nakuanza kutafuta viugomvi visivyo namaanaEti wanawake na watoto, mimi nasema watoto ndio wanaoathirika sana
Hapo kwa mwanamke au mwanaume kuathirika inategemea na akili ya hao wawili,,,ila mke wa mtoa mada alizingua bhana hata kama uko kazini ndo ushindwe kumhudumia mumeo hata weekend's? hapana jaman mimi nakataaaa
Kwahiyo kwako mtu kujutia ndiyo maana yake anaacha? Si atafanya kila siku akijua mwisho wa siku atajutia na atasamehewa tu kama kawaida na maisha yataendelea?Matukio tunapigwa ila kwani wanachelewa kujutia sasa?
Chezea kuogeshwa ww....maana huko huko juu kwa juu unamgenyesha hadi mnakulana kabla ya kumaliza kuoga
Unaona mnavyotetea ujinga na kuvutia upande wenu! Ninyi mwanamke asipotimiza majukumu yake huwa mnashindwa kuvumilia mbona hamsemi two wrongs dont make a right ila mwanaume asipotimiza majukumu yake mnataka sisi tuvumilie na ndiyo mnakumbuka hiyo misemo kutetea ujinga wenu?Hapo mwanaume amekuwa irresponsible.., lakini two wrongs don't make a right wala mwanamke hapaswi ku-take advantage.
Kiongozi theories na reality ni paka na panya. Tuna miaka si chini ya 35 pamoja ila bado changamoto zipo!Acha wivu mkui, unataka kusemaje sasaπ kuna theories zingine ni sawa na uhalisia ujue
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo kwako mtu kujutia ndiyo maana yake anaacha? Si atafanya kila siku akijua mwisho wa siku atajutia na atasamehewa tu kama kawaida na maisha yataendelea?
OPKama na wewe unaamini kuwa ukinunua nyama ya kuku supermarket ikiwa na kinyeo, basi ukifika nyumbani ni kuweka tu kwenye sufuria na kupika, pole kwa familia yako.
Msisingizie nature mkuu? Unaweza kunipa madhara mnayopata wanaume msipochepuka?Haha... Ni nature tu mama, siyo kupenda kwetu. Sisi tunapenda wanawake wawajibikaji kama wewe, ila ndiyo hivyo hata tukiwapata nature inazingua.
Makabe patam full kipupweAlpha sio hela wala sio kujiliza kwa mwanamke.
Alpha amwage chozi kwa mwanamke kisa?
Labda Alpha wa Makabe kwa kina maroon7
πππππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈπ€£π€£π€£
Mkuu mara kadhaa nishakuona una cite hili andiko but usichokijua ni kwamba hilo andiko halikumaanisha kama lilivyoandikwa! Ndiyo maana tunaambiwa tujitahidi kusoma biblia kwa tafakuri na kujua tafasiri halisi ya maandiko tusisome kama vile tunasoma vitabu vya kina Adili na nduguze au Machaku na njiwa!Nabii Isaya aliyaona haya......... ukisoma comments za humu hili andika linaenda kutimia.
Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, βChakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.β
[emoji23][emoji23][emoji23] hupendi kushikwa kalio?Umenichekesha Elli, huwa nna hulka ya kutopendwa kushikwa hadharani!
Sasa jamaa anajulia maeneo sensitive ya wanawake kushtuka, leo mbele za watu nimeshikwa hilo eneo yaan nimestuka kiasi kwamba kila mtu kaelewa maana si kwa ukunga huo niliopiga[emoji2960][emoji2960][emoji85][emoji85]