Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Umeongea kishabiki.mm ukiniambia nichague bora mwanamke anaejiuzia maandazi kuliko hao walioajiliwa hadi kufunga mtoto nep hawajui
Heri yako! Utakuwa umechagua fungu lililo bora kwako!
 
Kwanini? Hamuamini au?
Anadeka tu huyu mbaba, anasema mke wake ndo anajua kupika, ye hawezi kupikiwa na dada sababu hajaoa dada wa kazi.
Nishakaa na wadada zaidi ya kumi hakuna aliyewahi kupika hata chai yake, au kugusa hata soksi zake kufua.
 
Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Danger close...
I repeat danger close...
 
Wewe mwenyewe biblia huijui, ungeijua husingeleta ligi za kipuuzi humu kwani biblia imebaanisha majukumu ya mwanamme na familia kwenye ndoa.
 
We naye jamani hujioni kama ni wewe peke yako ndiyo unayelalamikia hayo ya kutengewa chakula sijui kupewa glass ya maji hayo mbona ni madogo tu ama umeona katika mabishano yote haya kuna mwanamke amelalamika kuhusu hayo? Wenzako wanataka eti mwanamke afanye kazi na bado ahudumie mume 100% yaani ampikie aoshe vyombo amfulie asafishe nyumba na ndicho tunachojaribu kupinga hapa!
 
Hivi mangi alikupa ile soda niliyokuambia uagize [emoji848][emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo kwako mtu kujutia ndiyo maana yake anaacha? Si atafanya kila siku akijua mwisho wa siku atajutia na atasamehewa tu kama kawaida na maisha yataendelea?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora tu wale michemsho ya wasaidizi wa kazi.
 
Huna sukari au shida ya moyo kweli mpaka sasa? Tuliza munkari, jichangulie miongoni mwa mahouse girl endelea kujimegea na ikibidi mpangishie uendelee kutafuna, utakuja kunishukuru.
 
Miaka 12 ya ndoa hujawahi kuchepuka? Njoo pm tuyajenge uache niachike 😂tuonane😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…