Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Hukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.

Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua
Mapenzi ya kudumu katika ndoa hayapo kiukweli.....Kumpenda mtu ni kwa muda mfupi na ndiyo maana mnaachana kila mtu amove on....Kwenye ndoa unahitaji heshima, busara, uvumilivu , kuondoa mihemuko na kutoangalia vitu visivyo vya msingi kuvifanya vya msingi ...
 
Kumbe unaelewa vyema tu😅 kwamba kumtii mume sio ombi ni amri,,,sasa kwanini mna complain kuombwa huduma ndogo ndogo tu zakawaida. Na mwanamke mvivu kwenye mambo madogo madogo huanza hivyo mpaka mwisho kutoa gemu anaanza kuleta zengwe!
Nimekusoma vyema sana ndugu tatizo wanawake wa sasa wanayakimbia majukumu kwa kisingizio cha uchovu wa kutoka kazini lakini ukigeuza kwa upande wa pili kwa kugeuza nyumbani ndo kazini na kazini ndo nyumbani utaona kwamba mtu huyu hata siku moja hawezi kusema kwamba leo siwezi kwenda kazini au kufanya kazi za ofisini kwamba nimechoka na hata bosi akimuuliza kwanini hujafanya kazi au hujaja kazini basi atamwambia nimechoka na ikiwezekana amwambie amtafutie mfanyakaz wakumpunguzia majukumu yake ya kazi maana anachoka sana. Jeuri hiyo kazini hana ila nyumbani visingizio vingi na kuona kama anaonewa.
 
Hata hakunishika kalio bali alinibusu shingoni kwenye zile pingili mbele za watu imagine[emoji134]

Huo ukunga niliopiga najionea aibu hadi sasa hivi

Na nimeamini kuwa kulowana ni dakika hata kama ulikuwa huna mpango wa kutoa utatoa tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
Aisee, hapo alidhamiria kabisa. Shingo ni very sensitive, lazima hisia zije, Ila inategemea mapenzi yenu niaje, wengine hata kushikana mikono hawawezi, sembuse kuchum shingo.

Apite shem Makiwendo aone ulivyoharibu mambo kwa kubusiwa shimgoni[emoji125][emoji23]
 
Nimekusoma vyema sana ndugu tatizo wanawake wa sasa wanayakimbia majukumu kwa kisingizio cha uchovu wa kutoka kazini lakini ukigeuza kwa upande wa pili kwa kugeuza nyumbani ndo kazini na kazini ndo nyumbani utaona kwamba mtu huyu hata siku moja hawezi kusema kwamba leo siwezi kwenda kazini au kufanya kazi za ofisini kwamba nimechoka na hata bosi akimuuliza kwanini hujafanya kazi au hujaja kazini basi atamwambia nimechoka na ikiwezekana amwambie amtafutie mfanyakaz wakumpunguzia majukumu yake ya kazi maana anachoka sana. Jeuri hiyo kazini hana ila nyumbani visingizio vingi na kuona kama anaonewa.
Hahahahahahah yani mwanamke anakuwa kama kaolewa na kazi yake😅!

Mume ndio priority ila yeye anaona mume ndio option boss ndio priority. Kimsingi ukiweza kumuachisha mke kazi aache tu akae home!😅
 
Kwani wewe unataka mke au chef?
Maana kazi ya mke kugegedwa na kuzaa hizo nyingine ni hisani tu
Amekwambia nani hizi habari ? Umezipata kwenye makongamano au kampeni ?

Mke ni pamoja na kumpikia mume. Mke si kaxi yake kuzaa tu bali analea.

Kwani kila mpishi ni chef ? Ukishakuwa na jukumu la kulea na kujimaiwa huwezi kuwa chef tena.
 
Mkuu, hizi changamoto zako zinavumilika na zinafundishika ukitumia akili ndogo tu. Tatizo lake ni kwamba hayuko vizuri kwenye mapishi, hivyo Unaweza hata ukamtafutia sehemu akajifunze mapishi toka kwa wale waliosomea Hotel management kisha mdanganye unataka kumfungulia Mgahawa akimaliza mafunzo. Halafu akimaliza kufundishwa unamuacha nyumbani.

Kesi za uchepukaji ndio ngumu sana kwa mwanaume kuvumilia lakini haya mambo mengine yanavumilika. Sio rahisi kupata mke aliyekamilika kila eneo la utendaji.
Mkuu KANYIMBI msome vizuri Umusolopogasi, huyo jamaa ana tatizo kubwa kuliko unavyodhani.
Achana na mapishi na vyakula nk, lakini kubwa na zito sana hapa ni namna mke wake anavyodekeza watoto.
Mke anaingilia namna unapenda kuwaongoza watoto wako.
Kila unapowaonya watoto, mke wako anajifanya hodari kuwatetea.
Huu ni uchonganishi.

Watoto wanapata picha kuwa baba yao ni muonevu, asiye na huruma na mkatili.
 
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!

Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
Uko sahihi sana mkuu, Mwanamke anayetafuta pesa ni tofauti kabisa kabisa na mama wa nyumbani. Ila hata kama anatafuta pesa, ipo mipaka ambayo hapaswi kuivuka! Mathalani, vikao vya dinner siwezi ruhusu abadan
 
Na kama mashine inaweza kufua vizuri which is right na kama chakula anaweza kupika domestic helper then NDOA YA KAZI GANI. Si mwanamke aishi peke yake na licorporate shit lake na mume aishi kivyake bila kuoa atahudumiwa na domestic helper.

KAMA HAMUWEZI KUMUHUDUMIA MUME MNATAKA MUOLEWE ILI IWEJE IDIOTS ?!


Ndoa ni zaidi ya hayo uloandika hapo.

Inavyotakiwa uwezo wako wa kufikiri na exposure na uelewa wa mambo bado uko katika kiwango cha kuendelea [emoji4][emoji4]

Kwa wale wanaume ambao ni advanced wako huru kabisa kuhusu mambo hayo na zaidi ya hayo.

Kwa taarifa yako wanaume wanaojielewa wao ndio huenda kununua washing machines kwa hiyari yao na kuleta nyumbani kwa furaha kabisa [emoji108]

Kuna namna ya kubalance haya mambo na yakaenda vizuri kwa pande zote tu.
 
Most of dees hoes like in-house democracy.

Kiuhalisia hamna demokrasia baina ya mume na mke ila kuna order system. Wanaume tuko different kila mmoja ana namna ya kuendesha mambo katika familia yake. Mwanamke yapaswa awe flexible tu ili kuendana na utaratibu anaowekewa na mumewe on how she handle her business!

The ones who aren’t flexible ndio watalalamika kuonewa sijui eti wanatumwa sana wamechoka[emoji28] mehn das stupid as fuqq.

Ila we nawe sidhan kama utakaa Na mwanamke hapo ushatuita hoes
 
Ndugu apige matukio asipige ni utamaduni niliojiwekea kufanya niyafanyayo
Swala la kuvumilia au kutokuvumilia matukio ni lingine. Popote nitakapokuwepo huwa nina package yangu kwa ajili ya mwanaume wangu. Siwez kusex na mtu mchafu ambaye sijamthibitisha kwa viwango nilivyojiwekea. Nafanya kwa ajili yangu ili niwe huru wakati wa sex...ni usafi kwa ujumla. Kifupi siishii kubeba ndoo tu ila namkalisha kwenye kigoda (kwa nyumba zetu za self kiswazi Swazi) namsugua anang'aa kama ndo katoka kuzaliwa.
Safi Sana ..!
 
Ndoa ni zaidi ya hayo uloandika hapo.

Inavyotakiwa uwezo wako wa kufikiri na exposure na uelewa wa mambo bado uko katika kiwango cha kuendelea [emoji4][emoji4]

Kwa wale wanaume ambao ni advanced wako huru kabisa kuhusu mambo hayo na zaidi ya hayo.

Kwa taarifa yako wanaume wanaojielewa wao ndio huenda kununua washing machines kwa hiyari yao na kuleta nyumbani kwa furaha kabisa [emoji108]

Kuna namna ya kubalance haya mambo na yakaenda vizuri kwa pande zote tu.

Wanaume waelewa wamebaki 🤏[emoji2533]
 
Ebu rudia tena...kazi ya mke ni nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Fanya fasta bwana uje nikuwowe maana tutaendana. Kwanza mie wala kula sio ishu mighahawa na mama ntilie wamejaa kibao. Sie kubwa ni kuvuana kyupi tuu
Kazi ya mke kuu ni hyo hizo nyingine huwa ni kumchosha tu Matokeo yake kuathiri utendaji wa kugegedana
 
Back
Top Bottom