Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Mleta mada utakuwa chimbuko lako ni kutokea kule kanda maalum [emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoleme moja!

Kwa wanyancholi maana si kwa kumpa vipigo hivyo mtoto wa watu!

Naye huko atakuwa anahadithia na kujuta kukosea kuolewa ! [emoji14][emoji14][emoji14]

Sipati picha!
 
Anafikiri akishazalisha wawili wa dabo dabo atakua na hamu hiyo tena. Labda kama atakua anarudi nyumbani usiku sana na analala chumba kingine.
Napenda watoto sana mkuuz hata sina tatizo...mimi nikifika home jioni ni watoto tu! Labda useme mambo yawe magumu kiuchumi, otherwise hata kumi we nizalie tu[emoji39]
 
Usipokula umeshiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

This made my night

Nkamu wanaume wa JF huwa wananishangaza!!

nimetoka huko nimechoka nianze kuhangaika na masufuria, kwa kweli mimi sipiki weekdays.

Ila Jumamosi na Jumapili naingia jikoni vizuri tu.

Kikubwa funga ndoa na rafiki yako, funga ndoa na mtu anaekuelewa na unaemuelewa...mbona ndoa utaiona tamu.
 
Napenda watoto sana mkuuz hata sina tatizo...mimi nikifika home jioni ni watoto tu! Labda useme mambo yawe magumu kiuchumi, otherwise hata kumi we nizalie tu[emoji39]
Kuzaa sio kazi. Kulea ndio kazi ndio maana wanawake wengine wanatumia madawa ya uzazi wa mpango. Kama na wewe ni part and parcel ya kulea mtoto hasa kichanga sawa. Lakin sio mtoto mwenye meno anajua kusema 'nina njaa' ndio useme unapenda kulea
 
Keep guessing tu humu JF wanaume mkishindwA hoja huwa mnaanza kuchafua wanawake, humu kila jina baya, so jibuni hoja acheni ujinga wa kupigwa matukio Niko happy na mahusiano na I can choose anybody I want, na sifungwi na vitu visivo vya kijinga jinga mkuu
 
Anafikiri akishazalisha wawili wa dabo dabo atakua na hamu hiyo tena. Labda kama atakua anarudi nyumbani usiku sana na analala chumba kingine.
[emoji23][emoji23][emoji23] Ili kukwepa kero za watoto
 
Kuzaa sio kazi. Kulea ndio kazi ndio maana wanawake wengine wanatumia madawa ya uzazi wa mpango. Kama na wewe ni part and parcel ya kulea mtoto hasa kichanga sawa. Lakin sio mtoto mwenye meno anajua kusema 'nina njaa' ndio useme unapenda kulea
Mimi napenda watoto, wee elewa hivyo...yani tena hao wachanga na wadogo ndio wazuri kwangu.
 
Na hisia zangu nyingi ziko hapo hii ilikuwa siri yangu miaka yote sasa imejulikana[emoji1732][emoji1732][emoji85]


Makiwendo Namuita shost yangu sijui kapotelea wapi[emoji848]
 
Hata kuna tabia za wanaume pia hazibadilishiki. Ndio maana kwa wanaume walevi watu wengine wanaenda extra miles mpaka kuwekeana ute wa mayai ndan ya boxer au mwanaume anayependa totoz [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuomba Mungu tu umpate ambaye mtaweza kuvumiliana mapungufu yenu no matter what.
 
Pole sana
 
Mjinga Ni wewe na hauko happy wala nn ..atii I can choose [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…