Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Legendary :

"kabla ya kuoa chunguza..."

NAKAZIA
Iyo ni mmuhimu sana mkuu wangu! Lazima ujue familia yake ni watu wa aina gani... Maana Kuna familia ni wana mambo ya kiswahili mkipishana kidogo wanasema unamtesa mtoto wetu au arudi nyumbani... Hawa hawafai chunguza sana mkuu

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
 
Well spoken....

Maneno matamu yanalainisha moyo, sio mtu mda wote mashushu na vichambo tu..hakuna cha shukran wala nini
 
Hata dada wa usaidizi nae ni binadamu mkuu anachoka Kuna time nae anahitaji kusaidiwa!!! Acha mawazo yakizamani.... Ukipika unapungukiwa nini? Kwa mfano unafua nguo za mwanao na mke wako ni raha ilioje tuache ushamba na ukiwa ivyo ndoa lazima ikushinde mzee wangu... Ndoa haitaki ubabe

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu na level yake mkuu
 
Pole sana mnajidanganya kwamba a woman cannot be a beauty with brains and her own hard earned money.

Kazee kana machungu haka sijui kaliokotwa mtaani?

#wachagga hawawi hivyo kenge we.
We Bibi beuty with brain unaijua? Haya maneno uliyotapika apa inakudefine kabisa kichwa ako imejaa maji
 
[emoji23][emoji23] shirima aibu yako kukimbiwa na mke sababu ya ulevi na kushindwa kumgegeda Vizuri very shame, Mimi sura yangu personal ndio najikubali sio nyie mnashindwa kugegeda wake zenu na hamna hela[emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume machine.
We mchaga wa kishimundu apa Niko naoshwa miguu na babe mama..! Sura personal unajikubali kwa sababu hamna anaweza kukubali kaa na gubu zako hzo na matusi mdomoni ..! Nimewapiga kwenyewe phaller kabisa
 
Kiufupi kazi za kumsaidia wife pia zipo yani siwezi KUOSHA VYOMBO...KUPIGA DEKI NA KUFUA labda awe anaumwa otherwise atafanya tu hasa ikitokea beki 3 akizingua akasepa na mimi mwanamke wangu sio Mvivu na anapenda Usafi pia anajua kupika sana.

Kuna vitu kama kujipakulia chakula sijui kuletewa maji ya kunywa naona havina mashiko kabisaa vifanyike kwa mahaba sio kwamba ndio utaratibu hapana. Msome mwanamke wako kabla ya kumuweka ndani tengeneza mazingira ya yeye kufanya hizo kazi kabla hujamuoa ASIPOLALAMIKA bhasi huyo umepata ila ukipata mwanamke hata Kutandika kitanda kazi yani utaosha vyombo na kuwa beki tatu ukimuoa.
 
Pole sana mkuu
Naona mke amekukamata vilivyo...mume anaanzaje kufua na kupika ikiwa mke yupo mzima wa afya kabisa?
 
We mchaga wa kishimundu apa Niko naoshwa miguu na babe mama..! Sura personal unajikubali kwa sababu hamna anaweza kukubali kaa na gubu zako hzo na matusi mdomoni ..! Nimewapiga kwenyewe phaller kabisa
Tatizo wengi wao hâta kabla hawajaolewa walikuwa wameshazoea vibomba na kukoboana, kwahiyo swala la kujipinda ilu uwairidhishe ni sawa na kubeba mahi kwenye tenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…