totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,398
Iyo ni mmuhimu sana mkuu wangu! Lazima ujue familia yake ni watu wa aina gani... Maana Kuna familia ni wana mambo ya kiswahili mkipishana kidogo wanasema unamtesa mtoto wetu au arudi nyumbani... Hawa hawafai chunguza sana mkuuLegendary :
"kabla ya kuoa chunguza..."
NAKAZIA
Yaan ukimpata mwanaume muelewa na mwenye mapenzi ya dhati utaona dunia ni unaelea.....tuliobahatika kukutana nao tunaelewa!Kazi kweli wabarikiwe wanaume wanaojielewa Na wanaowahurumia wake zao
Well spoken....Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
Hata dada wa usaidizi nae ni binadamu mkuu anachoka Kuna time nae anahitaji kusaidiwa!!! Acha mawazo yakizamani.... Ukipika unapungukiwa nini? Kwa mfano unafua nguo za mwanao na mke wako ni raha ilioje tuache ushamba na ukiwa ivyo ndoa lazima ikushinde mzee wangu... Ndoa haitaki ubabeUnadhani mwanaume ni robot au mwanamke ni sex toy! Kuna wakati inabidi akili iwekwe katika kusaka mbesa! Hapo hata kwa winchi la makambaJR 'mwanaume mashine' inasikika kwa majirani!
Kwani hakuna Housegirl mpaka mwanaume unaingia jikoni!!!! Kama mama hataki kupika anapika dada wa kazi, kama mama hataki kufua nguo zako zote, dada wa kazi yupo shida nini? Kama mama amechoka kutandika kitanda, unamwita dada wa kazi atandike. Ndiyo maana dada wa kazi lazima alipwe vizuri na umlipe wewe mwanaume!
Hapo ndipo ulipoharibu"nilimsomesha"Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
It's okay! Sijaandika ili wewe utrust au laahKuna uongo mahala
I dont trust hii story..sorry!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kikubwa ni background ya wanawake, ukilazimisha kuoa mwanamke eti kwasababu umempenda licha ya kuona ana tabia za kijinga kama vile uchoyo, roho mbaya, ujuaji, tamaa ya maisha mazuri na wakati hana nyenzo za kumfikisha kwenye hayo maisha, mshirikina na kuna wengine unakuta wanatokea kwenye familia za kijinga kabisa baba mhuni mama changu.
Hâta humu Jf kupitia comment unaona kabisa kuna wanawake "much know" wanaodharau wanaume ilhali hawana vitu, yani ka mtu kanaamua tu kujibu vibaya as long as kanaona kama chat na mwanaume ili kaonekane ni shupavu.
Nikuzaliwa Tz wakati uswiz ipoKukosea kuzaliwa ndo kupoje mkuu.
AloohYaan ukimpata mwanaume muelewa na mwenye mapenzi ya dhati utaona dunia ni unaelea.....tuliobahatika kukutana nao tunaelewa!
EtiiKwahiyo kupiga ndio ilikuwa akili yako ya mwisho?
Kila mtu na level yake mkuuHata dada wa usaidizi nae ni binadamu mkuu anachoka Kuna time nae anahitaji kusaidiwa!!! Acha mawazo yakizamani.... Ukipika unapungukiwa nini? Kwa mfano unafua nguo za mwanao na mke wako ni raha ilioje tuache ushamba na ukiwa ivyo ndoa lazima ikushinde mzee wangu... Ndoa haitaki ubabe
Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
We Bibi beuty with brain unaijua? Haya maneno uliyotapika apa inakudefine kabisa kichwa ako imejaa majiPole sana mnajidanganya kwamba a woman cannot be a beauty with brains and her own hard earned money.
Kazee kana machungu haka sijui kaliokotwa mtaani?
#wachagga hawawi hivyo kenge we.
We mchaga wa kishimundu apa Niko naoshwa miguu na babe mama..! Sura personal unajikubali kwa sababu hamna anaweza kukubali kaa na gubu zako hzo na matusi mdomoni ..! Nimewapiga kwenyewe phaller kabisa[emoji23][emoji23] shirima aibu yako kukimbiwa na mke sababu ya ulevi na kushindwa kumgegeda Vizuri very shame, Mimi sura yangu personal ndio najikubali sio nyie mnashindwa kugegeda wake zenu na hamna hela[emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume machine.
Ole wake kwa mwanaume aliye na huu mzigo.Pole sana mnajidanganya kwamba a woman cannot be a beauty with brains and her own hard earned money.
Kazee kana machungu haka sijui kaliokotwa mtaani?
#wachagga hawawi hivyo kenge we.
Pole sana mkuuNa ndo sababu nikasema ushamba mkuu! Ogopa sana kuwa na mke mwenye mashosti ni hatari kwa afya ya ndoa... Mke wangu mimi ndo rafiki ake yani akitoka job anakuja officen kwangu tunakaa mpaka muda wakufunga ndo tunasepa dereva wake kazoea anamshusha hapo officen kwangu yeye Mbele....!!!! Kuwa na Pesa au elimu haimaanishi usimize wajibu kama mke au mama lakini wanahitaji msaada wetu zaidi" yani usimfanye mtumwa na wewe saidia kama anapika wewe fua maana sisi ndo tinavyoishi om dada ni kwaajili ya mtoto na vikazi vidogo vidogo lakini izo heka heka nyingine tunasaidiana!!!! Sasa sijui maybe na mimi ipo siku nitayaona haya yanasemwa hapa ya wasomi
Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
Tatizo wengi wao hâta kabla hawajaolewa walikuwa wameshazoea vibomba na kukoboana, kwahiyo swala la kujipinda ilu uwairidhishe ni sawa na kubeba mahi kwenye tenga.We mchaga wa kishimundu apa Niko naoshwa miguu na babe mama..! Sura personal unajikubali kwa sababu hamna anaweza kukubali kaa na gubu zako hzo na matusi mdomoni ..! Nimewapiga kwenyewe phaller kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Uliandika ili mtu asome iweje?
Ina maana gani wewe kuandika kama hutaki chochote from your readers?
Ni heri ungeenda kulima sasa....