miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Eeh, tuendelee kuwapiga matukio na sisiNa wengi wanalalamika ila ugomvi mkubwa huanzishwa na wao kwa kuchepuka na kufanya wake wawe wakaidi, na wakilipizwa wanaanza kulia lia humu
Hebu nipe list ya wanaume wanoongoza kutoa povu humu[emoji481][emoji481][emoji481][emoji1732]Huu Uzi jamani kahhh
Nataka nioe kama watatu hvSikuhizi hata wadada wenye sura personal wanaolewa kwa kasi kisa kazi na hela, kikubwa wanawake wenzangu tutafte hela kwa bidii siunaona shishi baby anaoa na kuacha
[emoji28][emoji23][emoji23] asije toa machozi ya simba kwa jiran wa seat yake bure kwa hiyo mipande ya nyama[emoji23][emoji23][emoji23] itabidi tumsaidie na hela ya kula kabisa huyu maana bila hivo Hali itakuwa tete
Wewe nawe hii ni chai umeamua kuileta kwa mtindo wa kumsingizia mzungu pori[emoji848][emoji848][emoji16]Mzungu wa ukweli aliniambia mna penda hela zao tu hamuwapendi wao halafu mna penda ugovi kupigana
Kimsingi usomi is not an issue bali attitude ya mtu tu!Sasa hapo unazungumzia suala la malezi na personal attitudes ambazo tunatofautiana
Kuna wanawake wengi ni wasomi na wana nafasi kubwa lakini wakiwa nyumbani wanaacha nafasi zo na usomi wao huko kazini na they be obidient wives, responsible mothers and they play it so nicely
Unajua unaweza kulelewa kwenye maisha ambayo you have been taught to be a woman, lakini ukabadilika kutokana na hali za maisha, vyeo, elimu nk, hao wapo na ndio wanaofanya wanaume walalamike kwamba wanawake wasomi hawafai
Hahahaha daaah..! Hopefully hizi hoja mnazoleta humu zinaishia humu, ila kama bdo mnazi-practice huko ndani kwenu aaaaaah ni halali baadhi ya wanaume wakimbilie kulalama huku.Mkienda kwa watu punguzeni usumbufu usio wa lazima.
Pia huwezi jua watu wamekubaliana kuishi vipi,,wewe umehudumiwa bado umekereketwa na mleta kikombe kweli mkuu!
Mfano mzungu kakutogoza cha Kwanza utakacho waza kwake ni pesa tuWewe nawe hii ni chai umeamua kuileta kwa mtindo wa kumsingizia mzungu pori[emoji848][emoji848][emoji16]
Asee hapana sina shida na pesa ninazo za kutosha....after all sipendi wazungu aaaagh![emoji36][emoji36]Mfano mzungu kakutogoza cha Kwanza utakacho waza kwake ni pesa tu
Wabongo wanapenda kutuma tuma sana kitu anakiona aanaagizaUnakuta wala hana tatizo la miguu,miguu yake ipo imara ila anasumbua watu wakamchukulie vikombe.
Wageni wa hivi ni mzigo nyumbani.
Nikweli jingine alisema nyie mna ongea Sana mna makelele tofauti na wanawake wa kizunguWewe nawe hii ni chai umeamua kuileta kwa mtindo wa kumsingizia mzungu pori[emoji848][emoji848][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Si rafiki yako alikupa mkuu au?Hahahaha daaah..! Hopefully hizi hoja mnazoleta humu zinaishia humu, ila kama bdo mnazi-practice huko ndani kwenu aaaaaah ni halali baadhi ya wanaume wakimbilie kulalama huku.
Kwamba mgeni kuomba maji akiwa kwako ni usumbufu? Tumekaa watatu sebuleni wewe unachezea simu, mimi na mumeo tunazungumza issue fulanifulani kuhusu utafutaji...nimeomba maji, is it fair unamtuma jamaa aniletee maji ili wewe unendelee kuwa busy simu? Atleast ungekuwa umetingwa na kitu basi, yani simu??? Aaaaaah jamani duh [emoji1][emoji1].
Ngoja tupunguze usumbufu.
Mkuu kuna mtu kanituma eti uende kule selfika ukatupie kidogo![emoji23][emoji23]Hebu nipe list ya wanaume wanoongoza kutoa povu humu[emoji481][emoji481][emoji481][emoji1732]
Ujue kimeumana
Hata mim aiseeHalafu mwenyewe kasema kikombe kilikuwa karibu,alishindwa nini kunyanyuka na kuchukua maji?!
Mgeni wa hivi kwangu simtaki aisee!
πππHuu Uzi jamani kahhh
Sema nimewaza kwa upana would you like to see this happening when you go to your sons house?πExactly [emoji817][emoji23]
Kwanza akikutuma mbele yangu, hΓ’ta kama hautafata lazima nikuchane kabla sijaondoka.
Anapata wapi courage ya kukutuma mbele yangu? Hebu tuweni serious kidogo.
Nyie mmejua kunichekesha,πππ...sasa mmezidi Kaka zangu, Hadi kutumwa ni nongwa?Yani shemeji ako ananituma mimi? Dunia itakuwa imefikia mwisho
Sisi wenyewe tunaenda kwa watu hatutumi tunafata wenyewe Na ikibidi tunapika juu kusaidiaHahahahahaha[emoji16][emoji16][emoji16]
Mtu anatuma tuma kama ana ukilema hivi[emoji38][emoji38]
Before kuoa, anafua anapika anaosha vyombo na steelwire, lakin akiwa na mwanamke tu ghafla kawa kilema...
Mi hunitumi tumi asee kipuuzi[emoji57][emoji57][emoji57]
Kwa huko Pemba ni kawaida ila kwa sie huku Geita ni nadra sanaπNyie mmejua kunichekesha,πππ...sasa mmezidi Kaka zangu, Hadi kutumwa ni nongwa?
Mkija kwangu mtazimia, shemeji yenu mtamkuta anakanda ngano na akitoka hapo anaenda sokoni analeta Hadi pilipili...!
[emoji23][emoji23] hyo ndio dawa yao