Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Na sisi tulioa wasomi itakuwaje mkuu? Au ndo tusubiri kufa na mawazo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
Hakuna kufa kwa mawazo. Yaani akikwambia anaenda field wiki moja we kubali kama unavyomkubalia demu wako akisema niko chuo nasoma. Akichelewa kurudi kwamba tulikuwa na kazi za overtime akaleta mapaja ya kuku we kula tu kama demu wako anavyoku-suprize kwa zawadi yoyote ile. Ukikutana naye bar na njemba akakwambia tunapanga dili la kazi ya pembeni ili tuongeze kipato cha familia we sema endelea mama. La msingi anachokufanyia na we mfanyie, tengeneza safari hata kama ni feki, kaa na mademu wakali akuone kwamba ni wafanyakazi wenzako, mletee nyama choma, pokea simu za wanawake akiwepo n.k
 
Shoga ndoo nambebea, namuogesha na zivu namnyoaa.
Sifanyii utumwa nafanyia mahaba. Hata nichokeje
Waaambie wenzako hao wanaifanya wagumu kuelewa .

Halafu akija chepuka na kumfata nakadori

Utasikia *wanaume wote mbwaaa!!"[emoji1787]
 
Ni hulka ya mtu wapo wenye madegree wanafanya hayo mambo!
Mimi nna Dada angu anamtreat mmewe kama wamekutana juzi na ana degree yake na kazi yako,akifika nyumbani cha kwanza mumewe...!
Wapo jamani!wapooo!
Shida moja tu ukitaka mke akuheshimu na kukujali usiruhusu abebe majukumu yako!
Hawa wa sasa wanataka majukumu yao wabebewe na ya nyumbani wafanyiwe
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
hapo ndo umefeil kabsa,,ukipata mke anae tetea wtt,,ili uonekane ww hufai mzee jiongeze mapema upate wtt wengne kitaa
 
Baba angu akinituma namkimbia naweza vunja hata mguu, pia my daady is a kind of understanding man na ni muelewa mno tena hapendi ujinga ujinga wa vitu vya wanaume wavivu, I grow kwa kumuona vitu vingi akifanya tena bila kutegemewa kufanyiwa na mtu, sio yeye tu wanaume wote wa ukoo wetu, husaidiana majukumu na haijawahi kuwa kosa, so I wonder humu watu kulalamika Hadi kutaka kunyweshwa maji kwa uglass too much boseness ni hatari ya danger
Wewe kama mke kuagizwa kutekeleza mambo flani flani ni kawaida na huwa hamna sababu ya kubishana.

Ni mume kakutuma ukibishana manaake una jeuri. You don’t wanna mess up with your man! Mtu anapoomba umfanyie jambo sio kwamba kashindwa kulifanya ila amejiskia tu kupata msaada toka kwako!

Hii akili ya kushindana achaneni nayo...mumeo sio shosti yako!
 
Hakuna kufa kwa mawazo. Yaani akikwambia anaenda field wiki moja we kubali kama unavyomkubalia demu wako akisema niko chuo nasoma. Akichelewa kurudi kwamba tulikuwa na kazi za overtime akaleta mapaja ya kuku we kula tu kama demu wako anavyoku-suprize kwa zawadi yoyote ile. Ukikutana naye bar na njemba akakwambia tunapanga dili la kazi ya pembeni ili tuongeze kipato cha familia we sema endelea mama. La msingi anachokufanyia na we mfanyie, tengeneza safari hata kama ni feki, kaa na mademu wakali akuone kwamba ni wafanyakazi wenzako, mletee nyama choma, pokea simu za wanawake akiwepo n.k
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu hapa mm ndo nitakuwa nimevunja hii ndoa sasa

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanamke asiyependa kumdekeza mumewe apatapo nafasi, ila inategemea kwa mama mfanyakazi kama atapata muda jioni ni vizuri kupika na kumtengea mume ila ikitokea amechelewa kurudi labda , mume amuelewe na asicomplicate maisha kama dada yupo basi atasaidia kupika, ila mimi sitopenda dada amsevia mume wangu chakula ntajitahidi nimsevie mwenyewe ama ajisevie mwenyewe.

Ila on weekends kupika ni lazima mama mjengo nioneshe maujuzi jikoni harufu nzuri nyumba nzima hadi baba mjengo aseme leo kaingia mama mwenyewe jikoni rahaa.[emoji3]

Ila wanaume nyie mnadeka sana eti tuwatengee chakula, maji ya kuoga wakati mlivokua single mlikua mnasugua hadi sufuria na michanga na kubeba madumu ya maji, ila ghafla umeoa basi umegeuka mtotoo huwezi hata kusogeza maji ya kuoga bafuni[emoji2957]. Ila fresh tu tunawapenda hivo hivo watoto wetu.
Mostly hat kama mwanamke ana kipato bills zote wanaume ndio wanakava

Pesa ya mwanamke huwa haijulikani wapi inaendaga.

Sasa yaani nikave bills na pia nijiwekee maji mwenyewe[emoji15][emoji849] na kujiipika halafu wewe upo tu
 
Kwahiyo sisi ndiyo tuliumbiwa kuteseka eeh, kamume kenyewe kamekaa sebuleni tu kameshika remote, mama anapalangana na masufuria jikoni, bado na kuoga upelekwe,akii wewe utatulisha kwa jasho humo ndani yaani utalipa kila bills sitoi mimi chochote na siku nikitoa pesa nakuandika kwenye kitabu cha madeni cha familia utanirefund tu.[emoji23] si wataka kuwa kichwa cha familia eeh sawa sisi mikia tutakudekeza baba.ila utalipia hadi chumvi.[emoji2088]
Kumbuka nyie mlitoka mbavuni kwetu.

Sisi tulitolewa mavumbini

You are part of us however we ain't part of you...Bisha!!?x[emoji1787]
 
Aina hii ipo sana tu dadeq! Yani mke anayajua majukum yake akiwa home na anayatendea haki! Shida wanawake wa sikuhizi wanapenda mashindano sana yani anataka akipika na wewe upike af kisingizio eti mimi nimetoka kazini pia kama wewe!
Hawajui raha yakujipikia wew mwenyew unaweka vionjo vyovyote unavyotak unasave money napia unazingatia afya na usafi wa chakula.
Namshkur Mungu mama yangu hakutulea kizembe tulifanya kaz kabla ya kwnda shule na tukirud tunapika nabado hatukuteteleka afya wala kulaum tena kipnd hicho tunapikia kuni na mikaa ila kwasas gesi na umeme unashindwa vipi kupika.
Kesi ya kufua sio kila siku labda zile nguo wanazotumia kujisafisha baada ya sex ndio zinatakiwa zifuliwe hata kila siku ila nguo zingine kufua Mara mbili kwa week na kesi ya vyombo unaosha muda wa kupika kila kitu kinakuwa sawa.
Kama usafi wa vyombo unakushinda bac hata Nyumba yako usafi 0 nakitanda huwez kutandika
 
Hahahah umeona eeh

Ghafla kila mwanaume kwenye huu uzi kaoa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Wengine ndoa zao zina mwezi au wiki mbili hahahahaha
Tunajua wewe uko above 30 bado unaishi kisela[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wanaume wapi wanaotimiza hayo majukumu Yao kutwa wanawake wanahangaika na mikopo na vicoba wanaume wanachoweza nyie kufuga ndevu tu, Yani wanawake wenu wanadanga walee familia[emoji23][emoji23]
Utakuwa unaishi kinondoni au sinza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuchokana ni balaa zito aisee! Mkishaishi kwa kipindi kirefu boredom haikwepeki ila dah ni ngumu.

If you do it except siku ambazo unakuwa umetaitika hilo halina shida! Sio mwanamke anaji ommit kwenye majukumu kabisa yani yeye ni 0 grazing tu!

Hilo hapana ni tatizo! Kwa unavyosema wewe iko sawa hata mie siwezi kukumaindi tena ntakuwa nakupa tuff kabisa sababu hutegei ila unakuwa super tight!
Tena ukute ndio mwanaume ashakuvurugaaaa kipindi cha nyuma, ikifikia hiyo hatua ya kuchokana aisee sisi nafikiri tunawachokaga zaidi yenu. Hapo sasa ndipo hata kitanda kutandika wakati umelalia wewe tunaona taabu na manyanyaso, ikibidi ujipikie, ujifulie na vyombo uoshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii inakuwa sio ndoa, ni mateso sasa. Ndoa is meant to be a safety haven for the couple, changamoto zipo ila sio kwa kiwango hiki, ukiona mmefikia level hii jua hakuna ndoa hapo.
Aaah, mkuu, ndoa ina mengi sana na huwezi kuyaona mpaka uwe ndani ya hiyo taasisi.

Kwa kifupi tuu, kila kitu kina majira na wakati so ni kweli kuna kipindi ambacho ndoa hua ni kama paradise na wote hua hamtamani kipindi hicho kipite lakini hupita.

Na kuna kipindi sasa ambacho ni cha dhiki na magumu hichi kipindi ndo nilichokua nasema unahitaji uvumilivu mkubwa na moyo wa chuma.

Kwanini nasema uvumilivu ni kwa sababu hakuna ajuae hicho kipindi kitakwisha lini, maana usipokua mvumilivu unaweza sema uache ndoa leo kumbe kesho kulikua na habari njemaaaa.

Uvumilivu muhimu sanaaaa na kuyabeba majukumu ni muhimu sio kukimbia ndoa.
 
Tena ukute ndio mwanaume ashakuvurugaaaa kipindi cha nyuma, ikifikia hiyo hatua ya kuchokana aisee sisi nafikiri tunawachokaga zaidi yenu. Hapo sasa ndipo hata kitanda kutandika wakati umelalia wewe tunaona taabu na manyanyaso, ikibidi ujipikie, ujifulie na vyombo uoshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Noma sana yani😅 Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom