Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Ila nimeshangaa sana mke hata kumpikia mume wake tuu inakuwa ni big deal eti kisa na yeye katoka kazini!!! Real!! Yaani na makichen utilities yote kwa ajili ya kurahisisha kazi za jikoni bado mtu anakuwa mvivu!! Chaaaa!
Shangaa sasa sijui huko kitchen party huwa wanafundiahwa nini!?
 
[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Get prepared,unaweza fikia mahali ukahisi unaishi na mwanaume mwenzako...
 
Ila mitandao inapotosha sana. Mtu anavimba hawezi fanya hiki na kile lkn kwa ground mambo ni tofauti kabisa ili mradi tuu apate attention. Tupunguze kufake life wandugu.
Wanapenda misifa humu ila huko kati wanapika kawa
 
Kuna wanaume wanakuwaga na mtazamo kama huo uloandika hapo, basi iwapo ikitokea wakaenda nchi za Ulaya na America mfano kwenda kusoma au kuishi kwa muda fulani reasonable hujifunza kuona jinsi wanaume wa jamii zile wanavyosaidiana na wake zao kazi za nyumbani na kuona kumbe ni jambo la kawaida kabisa na wala sio ubwege kama uunavyozani na wengine wa nchi maskini.!

Wengine wanarejea bongo huanza kuwaambia wake zao sababu watoto walau wamekua kiasi basi hainahaja ya kuishi na mayaya sababu ya usumbufu wao, hivyo tujipange mimi na wewe tusaidiane kazi za hapa tukishatoka kwenye shughuli zetu kisha maisha yanaenda vizuri.
Kwa taarifa yako mmomonyoko wa maadili ulianzia huko ulaya

Kila uchafu na takataka unazoziona huku afrika vilianzia huko ulaya unakokusifia.


Kwenye suala la maadili ya kufamilia africa was the best on it .
 
Then how sure are you kuwa jamaa alimpendea elimu na connection zake??
Very simple , inatakiwa muelewe...wakati namuoa alikuwa hana connection za maana na alikuwa amemaliza chuo degree moja...baadaye nikamuendeleza na kumtafutia kazi... baada ya kupata mafanikio akaota mapembe
 
Hakuna mwanamke asiyependa kumdekeza mumewe apatapo nafasi, ila inategemea kwa mama mfanyakazi kama atapata muda jioni ni vizuri kupika na kumtengea mume ila ikitokea amechelewa kurudi labda , mume amuelewe na asicomplicate maisha kama dada yupo basi atasaidia kupika, ila mimi sitopenda dada amsevia mume wangu chakula ntajitahidi nimsevie mwenyewe ama ajisevie mwenyewe.

Ila on weekends kupika ni lazima mama mjengo nioneshe maujuzi jikoni harufu nzuri nyumba nzima hadi baba mjengo aseme leo kaingia mama mwenyewe jikoni rahaa.😀

Ila wanaume nyie mnadeka sana eti tuwatengee chakula, maji ya kuoga wakati mlivokua single mlikua mnasugua hadi sufuria na michanga na kubeba madumu ya maji, ila ghafla umeoa basi umegeuka mtotoo huwezi hata kusogeza maji ya kuoga bafuni🤪. Ila fresh tu tunawapenda hivo hivo watoto wetu.
Tatizo mnataka usawa na sisi , mnaleta mashindano , mnabishana na nature ya Muumba.....wakati bado mnakojoa huku mmechuchumaa
 
Siku zote nasema hapa USIOE MWANAMKE ALIEAJIRIWA, VIAJIRA VINAWAPA KIBURI SANA WANAWAKE
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
 
Wewe kama mke kuagizwa kutekeleza mambo flani flani ni kawaida na huwa hamna sababu ya kubishana.

Ni mume kakutuma ukibishana manaake una jeuri. You don’t wanna mess up with your man! Mtu anapoomba umfanyie jambo sio kwamba kashindwa kulifanya ila amejiskia tu kupata msaada toka kwako!

Hii akili ya kushindana achaneni nayo...mumeo sio shosti yako!
Yani unitume tume hovyo kama kanjibai wanavotuma na mimi niwe tu naenda ka msukule huku nimechoka siendi bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani unitume tume hovyo kama kanjibai wanavotuma na mimi niwe tu naenda ka msukule huku nimechoka siendi bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa ya mwanamke jeuri kama wewe ni mimba kila mwaka hadi akili ikukae vizuri😅
 
IMG_8141.jpg
 
Kuna wanaume wanakuwaga na mtazamo kama huo uloandika hapo, basi iwapo ikitokea wakaenda nchi za Ulaya na America mfano kwenda kusoma au kuishi kwa muda fulani reasonable hujifunza kuona jinsi wanaume wa jamii zile wanavyosaidiana na wake zao kazi za nyumbani na kuona kumbe ni jambo la kawaida kabisa na wala sio ubwege kama uunavyozani na wengine wa nchi maskini.!

Wengine wanarejea bongo huanza kuwaambia wake zao sababu watoto walau wamekua kiasi basi hainahaja ya kuishi na mayaya sababu ya usumbufu wao, hivyo tujipange mimi na wewe tusaidiane kazi za hapa tukishatoka kwenye shughuli zetu kisha maisha yanaenda vizuri.
Mambo ya kizungu ni ya kishenzi......kumbuka wewe ni mmatumbi, mila na desturi zinabaki ni za kimatumbi
 
Yani unitume tume hovyo kama kanjibai wanavotuma na mimi niwe tu naenda ka msukule huku nimechoka siendi bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nishasema sana hapa HAYA WANAWAKE WENYE VIAJIRA SIO WA KUOA, NI WA KUTAFUNA NA KUTUPA KAMA CONDOM. Haya yamemkuta mtoa mada na corporate lady. Hawa kina #cariha ni ya kutomb..a na kutupa ukijifanya kuoa haya mamtu utajuta.
 
Ww huna heshima hata kidogo , unajifanya sijui et mumeo anawaza vitu vikubwa , umeshasema huwezi muhandle mumeo , huwezi kumthamini mtu ambaye hana shukurani
Mume mwenye akili ataheshimiwa sio anayetaka Minor issues
 
Pole sana mkuu,
Kwa mtazamo wangu kwa kuzingatia maslahi mapana ya watoto Haikuwa na ulazima sana kwenu kutalikiana, maamuzi ya kutalikiana mmeyafanya sababu tu ya ubinafsi wenu na kujiangalia Nyie tu,
Provided mna watoto wanne, wewe ungemtaliki tu kichwani mwako halafu ungeendelea na life lako Huku ukiwajibika kama baba wa familia,
Mambo ya kupikiwa sijui kufuliwa Nguo are all petty things, mwanamke akishakuzalia watoto inatosha, hayo mengine ni ziada tu,
This is what I believe,
Nina Miaka 4 sasa kwenye ndoa ongeza minne ya mahusiano, na tuna watoto wawili,
Mke wangu ni msomi na ana kipato,
Niseme tu sijawahi hata kumpandishia sauti mke japo mapungufu yapo,
Sioni sababu ya kufanya hivyo, au kupigana na mtu mimi, sina sababu ya kugombana na mtu mzima mwingine tuliyekutana tukiwa watu wazima, hata mimi sometimes huwa nazingua navumiliwa.
Ndoa kuna wakati ichukulie kama association tu yenye common interests (watoto),
Jukumu langu kubwa ni Kuhudumia familia, hayo mengine sijui mapenzi ni ziada tu provided that nahitaji kubalance mapenzi na familia na uhuru wangu pia as a Man.

Mke wangu alijaribu sana kunibadilisha niwe kiumbe kipya yaani nisinywe hata bia na alifeli kabisa, hana hamu kabisa na hilo,

My take,
Jitahidi kuwa huru na mambo yako kama mwanaume huku ukiwajibika kama baba,
Fungua miradi hata ya kilimo mikoa tofauti uwe unatembelea mara kwa mara na unakaa huko hata mwezi, (Lima korosho mtwara, parachichi Njombe, katani tanga, au hata fuga nyuki huko tabora), epuka kuwa na mwanamke 24/7 yaani kuna wakati wanaudhi sana Hawa viumbe,
Penda mkeo that’s okay lakini wakati wote tumia akili yako zaidi kuliko moyo (Imeandikwa)

La mwisho na muhimu ni kuwa mwanamke aliye pekeyake kwa mwanaume ni Mama mzazi tu, provided that nafasi ya familia Haiwi compromised.
Kumbuka nilifanya hayo unayoyasema kwa miaka 15....nilikubali yoote..nikapuuzia hata suala la kutandika kitanda,chakula,kunyimwa tendo la ndoa nk, lakini sasa akaongeza dozi zaidi .....Tulipofikia isingewezekana kuishi pamoja....ningeua halafu ningefungwa....hao watoto wangeishije?
 
Miaka 15 mbona mingi kusema ulikosea kuoa. Maana hapo sio mke tu hata wewe kuna matabia labda hukua nayo mwanzo ukayaonesha baadae.

Kama mlikuaa na mapesa hivyo ungenunua washing machine, dish washer, ungeweka shower yenye heater. Mambo mengine you can do on your own. Jifunze kujitegemea hata kwenye next relationship itakusaidia siku ukibaki mwenyewe.

Kuna some men wana tabia za kizungu. Chai anaweza jiandalia mwenyewe na wanapenda kupika kuliko kupikiwa. Kuna watu ni maprofesa na wengine wana mapesa yao (wanaume) na nyumban kwao they do house chores. Wababa wengine wavivu anataka akirudi kazini miguu juu afanyiwe kila kitu kama mtoto mchanga. Hata kuprun miti au majani mpaka amtume kijana afanye. Miaka ikisogea lazima magonjwa yawe mengi kwa uvivu wa kutojishughulisha na house work. Hata mwanamke naye ni binadamu ana moyo unadunda na kupump damu atafanya ila atachoka tu.
 
Back
Top Bottom