Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usini include. Mimi naomba kila siku mume wangu asibadilike. Responsible daddyTatizo mnadate na masharobaro...wanaume mnawapiga chini kisa hawana swaga....
Kuna mtu alishawahi uliza kwa Nini wanawake mnapenda kwa wanaume wahuni wahuni....
Usioe tu mkuu, ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado sijaoa mkuu, labda 2035 huko.
Wanawake akili zao sijui huwa zinawaza.Kwani kale kaujumbe ka kuwa utaachana na wazazi wako na kuambatana na mumeo huwa hamkaelewi vyema!
Baba anaposema amekukabidhi binti inakuwa ina maana tofauti ama? Kama utakaimu majukumu yote ya baba kuna tofauti gani?
Mimi nimemuuliza: yeye akimtuma mdogo wake au mtoto wake, inamaana akienda mwenyewe atakufa?Wewe kama mke kuagizwa kutekeleza mambo flani flani ni kawaida na huwa hamna sababu ya kubishana.
Ni mume kakutuma ukibishana manaake una jeuri. You don’t wanna mess up with your man! Mtu anapoomba umfanyie jambo sio kwamba kashindwa kulifanya ila amejiskia tu kupata msaada toka kwako!
Hii akili ya kushindana achaneni nayo...mumeo sio shosti yako!
You are wrongkwa jinsi unavyoongea umri wako unaweza kuwa 40+ na kama sio hivyo basi makuzi yako ni kumuweka mwanaume mbele kuliko hata afya yako. kitu ambacho si kibaya ila leo hii mama zetu hawa hawa ukiwauliza kama ni kweli walipenda kusugua sufuria 24/7 jibu huwa ni hapana.
Ni gubu tu linawasumbua. 😂😂Tena ukute ndio mwanaume ashakuvurugaaaa kipindi cha nyuma, ikifikia hiyo hatua ya kuchokana aisee sisi nafikiri tunawachokaga zaidi yenu. Hapo sasa ndipo hata kitanda kutandika wakati umelalia wewe tunaona taabu na manyanyaso, ikibidi ujipikie, ujifulie na vyombo uoshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaah yaani wanawake sometime wako poa sometime uiwasikiliza unacheka nakusikitika.[emoji1787][emoji1787]Hahahahah ukianza hapo ntakwambia kwanini samia yupo ikulu wewe unalilia kuhongwa[emoji28]
Mwanaume matured mwenye akili kubwq utamtengea maji na chakula utampikia coz anajus nafasi yake kwamba hayo ni majukumu yakoMarioo Wana nini Mimi hupenda wanaume matured na akili kubwa, marioo wengi hawajui hata kutafta hela wakafie huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Corporate women mwisho Bagamoyo road! Wakiingia mjengoni ni mwiko na sufuria mpaka kieleweke[emoji28] na mazungumzo baada ya habari ni panapotandikwa mashuka.
Unaweza kuta samia yule na maubabe yake ila akiwa kwake lazima amtreat mzee vizuri ile kiafrika zaidi .Wewe si unatufananisha na nani sijui yuko wapi huko na akirudi nyumbani jikoni anaingia. Sasa mbona nyie ndugu yenu Manji na Mo mnamkataa jamani[emoji2369][emoji2369] sio vizuri ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujielew , mtafute kungwi akufundisheNi mu handle mume vipi au unataka nikimubeba mgongoni ndio niwe nime mu handle?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] msituvuruge jamani tuwape pepo ndani ya dunia.Ni gubu tu linawasumbua. [emoji23][emoji23]
Hawezi jibu hiloMimi nimemuuliza: yeye akimtuma mdogo wake au mtoto wake, inamaana akienda mwenyewe atakufa?
Wakati unamuona mwenzio mshamba we unadhani anakufikiriaje!!?[emoji1787][emoji1787]Ninafaa kwa mwanaume ambaye ni matured na si mshamba aisee
Mwanamke utaenda jikoni hili halina mjadala.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kama mwenzio kachoka jamani, ukute nae mvua imempiga. Sasa hapo mtafanyaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona hata town wapo wenye tabia njema na heshima , sema ww umeamua kua gume gume tu
Yeah lazma probation idumu si chini ya 3 yrsKuanzia sasa inabidi tukubaliane probation minimum ni 4 years au sio mazee
Samia ana ubabe gani jamani? Aah yule ana maids left and right, ndio maana ananawiri tu. Kwani sisi na kazi zetu uchwara hatuwatreat vizuri? Au tuwabebe mgongoni jamani?Unaweza kuta samia yule na maubabe yake ila akiwa kwake lazima amtreat mzee vizuri ile kiafrika zaidi .
Sasa nyiny na vikazi vyenu uchwara unaleta vibesi
Mkishikwa kidogo mnasingizia unyanyasaji feminist they get a place to stand and attack [emoji1787][emoji1787]
Una id ngapiTena kwa miaka 12! Ndio napambana kwa ajili ya watoto lakini ananionyesha kwa watoto kuwa mi ni katili! Na watoto wananichukia.