Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wanawake wenye kazi hamtaweza kuwaburuza kama magari mabovu maana tayari wanajitambua.
Mtaendelea kulialia humu[emoji16]
Kumbuka tu, tunaitawala dunia, mambo on the ground sio kama tunavyojadili hapa, mtapika, mtadeki, mtaosha vyombo, mtafua, mtatenga maji...halafu mtatupa mbususu! Tena ukipapaswa kalio usiku tulia kabisa usikilizie [emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hapana. ......ni kwamba Corporate women wengi hawapo kwa ajili ya kuolewa... sana sana ukiona yupo kwenye ndoa basi yeye ndiye mwenye uwezo financially kupita mumewe au mume ameamua kuyapuuzia mambo anayopaswa kufanyiwa na mke......Mbona sasa hivi nimeoa mke ambaye yupo bize na kazi zake lakini anakumbuka kama ana mme kila anapopata nafasi ....na kuna vitu vinavyonihusu ambavyo kamwe haruhusu vifanywe na housegirl......ni kujitambua tu.....acheni uhuni wenu
Hawa ndio wanajiita strong women ,strong women my foot .

Huwezi kuwa strong woman if can't take care of your husband precisely.

U just a dustbin ful of garbage disposal [emoji1787]

Women take care of your husband that's a way of queening [emoji2]
 
Ila mitandao inapotosha sana. Mtu anavimba hawezi fanya hiki na kile lkn kwa ground mambo ni tofauti kabisa ili mradi tuu apate attention. Tupunguze kufake life wandugu.
😅😅😅😅😅 Habun anakuna nazi sahizi naona katulia hamna mashambulizi tena
 
Hahahaha 30 kitu gani niko 50's kisela kama kawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we endelea na hilo life enjoy to fullest

Ila the day unaamua kuja ishi na mtoto wa mwanamke mwenzio for life ,for blood and sweat

Jua utapoteza tu some privilege yaani willingly.

From there utakuwa on duty till your demise unless otherwise.
 
Hujanielewa.

Huyu mwanamme angesimama kama mwanamme, sio kibabe, kwa upendo na busara angeiongoza familia na isingevunjika.
We jidanganye tu.. Eti kusimama, hv (nisamehe chief, sijui jinsia yako) ushawai kuwa na mke / mume kiburi tena kile cha kuzaliwa? Usidhani ni jambo dogo kubadili tabia ya mtu mzima, serikali yenyewe imeweka jela, mtu hajarekebishwa kwao huko na wazazi uje kuwa wewe? Funny
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutaagiza chipsi jamani, si cha msingi tule au?
Chips zinachochoea upungufu wa nguvu za kiume

Tutapiga gamu low standard halafu muende kukazwa na bodaboda wenu[emoji2]

Shika mwiko pika ugali samaki kama kweli unataka gemu zenye standard and speed.

Huo u feminism nao umekuwa chanzo cha upungufu wa nguvu za kiumw indirectly [emoji1787][emoji1787]
 
Kumbuka tu, tunaitawala dunia, mambo on the ground sio kama tunavyojadili hapa, mtapika, mtadeki, mtaosha vyombo, mtafua, mtatenga maji...halafu mtatupa mbususu! Tena ukipapaswa kalio usiku tulia kabisa usikilizie [emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo nyie kazi yenu ni kukaa kama walemavu wasio na viungo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wanawake hatuna shida, nyie ndio mna matatizo vichwani kaoeni wanawake size yenu mtaacha kulia lia humu oooh

Ni kweli mkuu tuoe wanawake size zetu wenye heshima nyie maviburi na ujuaji sio size yetu
 
Mkuu,

Primary responsibility ya mwanaume ni kuhudumia familia, wakati ya mwanamke ni kulea familia.

Ni jambo la ajabu sana mtu anapoacha au anaposhindwa kutimiza majukumu yake ya msingi akiwa busy na majukumu ya mwenzie.

Wewe fanya kazi, lakini kama unaona hauwezi kufanya kazi na bado ukatimiza majukumu yako ya msingi kama mwanamke chagua moja - kazi au familia.

Hakuna sababu ya kumlazimisha, yes kumlazimisha, mwanaume naye afanye majukumu yako.

Usione wanaume wabaya kwa sababu ya irresponsibility yako... With due respect.
Ni simple tu mkuu wangu,oa mwanamke mama wa nyumbani ili afanye kulea familia vizuri.
 
Back
Top Bottom