Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Mbona kwetu wanaume hufanya mambo mengi including cooking na hata kujifanyia mambo mengi na haijawahi kuwapunguzia uanaume wao ndani, I grow to see my aunties, ba mdogo wanafanya vitu common kabisa ambacho huku JF naona mwanaume analalamika Hadi kuvunja ndoa yake kabisa, Mimi babangu kupika sio issue hata kaka zangu na haijawahi kuwapunguzia uanaume wao so it's just a matter of perspective kwa dunia ya Sasa watu watavunja sana ndoa zao ka wanaamini kuto kumsaidia mke kazi hata akiwa kachoka kazini ndio uanauke Bora au uanaume Bora, basi before marriage tafta mwanamke anayeendana na wewe, huwezi acha kazi zako na kutimiza ndoto ukiwa wampikia mume, sijui unapinda mgongo woooi, that's why nasema watu tumetoka different backgrounds unayemuoa make sure atafanya utakavyo, na ndio naona huyu mleta mada angetakiwa aoe mke wa kijijini wa darasa la saba Ili awe mama wa nyumbani afanye hayo yote
inaonekana wewe ni mtoto wa kishua ....halafu elimu inakutia ujeuri....unashindwa kutofautisha ishu za kifamilia na ndani ya ndoa....endelea hivyo hivyo utapata wa kugawana naye kazi za ndani.......huyo baba yako mdogo kama kaoa huko aliko anaendelea na kukuna nazi,kumfulia mkewe na kupika?
 
Ni aibu kuacha puu yako.
Nachelea kusema kuna baadhi ya watu ni matokeo ya malezi mabovu...
Mimi nimekulia maisha ya kumsaidia bi mkubwa..
Nilikua naosha vyombo,napika,nachota maji kwa baiskeli mtaa wa pili,asubuh kabla ya kwenda shule nafagia uwanja.

Na nilikua nafanya yote hayo bila kulazimishwa ni kwa mapenzi yangu kwa mama yangu...

Na hata kuna ngedere nilikua naishi nae miaka ya nyuma,tulikua tunasaidiana majukum ya nyumbani...
Sio kwa sababu mimi ni bwege laaa!ni ubinadam na mapenzi pia.
Sioni kama ni gharama kusaidiana majukum.
Kwa hiyo sasa unaendelea na hayo majukumu ya mkeo ukiwa ndani ya ndoa? pamoja na ngedere wako?
 
Mume kama wewe na mke wa kipindi hiki hiyo nyumba ligi zisingeisha. ndio maana ndoa za sasa hivi talaka mwaka hauishi sababu wanawake wameamka na wao wanajua haki zao.
Tusidanganyane.....Haki gani? hela yangu ni yako na familia, .....na hela yako ni yako
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kupretend kubaya kweli just be you kwenye mahusiano. Mfano msichana anajulikana familia nzima mvivu wa kufua. Hata mwanaume alivyoenda kuchumbia kaambiwa huyu ni mvivu wa kufua. Saiv aje aseme mke wangu hapendi kufua wakat uliyakubali hayo mapungufu tangu mwanzo. Utaonekana kituko
Nna rafiki yangu yuko kwenye late 40s yeye na mke wake.
Mke wake kuhusu suala na usafi wa nyumba, kupika, kufua kwakweli Mungu amsamehe.
Ila ana roho nzuri yule mama yani ana roho nzuri sana.
Mmewe yeye ananiambiaga ashakubaliana na mkewe, uwa anafua mwenyewe na anamfulia mkewe maana uwa ana tabia analoweka nguo anaweza ziacha hata week kwenye maji.
Usafi wa nyumba hicho ni kisanga.
Mwanzo walikuwa wanagombana sana, ila baada ya kukubali hali wako fresh.
Na mkewe anampenda sana mmewe sema ndo kupika, kufua, usafi umegoma. Na pia anafanya kazi benki flani hivyo anakuwa bsy siku nyingine hadi weekend.
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Unasubiri nini kuchepuka?shida hizi zote za nini?
 
Mno mno. Kuna baba wengine ameamka asubuhi kama kuna mifugo ashapitia kuipa chakula. Matawi yamezidi atakata. Kama kuna ukoka atahudumia.

Mwingine sasa akiamka anataka akute maji bafuni tena yawe kwenye temperature aitakayo la sivyo ugomvi.
Hatukatai kuhudumia ila kuna wengine wamezidi maji ya kunywa ukamchukulie,Viatu kaviacha ndani anatoka nje nipe viatu ndani jamaniii😬😬😬😬
 
Hata ukienda kwenye bucha ya samaki ukawaambia watoe matumbo na magamba bado yapo yanayobaki ya kwenda kumalizia nyumbani unapowaosha kabla ya kuweka kwenye sufuria. Hakuna bucha ambayo wanatengeneza samaki wa kufika tu na kuweka kwenye chungu.
Inawezekana kweli,ila haiwi kazi kubwa sana kamavile akifanya mke mwanzo mwisho ..
 
Sema kuna wababa wanateseka sana kwenye hizi nyumba..!!

Mungu akutieni nguvu Walakhy..
 
Wale wanaouza huwa hawamalizi magamba na manyoya. Lazima uwasafishe wewe mwenyewe vizuri kumalizia takataka zilizobaki then marinate ufanye upendavyo . Hivi mwanamke na akili zake anampika samaki na magamba au kuku na manyoya kweli anaweza hata kufua pichu au kunyoa zivu??
Huwezi jua vyote hivyo,ila tuu kwa tatizo lolote huwa ipo solution,
Kwahyo kuliko kuanza kukwazana na mtu bora tuu kutafuta mbadala muwe na amani.. that's my point..
 
Kama na wewe unaamini kuwa ukinunua nyama ya kuku supermarket ikiwa na kinyeo, basi ukifika nyumbani ni kuweka tu kwenye sufuria na kupika, pole kwa familia yako.
Inawezekana kweli,ila haiwi kazi kubwa sana kamavile akifanya mke mwanzo mwisho ..
 
Mimi sijasema mwanamke asifanye kabisa ni nope napinga hii kitu ya wanaume kulazimisha mke afanye yote hata kama Kuna mfanyakazi mfano, huyu mleta mada alivunja ndoa kwa ujinga hivi mtu anafanya kazi za ofisi busy na ana wafanyakazi unataka akirudi bado ateseke Ili kumu please mume wakati hao wafanyakazi wanalipwa kwa hyo kazi?
kazi sana kukuelewesha....sijui niiwekeje hii!!nilisema nilishamruhusu amtumie housegirl ili mambo yaende ,....yeye anaweza asifanye chochote mwenyewe lakini arekebishe/aboreshe kupitia housegirl....nalo likashindikana...alitakiwa kutoa maelekezo sahihi tu...kuna mambo yanamhusu mama mwenye nyumba moja kwa moja...ukimuelekeza lakini ataanza ubishi na mashindano! Tatizo wewe haujaolewa au una deal na Marioo tu!
 
Back
Top Bottom