Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Mkuu labda unatania aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hilo Pepo uliliokota wapi
 
Hujajua dhana ya kuishi wewe, unawaza kirahisi mno kuliko uhalisia wa mambo yenyewe.
Halafu sio kila mwanaume anayepiga kelele anaogopwa na kuheshimiwa. Kwa taarifa yako mke wangu hathubutu hata kufanya hivyo kwakuwa anajua kutouliza hovyo mambo ya kijinga kuna jibu lake.
Wewe unajua ni mke wa mtu unaweza vipi toka na kurudi asubuh bila taarifa? Unataka nikuulize nini hapo? Kuna suluhisho dogo tu hata mke wangu analijua vizur, ukifanya kosa la dhahiri usubiri nikuulize utaacha nifungwe kwa kuwa utanidanganya...Kwahiyo suluhu utaipata kwa waliokuzaa mimi siwezi kumhoji mwerevu aliyechagua ujinga.
Hata dini zimetupa suluhisho....rudisha mjinga kwao akafunzwe adabu huko, so hiyo siku mke wangu atafanya yale ambayo hayapo kwenye utaratibu basi anajua nini kitampata bila kumuuliza au kumfokea.
Chanzo cha mauaji ni kutaka kuhoji ujinga, tumeambiwa tuoane kwa wema na tuachane kwa wema.
Kuwa na msimamo kama kiongozi sio kupayuka hovyo na kupiga, ndio maana watu wanaojifanya kukaba kila kona ndio hao wanaishia kupigana na kuumizana. Na pia ukikurupuka kuokoteza madada ya mtaani ukayabadilishe yawe wake zenu jiandaeni kupigana tu. Mke mwema ni matunda ya familia bora, So tukaoea na kuolewa kutoka kwenye familia zenye adabu. Ukioa kwa baba na mama mkwe mlevi au mshirikina basi ujue umeoa wa mfano wao.
Amina ...... Amina mkuu umesema ukweli.
 
kuhusu swala la kuoa mwanamke mwenye elimu na kipato, nimelisikia kwa miongo mingi watu wakilalamika na pia nimeshuhudia ndoa ya mjomba wangu ikivunjika wangali wana watoto 5. Ni swala lililonifanya kuwaogopa wasomi na kujichanganya kwa wasio wasomi niilichokutana nacho Mungu ndo anajua.

Sa hivi nimebaki njia panda nasubiri mke mwema kutoka kwa bwana la sivyo sitooa mazee
Ni vema kufahamu ukweli wa mambo kabla ya kuyavagaa. Mwanamke kama kiumbe mwingine anatakiwa kuwa programed kitabia ili aweze kucontrol matendo yake.

Mabinti wasasa kwa bahati mbaya sana hawajaandaliwa kuwa wake bali wanaandaliwa kuwa maprofessional wa taaluma mbali mbali na kutii miiko na sheria za kazi.

Ukitaka kuprove hii tazama mabinti wanavyotii mabosi zao na kutekeleza kila amri anayopewa na boss wake bila kubisha au kutetereka hata kama hataki. Ikibidi hata kuweka ndoa yake rehani bila kupenda ili kumtii bosi na si mume.

Zamani binti alikuwa anaandaliwa kuwa mwanamke kwanza before anything haijawa programmed katika akili yake. Na ndio maana zamani mwanamke anaweza kuwa na majukumu ya kiuchumi ila mume kwake ni nambari moja kwake.

Sasa ni muda muafaka kwa jamii kuhoji na kujiuliza sera zetu za kiuchumi na kijamii zinakuwa zinakwenda sambamba au tunajikurupukia tu bila uelewa kucopy maisha ya ukisasa tukiweka rehani values na traditions zetu.
 
Hapo kwenye kuumba mnamsema mwenyezi Mungu

Lakin maagizo aliyoyatoa mwenyezi Mungu kwamba mwanamke anapaswa afanye nn na mwanaume afanye nn hapo mnakimbia
Mtu ambaye hajui maana ya jambo hata ukimueleza na kumpa ushahidi bado hatoelewa maana ya jambo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika mahusiano yangu yote nimekuwa nikiwakwepa sana wanawake wenye kelele zisizo na mbele wala nyuma (No offense) Sikatai mwanamke akiwa anaongea sana, Je anaongea nini hilo ndio linalo matter.
Mfano mdogo kipindi cha mwaka 2006 Nilikuwa na mahusiano na binti flani wa kirwanda kwa kiufupi hayakuwa mapenzi kama mapenzi mwanzoni, lakini mimi ni mtu ambaye hata kama tukianzisha mahusiano kimasihara huwa kama kuna kitu nimekiona kwako huwa nageuza yawe serious.

So nilifanya hivyo, Yule mwanamke alikuwa na mapungufu mengi tu, japokuwa alinipenda, lakini yote niliyamudu isipokuwa mambo yafuatayo, Uongo uliokithiri, Ugomvi na Mdomo kama chiriku yaani sio muongeaji ni kidomodomo, anachukia anapojisikia tu na kukujibu ovyo.

Kwa mtu asiyejua angesema we jamaa umridhishi huyu mwanamke, Lakini nikuhakikishie Alikuwa anapandisha mlima wenye urefu wa meters 8,000 from above sea level na kufika juu mwisho wa urefu wa mlima mara 3 mpaka 6 bila Safari kukatishwa, kwahiyo hiyo haikuwa sababu kabisa.

Sasa Nakumbuka hiyo siku nilikuwa nimetoka kuoga nikakuta missed call 37 na sms 10 Zenye urefu kama huu uzi hapa.
Unajua zilikuwa zinasemaje?

Wewe mwanaume malaya sana, Utakuwa uko na wanawake zako, Najua mimi najua, Huwezi kukaa bila kut....na, hupokei simu zangu tayari uko kifuani kama hunipendi nambie. Siwezi kuandika zote lakini zilikuwa shutma nyingi sana.

Anaweza kudanganya hata kama ukweli hauna hasara, Unaweza kumuona mahali yuko anafanya jambo la kawaida tu, lakini ukamuliza uko wapi au unafanya nini Utajuta kwa jibu utakalopata. Nilimuona siku moja Samakisamaki Postal Anakula na yuko peke ake akanambia yupo kazini na kazi ni nyingi. Sio mara moja Vitu anavyodanganya ni vingi.

Nilizaa nae lakini Najuta na natamani nirudi nyuma nisawazishe nilipokosea, Ingawa tuliachana lakini kitendo cha kuacha alama pale huwa kinanipa mawazo sana.
[emoji3][emoji3]
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Au ulikuwa humtafuni vzr au alishazoeshwa kuliwa tigo, wee ukawa hujagundua hilo, ungegundua mapema asingekubali muachane.
 
Mtu inatakiwa uoe kamwanamke kapole kabisa vile vinavyotoa shikamoo mpaka kwa waume zao na kupiga goti kabisa. Ambako hata hela ya sabuni hakana. Hapa lazma utawale na kuona raha ya uanaume.

Sio unaoa limwanamke mmelingana elimu na kipato, matokeo yake halikupikii, halikufulii, unarudi usiku na yeye anarudi usiku na kuweka miguu juu ya meza. Sasa huyo atakua ni mwanamke au jike dume? wakuu kwa staili hii siutakuwa umeoa dume jenzako afu unajifariji una mwanamke.

Wanawake wanaojifanya wasomi sana au wana hela sana, msiwaoe wala msizae nao, wa hivo acheni waoane wanawake wao kwa wao huko.
 
mtu inatakiwa uoe kamwanamke kapole kabisa vile vinavyotoa shikamoo mpaka kwa waume zao na kupiga goti kabisa. Ambako hata hela ya sabuni hakana. Hapa lazma utawale na kuona raha ya uanaume.

Sio unaoa limwanamke mmelingana elimu na kipato, matokeo yake halikupikii, halikufulii, unarudi usiku na yeye anarudi usiku na kuweka miguu juu ya meza. Sasa huyo atakua ni mwanamke au jike dume? wakuu kwa staili hii siutakuwa umeoa dume jenzako afu unajifariji una mwanamke.

Wanawake wanaojifanya wasomi sana au wana hela sana, msiwaoe wala msizae nao, wa hivo acheni waoane wanawake wao kwa wao wakasagane huko.
Tatizo hao wanaume wanaoa kwa kigezo cha kupata mtu wa kumsaidizana matumizi.
Hawajui raha ya mke akunyenyekee tu
 
Sidhani km wanamaanisha hvyo!ishu ni kua ili heshima itamalaki baba beba majukumu yako,Mimi nibebe yangu!
Mimi mpk boksa nafua we vaa rudi weka hapo!Mimi ntafafanya because am responsible for those duties!!asubuhi amka kila kitu utakuta tayari mmekuandalia na ukirudi kazini pia!then hizi story za mitandaoni zisikupe presha maisha ya kulala pamoja na uboyfrien ni tofauti!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Samahani umeolewa bibie ? Uko makini sana.

Nahitaji kuongeza mke wa tatu.
 
ukizaa na mwanamke/mwanaume ambaye mliokotana huko mabarabarani katika pitapita zako, inakuwa ni kama umetengeneza agano la kiroho na yeye.

hata kama ulikuwa humpendi, you will always be haunted by her/him whenever you go. mtoto wenu anakuwa kiungo cha kuwavuta pamoja.

kwa hiyo kuna siku mtajikuta mpo eneo moja ili kusolve jambo muhimu linalomuhusu mtoto.

inaweza kuwa kwenye ofisi ya mwalimu mkuu wa shule anayosoma, chumba cha hospital ambayo kalazwa, chumba cha mahakama, kituo cha polisi, ofisi ya ustawi nk.
Mtoto hana hatia. Msimamo daima.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom