Wanaume weusi tunakomenti wapiKuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊View attachment 2976599
Jambo La Kustaajabisha Sana, Nadhani Kuna Ukakasi Mahala Siyo BureMtoto wa kiume unajisifia ngozi nyororo....
Jambo La Kustaajabisha Sana, Nadhani Kuna Ukakasi Mahala Siyo BureMtoto wa kiume unajisifia ngozi nyororo....
Ngaakwa, nare rooo?Aisee!!!
Nkulolie... niko hapa kushangaa kidogoNgaakwa, nare rooo?
Mwanaume unafananaje na papai lakuivaKuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊View attachment 2976599
Mnataka kupakuana ?Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊View attachment 2976599
Huyo itakua anashughulika na ngozi yake ya mwili tu.Hivi unajishugulisha na nini?
Naaaaam! Kijana unang'aa ,unavutia kabisaaaaaaaaa!Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊View attachment 2976599
Jamaa ni mzuri sana , nimependa ngozi yake nyororo, ni mtoto mzuri mno yaani angekua anakula sehemu muda huu ningemlipia kabisa bill yakeMmmh! Kuna harufu hapaView attachment 2976632