Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusemaje?Aisee!!!
KWakwel mkuuKuna mambo yanasikitisha sana!
Kwani wewe unaonajeUko serious kaka?
Hongera kwa ngozi nyororo, kweli kabisa jela hukupewa kazi ngumu mtoto laini laini.Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊
View attachment 2976599
Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊
View attachment 2976599
Mali safi.....pisi kali😹Una mjina mgumu sana
Kumbe kijana soft kabisa, mali safi
😂😂😂
Anajishughulisha na body scrub🤣🤣Hivi unajishugulisha na nini?
Inatakiwa ajisifie kipi ?Mtoto wa kiume unajisifia ngozi nyororo....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto wa kiume unajisifia ngozi nyororo....
[emoji23][emoji23][emoji23]Una mjina mgumu sana
Kumbe kijana soft kabisa, mali safi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmeanzaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh! Kuna harufu hapaView attachment 2976632
[emoji23][emoji23][emoji23]Uko serious kaka?
Em geuka tukuone vzur. Lol