Wale tuliopewa muonekano na ngozi nzuri hata kama tuna changamoto za kimaisha tukutane hapa

Wale tuliopewa muonekano na ngozi nzuri hata kama tuna changamoto za kimaisha tukutane hapa

Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu wakituona huwa wanazidi kuchanganyikiwa zaidi tukutane hapa 😊

View attachment 2976599
Madafu yanaboresha zaidi ngozi yako na kuifanya iwe mororo. Karibu madafu kwa unyororo wa ngozi yako.
 
Kijana ndembendembe kabisa unafaa kulumangia😂
 
Hio id na hio picha sikutegemea ingejisifia unyororo wa ngozi
 
Back
Top Bottom