Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Hiyo timu yenye GD 0 ndio wanajiita contender vile eeh?😀😂😂cocastic umeona arsenal na spurs form yao last seasonView attachment 2296557
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo timu yenye GD 0 ndio wanajiita contender vile eeh?😀😂😂cocastic umeona arsenal na spurs form yao last seasonView attachment 2296557
Arsenal nilihisahau kidogo,nayo tuligawana nayo point,mechi ya kwanza tulimfunga nae akaja kupata ushindi mechi ya marudianoNi Arsenal mkuu ungemuuliza ukiachana na Man city na Arsenal team gani nyingine imetufunga
Hakuna cha urahisi wala ugumu kina Juve wakitolewa UCL makundi wanakuja Europa Tabu inakua palepale....Lakini Spurs na Arsenal wamesajili kwa mbwembwe sana ngoja tuone itavyokuaSpurs kwa msimu huu sitegemei kufanya vizuri sana kama watu wengine wanavyodhani.
Wana UEFA CHAMPIONS LEAGUE ambayo inahitaji concentration kubwa na upana wa kikosi kuweza kurotate watu sahihi. Kwa Spurs watalazimika kucheza na regular starters wao hivyo itawapunguzia makali kwenye ligi kwa sababu ya uchovu.
Tofauti na timu za Arsenal na Man Utd watakaocheza Europa, wao wataweza kurotate vikosi na wakapata matokeo kiurahisi tu bila kuathiri performance ya kwenye ligi. Hapo sijamaanisha Europa ni nyepesi!
1. Man City1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Arteta yupiHaters mtautafuta sana mshikaki wenye mfupa.[emoji23]
Arteta yupo sana kwa ajili ya kuzikomesha timu zenu mbovu mbovu!
Endelea kuota😀1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Wewe hauotiEndelea kuota[emoji3]
Kumbukeni Haaland ametua Uk usimchukulie hivyo jamani ni nomaa..Arsenal
Man City
Liverpool
Spurs
Kuna watu watabisha.
Ni kama Chelsea kwako ni tusi eeeh?1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Boraaa umuambieee huyoo.Kama tuliingia top 4 kipindi Cha Lampard tukiwa tumefungiwa kusajili na tukiwa hatuna mchezaji wetu Bora Hazard ambaye tulimuuza tutashindwa msimu tuna Moja Kati ya kocha Bora duniani Thomas Tuchel? hapo mzee umeongea ushabiki badala ya fact hata msimu uliopita tulipitia changamoto kubwa lasakata la kuwekewa vikwazo vya uchumi lakini pamoja na changamoto zote hizo tuliweza kushika nafasi ya 3
cocastic
Mnajipa moyo wakati timu mbovuBoraaa umuambieee huyoo.
Raja ubovu wake uko wapi?Mnajipa moyo wakati timu mbovu