Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

Spurs kwa msimu huu sitegemei kufanya vizuri sana kama watu wengine wanavyodhani.

Wana UEFA CHAMPIONS LEAGUE ambayo inahitaji concentration kubwa na upana wa kikosi kuweza kurotate watu sahihi. Kwa Spurs watalazimika kucheza na regular starters wao hivyo itawapunguzia makali kwenye ligi kwa sababu ya uchovu.

Tofauti na timu za Arsenal na Man Utd watakaocheza Europa, wao wataweza kurotate vikosi na wakapata matokeo kiurahisi tu bila kuathiri performance ya kwenye ligi. Hapo sijamaanisha Europa ni nyepesi!
 
Spurs kwa msimu huu sitegemei kufanya vizuri sana kama watu wengine wanavyodhani.

Wana UEFA CHAMPIONS LEAGUE ambayo inahitaji concentration kubwa na upana wa kikosi kuweza kurotate watu sahihi. Kwa Spurs watalazimika kucheza na regular starters wao hivyo itawapunguzia makali kwenye ligi kwa sababu ya uchovu.

Tofauti na timu za Arsenal na Man Utd watakaocheza Europa, wao wataweza kurotate vikosi na wakapata matokeo kiurahisi tu bila kuathiri performance ya kwenye ligi. Hapo sijamaanisha Europa ni nyepesi!
Hakuna cha urahisi wala ugumu kina Juve wakitolewa UCL makundi wanakuja Europa Tabu inakua palepale....Lakini Spurs na Arsenal wamesajili kwa mbwembwe sana ngoja tuone itavyokua
 
Man U tutaendelea kutoa dose mpaka May mwakani, utabiri na uganga wa kienyeji hautuhusu
 
Kama tuliingia top 4 kipindi Cha Lampard tukiwa tumefungiwa kusajili na tukiwa hatuna mchezaji wetu Bora Hazard ambaye tulimuuza tutashindwa msimu tuna Moja Kati ya kocha Bora duniani Thomas Tuchel? hapo mzee umeongea ushabiki badala ya fact hata msimu uliopita tulipitia changamoto kubwa lasakata la kuwekewa vikwazo vya uchumi lakini pamoja na changamoto zote hizo tuliweza kushika nafasi ya 3
cocastic
Boraaa umuambieee huyoo.
 
Back
Top Bottom