Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

Kwa wachaga wote naomba kujua jani la sale lina maana gani naona kama lina heshimiwa sana.
 
Mi nawapa changamoto wana moshi wenzangu tuamuke after lol mi ni half mother mchaga baba mhaya mchanganyiko wa makabila maarufu bongo mother wa kibosho karibu na seminali kuu
Sawa Mkuu Wangu Nimekusoma Chotara La Kihaya Na Kichaga. Una IQ Kubwa Ya Biashara Na Elimu Ya Darasani. Ushindwe Wewe Kuwa Kwenye List Ya Escrow.
 
Inaitwaje asee maana mi sshv nataka nipige vyombo mbali na town
Unapopita kibosho rd kuelekea kibosho upande wa kushoto ukishaachana na hicho kituo cha hiace za kibosho kama mita 200 mbele utaona makuti. Ndo tunamalizia malizia hapa maandalizi
 
Sawa Mkuu Wangu Nimekusoma Chotara La Kihaya Na Kichaga. Una IQ Kubwa Ya Biashara Na Elimu Ya Darasani. Ushindwe Wewe Kuwa Kwenye List Ya Escrow.
Mchanganyiko huu umenipa mafanikio makubwa bk na moshi kwetu petu na senene nakula
 
Mchanganyiko huu umenipa mafanikio makubwa bk na moshi kwetu petu na senene nakula
Hongera Mkuu Kwa Kutumia Fursa. Leo Nimepata Siri Ya Kwanini Wachaga Na Wahaya Wana Akili Nyingi Za Darasani Na Kimaisha. Ni Tunda La Ndizi Na Parachichi.
 
Shalom ndugu zangu, kama unasafiri usiku kuja moshi ukifika maeneo ya lembeni uwe makini jamaa wanapanga mawe na wana Gari na pia bodaboda.

Gari wanaitumia kuhakikisha unapishana nao eneo lenye mawe ili ubane upande wa mawe usiweze kukwepa.

Jana tumekutana nayo wamepanga km manne, hivyo hatukuwa na option nyingine tukayaingia nikapasua tairi ya mbele hapo hapo Mungu amesaidia haikupinduka.

Tukaanza kutafuta pa kusimama ili tuweze kubadili ghafla tukaona Bodaboda inaanza kutufuata spidi ikabidi tuondoke hivyo hivyo, walivyoona tunaondoka wakazima taa wakaingia msituni, tukaendelea kwa muda Bahati tukaingia mji unaofuata.

Tukakuta watu pale wakatuambia mna Bahati sana maana haipiti siku mbili wanatega mawe na kuiba hata juzi wameiba hivyo hivyo na wanawapiga mapanga.

Cha kushangaza eneo hilohilo tumeambiwa polisi walikuwepo muda si mrefu. Ila tumekuja kuwakuta huku mbele wakatuambia ngoja waende huko

Nashauri unaposafiri hakikisha unamuomba Mungu awalinde dhidi ya wasio haki kwani sisi tulikuwa na Zaburi ya 17.

Shetani anatumia watu wasio haki kama hawa. Pia mfahamu kuna watu shetani amewabadili kuwa wauaji, wezi na waharibifu ila ukiwa na Roho wa Mungu utakuwa salama tu.

Ni hayo niliyokutana hivyo muwe makini na haya, mchana tochi, usiku mawe!!!! Sasa hiyo ni bufee chagua mwenyewe.

Mosha
Lembeni ndiyo wapi hebu tupe dira vizuri nampango wa kuja huko 28 usiku kwa usiku
 
Nikutumie ile kibosho galoni moja??!!maana huwa tam kama imetiwa sukari vile afu unaikuta ya baridiii
Mwezi uliopita nilikuwa huko, niliifaidi vibaya mno...nitumie mkuu
 
Unapopita kibosho rd kuelekea kibosho upande wa kushoto ukishaachana na hicho kituo cha hiace za kibosho kama mita 200 mbele utaona makuti. Ndo tunamalizia malizia hapa maandalizi
Nitapasoma ijumaa
 
kilema kisangiro hapa...full ubaridi nafikiria hapo januari nije kuibeba milango na madirisha yangu hapo stop-over ila huyu jamaa Mungu anamuona
 
Back
Top Bottom