Huwa inatokea mmiliki wa biasahara hasa baba anapotangulia mbele ya haki haya hutokea,
Kwenye Bodi ya wenye kampuni wanachama inabidi wawe wanafamilia pekee, umemaliza mchezo.
Yani ni kwamba hata wazazi wasipokuwepo, Kampuni inaendelea kuwa ya watoto waliobaki
Ikitokea kaka wameshindwana na mke wake au mke wake kaamua kummaliza, hana haki ya kujimilikisha mali za kampuni au group, kufanya kinyume na hapo ni tiketi halali ya kumshughulikia kisheria kama mwizi
Maamuzi ya mali za kampuni / group inabidi yafanyike kwa pamoja, mfano kwenda kuchukua mkopo wa benki inabidi kila mwanafamilia apewe taarifa na aridhie kwa kusaini, ikitokea kaona mkopo hauna tija ana haki ya kuukataa.
- Mke hujimilikisha mali zote na pengine yeye kahusika kwenye kifo kwa tamaa ya mali
- kuna mtoto hasa wa kwanza hupenda kujimilikisha biashara yote akiamini ni haki yake
- Wengine wanaolewa au kuoa majambazi wanaotolea macho mali za biashara kwa lengo la kujimilikisha aidha kwa kuua au kuvunja ndoa.
- Kuna ndugu vichomi wanasubiria siku ufe waje kunyanganya mali zako kwa kisingizio cha "mali za kaka ./ dada"
Kwenye Bodi ya wenye kampuni wanachama inabidi wawe wanafamilia pekee, umemaliza mchezo.
Yani ni kwamba hata wazazi wasipokuwepo, Kampuni inaendelea kuwa ya watoto waliobaki
Ikitokea kaka wameshindwana na mke wake au mke wake kaamua kummaliza, hana haki ya kujimilikisha mali za kampuni au group, kufanya kinyume na hapo ni tiketi halali ya kumshughulikia kisheria kama mwizi
Maamuzi ya mali za kampuni / group inabidi yafanyike kwa pamoja, mfano kwenda kuchukua mkopo wa benki inabidi kila mwanafamilia apewe taarifa na aridhie kwa kusaini, ikitokea kaona mkopo hauna tija ana haki ya kuukataa.