Walebanoni wameua watoto wao makusudi watumike Kama Kinga ya vita kwa hizbola, kulinda magaidi na wewe ni gaidi na taarifa wakipewa na Israel

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Israel ilitoa taarifa mapema ya kushambulia maeneo lakini wakaamua kubaki na wanawake wao na watoto ili wauawe iwe Kinga kwa Hizbola

INgawa mbinu hii Israel imeilewa ndo maana hawataki kulea magaidi

Nashauri UN ipige maarufuku kitendo hiki cha kikatili Cha kutumia watoto na wanawake Kama Kinga

INgawa wakati mwingine unawaza watoto wanaweza kugeuzwa magaidi pia bila Huruma na magaidi
 
Mkiambiwa msile nguruwe Wana madhara kwenye ubongo mnabisha matokeo yake ndio haya unakuja kutuanzishia Uzi km mtoto wa primary kumbe mtu mzima na midevu yako
 
Hawa nao vipi walikua wanalinda magaidi!??
Kama ulikua hujui Hibzollah ina kambi zake mipakani na Lebanon na pia inatumia kambi za jeshi la Lebanon.
Hizbollah ina millitary camp kabisa.
Propaganda zenu za kudanganya eti watu hujificha nyuma ya raia mtadanganya MAFALA wenzenu ila sio sisi.
 
Hivi kwa akili ya kawaida unaeza mtumia mtoto kama kinga?
Israel Vita vyake ni vya kishetani ye anaua yeyote ,
Tatizo lenu mnazani wale si watenda zambi hapo tuh ndio mnatofautiana
 
Mkiambiwa msile nguruwe Wana madhara kwenye ubongo mnabisha matokeo yake ndio haya unakuja kutuanzishia Uzi km mtoto wa primary kumbe mtu mzima na midevu yako
Najua huna akili za kujibu hoja
Ndo maana umekimbilia kujadili kidevu
Hii ni dalili ya uwezo mdogo wa kufikiri

Nimekuambia mbinu hii ya kuanza kutanguliza watoto na wanawake ni kipuuzi na kikatili tuliona kwa Hamas pia lakini haikumsaidia kwa myahudi
 
Hivi kwa akili ya kawaida unaeza mtumia mtoto kama kinga?
Israel Vita vyake ni vya kishetani ye anaua yeyote ,
Tatizo lenu mnazani wale si watenda zambi hapo tuh ndio mnatofautiana
Kwa akili ya kawaida huwezi
Ila kwa akili za magaidi Kama hizbola na Hamas wanaweza na wanafanya hivyo

Na wananchi wanaowasapoti wanakubali masharti yao na kuwaaunga mkono ili

Maana Kama wakipewa taarifa ya kuondoka kwanini wasitoe watoto wao kwanza ili wao wafe wenyewe ???
 
Hizo kambi ni Geresha tu
Sasa silaha katikati ya raia zinatoka wapi ???
Huo unafiki wa waarabu mwisrael ameshaufahamu na hacheki nao tena
 
Hizo kambi ni Geresha tu
Sasa silaha katikati ya raia zinatoka wapi ???
Huo unafiki wa waarabu mwisrael ameshaufahamu na hacheki nao tena
Una ushahidi wa kuwa hizo silaha zinakaa katikati ya raia??
Tuletee uthibitisho hapa sasa hivi maana Israel kashindwa kuonesha ushahidi.
Tuletee wewe ushahidi.
 
Una ushahidi wa kuwa hizo silaha zinakaa katikati ya raia??
Tuletee uthibitisho hapa sasa hivi maana Israel kashindwa kuonesha ushahidi.
Tuletee wewe ushahidi.
Fuatilia habari Hizo zinazolipuliwa katikati ya makazi ni majiko ya gas ya wananchi sio ???
 
Una ushahidi wa kuwa hizo silaha zinakaa katikati ya raia??
Tuletee uthibitisho hapa sasa hivi maana Israel kashindwa kuonesha ushahidi.
Tuletee wewe ushahidi.
 
Fuatilia habari Hizo zinazolipuliwa katikati ya makazi ni majiko ya gas ya wananchi sio ???
Unatumia akili bro!??
Kuna ushahidi umeonesha kuwa zilizolipuliwa ni silaha!??
Kama huo ushahidi upo tunauomba hapa.
Maana habari zikitoka tunaona watu wakipelekwa hospitali na nyumba kuharibika, cha ajabu hatuoni hata kipande cha risasi hiyo sehemu wanayodai kuna silaha.
Lete ushahidi hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…