Bro vipi!?ππππππIsrael yalipua ghala la silaha za Hezbollah lililojengwa kwenye makazi ya watu
Ghala hilo kubwa lilikuwa limejengwa sehemu yenye makazi ya watu kwajili ya kutunzia silaha za kuishambulia Israel. Baada ya kushambuliwa, silaha hizo zimeanza kufumuka bila mpangilio, nyumba zinalipuka, watoto na wanawake wanakufa.www.jamiiforums.com
Kuandika tu hajui utasikia kulwani hiznolla hahaaaMkiambiwa msile nguruwe Wana madhara kwenye ubongo mnabisha matokeo yake ndio haya unakuja kutuanzishia Uzi km mtoto wa primary kumbe mtu mzima na midevu yako
Hizbollah Wana haki gan kuoperate ndani ya Lebanon ?Hawa nao vipi walikua wanalinda magaidi!??
Kama ulikua hujui Hibzollah ina kambi zake mipakani na Lebanon na pia inatumia kambi za jeshi la Lebanon.
Hizbollah ina millitary camp kabisa.
Propaganda zenu za kudanganya eti watu hujificha nyuma ya raia mtadanganya MAFALA wenzenu ila sio sisi.View attachment 3105020View attachment 3105021View attachment 3105020View attachment 3105021
Najua mnafundishwa kubisha tu bila hojaBro vipi!?ππππππ
Huu ndio ushahidi wako!??
Yani mswahili mwenzako ameandika habari hajaambatanisha na UTHIBITISHO WOWOTE na wewe unatumia kama reference!??
Nini hii!??
View attachment 3107021
Zikowapi hizo video!?Najua mnafundishwa kubisha tu bila hoja
Hizo video umeacha ukakimbilia kusema mswahili kwani ww unaebisha ni mzungu au unajiona mwarabu mweusi
Mnafundishwa kutetea jambo hata Kwa kutumia uongo hapo ndo ujinga wenu unaanzia
Halafu hata haujiulizi kama ni kweli makombora yanafichwa uraiani si ingekua balaa hiyo milipuko waliyolipua Israel!?Najua mnafundishwa kubisha tu bila hoja
Hizo video umeacha ukakimbilia kusema mswahili kwani ww unaebisha ni mzungu au unajiona mwarabu mweusi
Mnafundishwa kutetea jambo hata Kwa kutumia uongo hapo ndo ujinga wenu unaanzia
Umechagua kubisha bila hoja huwezi kuzionaZikowapi hizo video!?
Nimetizama sijaona video yeyote.
Ilete hapa hiyo video.
πππππHiyo thread nzima nimeiona sijaona sehemu ikionekana kuna silaha za Hizbollah zinateketezwa.Umechagua kubisha bila hoja huwezi kuziona
Israel Kila inaposhambulia silaha au makazi ya magaidi yaliyopo kati kati ya raia inatoa taarifa
Kilichofanya wabaki nini ???
Maanake na wenyewe ni magaidi au wanalinda magaidi
Pia wameamua kutumia watoto na wake zao Kama Kinga makusudi
Kwa hiyo ni maamuzi yao wanavuna