Walikubaliana kuaona wakiwa hawana watoto kumbe mwanaume alikuwa na mtoto bila kujua, ndoa ikavunjika!

Walikubaliana kuaona wakiwa hawana watoto kumbe mwanaume alikuwa na mtoto bila kujua, ndoa ikavunjika!

Duh kunawatu hawana huruma kabisa km mtoto wa mumewe tu ni hivo anaweza saidia mtu kweli asie nduguyake hata km ni makubaliano lakin hapana sio Kwa style hiyo
Mwanamke anayenipa masharti nikayatii ni yule simjachakata tu baada ya hapo yeye ndo anatakiwa afuate masharti yangu
 
Sawa lakin siyo mpaka kusababisha miscarriage Kwa kujiliza ovyo ovyo kwani angeamua kusema mm basi na akajifungua mtoto wake kungekua na tatizo gani binadamu wengine wanapenda kukomplecate vitu sana
Maisha yenyewe mafupi usiyojua utakufa Lini
 
Huyo Dada ndio chanzo cha kuvunjika kwa Ndoa ya Kaka yake.
Atamshuluru baadae saiv hawezi ona kama alifanya kitu Cha maana na hata SI yeye aliyebaini mtoto wake mwenyewe angemtafuta baba yake ukubwani na ingefahamika mana SI wanafanana
 
Habari jf ni crala kidoti tena. Hii issue ilimtokea mdogo wangu mwaka 2019 upande wa baba mkubwa wangu.
Dogo alikuwa na mchumba wa kike aliyedumu nae kwa miaka miwili kwenye uchumba. Atimaye wakafunga ndoa mwaka 2019 mwenzi wa 3. Na mkewe alimpata Na kuwa mchumba wake baada ya kuachana na mkaka mmoja hivi.

Na sababu ya kuachana na jamaa yule alikuwa na mtoto tayari aliyempata kabla ya kukutane nae. Yule binti alimchana tuu kwamba yeye awezi Olewa na mwanaume ambaye anamtoto tayari, anapenda kuwa na mwanaume ambaye anatengeneza watoto wao wenyewe. Bond ikavunjika na mdogo wangu akaanza mahusiano na huyo dada. Na walikubaliana kabisa mimi na wewe hatuna mtoto. Walienda hivyo mpaka kufunga ndoa ya kanisani. So sababu moja wapo ya ndoa kufunga ni sote hatuna watoto.

Sasa ililofika mwezi wa 7 dada wa mdogo wangu huyo ambaye wamezaliwa tumbo moja alitembelea maeneo ambayo dogo alisoma chuo kule mwanza ambapo alienda kikazi, katika kuzunguka zunguka akakutana na mdada mmoja anamtoto kafanana sana na mdogo wake ambaye amefunga ndoa mwezi wa 3, na akiangalia yale maeneo mdogo wake ndipo alipokuwa anaishi na ni karibu na chuo.

Sasa dada mtu baada ya mshituko akaamua kwenda kwa Dada mwenye mtoto ilikupata data, akamuuliza huyu mtoto Baba yake yupo wapi, dada yule akamjibu kuwa kuwa alikuwa anasoma chuoni hapa. Alinipa mimba kipindi amemaliza chuo hapa sikukutanane tena baada ya kuondoka. Dada akaamini ni mdogo wake kwa sababu kafanana naye kabisa. Akamwambia unaweza kunitajia jina akamtajia jina la mwanzo, likawa jina hilohilo dada akachukua simu na kumuonyesha picha ya kaka yake , dada mwenye mtoto akasema ndio huyo huyo.

Dada mtu bila kuchelewa akapiga simu home na kuwaeleza kila kitu. Baada ya siku kumaliza kazi yake akaenda kwao na kuwaambia kila kitu na mama akaamua kuwasiliana na Dada yule na kuongea nae. Walionyesha picha na dogo kweli walifanana hivyo hivyo.

Sasa familia wakaamua kumwambia dogo kuwa unajua mtoto sehemu flani , dogo akasema yeye hana mtoto kabisa. Dada mtu akaamua kumwambia kila kitu, dogo alipata mshangao sana. Maana anaelewa makubaliano na mkewe.

Dada za jamaa wakawa wanang'ang'ania mtoto haye humu ili wamjue vizuri vizuri mtoto. Baba mtu akasema mambo haya tufanye kwa utaratibu msikurupuke maana kijana mdogo wenu ameshaoa ana mke , mama na dada zake walimpenda mtoto yule wakawa wanataka aje home. Huku kaka yao anazuia, Mwishowe walimtumia nauli dada yule aje home.

Sasa kaka yao katika kuangaika kuangaika mkewe wake akajua kuna kitu hapa kwani alimuuliza mbona kama huko sawa shida ni nini, anakwepa kumwambia simu zilikuwa nyingi sana anapigiwa na dada zake aje home coz dogo kashafika na unaweza usimwambie mkeo tutatafuta namana ya kumwambia mkeo usijali.

Baada ha simu kuwa nyingi na maongezi mkewe si akasikia bwana mazungumzo. Case ikawa kubwa sana.

Kwa kifupi mkewe aliamini familia ilishirikiana kumficha yeye, kuhusu kaka yao kuwa na mtoto. Kwa nzia siku ile ndoa ilikosa amani kabisa, yule Dada alikuwa analia kama kafiwa na mume vile tena mume aliyemtegemea. Daa niliona huruma sana nikikumbuka.

Baba yao akasema niliwaambia case kama hizi inahitaji kuwa na hekima kuzisuruhisha.

Dada zake kama mawifi si unajua wakaanza kusema huyu ni damu yetu atuwezi itupa.

Sasa kuweka sawa ile kesi wazazi wa dogo wakamwambia kuwa wewe endelea na ndoa yenu mtoto hatakuja kuishi kwenye nyumba yenu.
Ila yule dada still aliamini kuwa familia ilimficha kuhusu ilo.
Na aliwaambia hana imani tena na familia yenu na hata kwa mume wake, walijaribu kumshawishi hata kutumia wazazi wake na viongozi wa dini na walimwambia kuwa unandoa ya kanisani. Lakini still alikataa katakata, yule dada alikuwa analia mpaka huruma.

Wazazi wake walimshauri basi aendela na ndoa yenu tuu haina shida mtoto hana shida yoyote ila dada alisema hawezi ishi na mtu ambaye kampa
maumivu makali kwenye maisha yake. Na dada yule kutokana na maumivu na vilio mimba ilitoka ilikuwa na 2 month hivi, kutokana na situation ile.

Mwishowe dogo aligombana sana dada yake akiona kama kamwalibia ndoa yake , tena ngumi kama ngumi na maneno, mpaka leo hawapatani na dada yake. Dada mtu alijaribu kuomba msamaha ila wala.
Kwa kifupi ndoa ilivunjika.

Kama ungekuwa wewe mtu mzima case kama hii unaisove vipi.
Una ishuruhisha kivipi karibuni jamani.
Kama alidanganya hana mtoto na anae mtoto huyo ni wa kumpa talaka tu.

Kipofu haachi gongo lake.
 
Anajutia Kwa kua Kila mtu aNamlaumu ila Yuko sawa kabisa na baadae atakuja amshukuru Sasa hivi huyo dogo lako anaakili za kupepesa
Ila dada yangu yule anajutia sana kwa tukio kile mpaka leo. Kihelehele chake cha kutoa taarifa.
 
Dada ashikilie msimamo kama litaka mechi ianze 1-1 aombe talaka yupo sawa. Na hiyo sio roho mbaya kila mtu ana vigezo vyake wanaosema mwanaume kuwa na mtoto sio sababu ya kuachana ni wanafiki je huyo mwanaume angegundua dada ana mtoto kabla kaficha comments zingekuwaje humu? Mngesema mkaka akubaliane kirahisi?
 
Habari jf ni crala kidoti tena. Hii issue ilimtokea mdogo wangu mwaka 2019 upande wa baba mkubwa wangu.
Dogo alikuwa na mchumba wa kike aliyedumu nae kwa miaka miwili kwenye uchumba. Atimaye wakafunga ndoa mwaka 2019 mwenzi wa 3. Na mkewe alimpata Na kuwa mchumba wake baada ya kuachana na mkaka mmoja hivi.

Na sababu ya kuachana na jamaa yule alikuwa na mtoto tayari aliyempata kabla ya kukutane nae. Yule binti alimchana tuu kwamba yeye awezi Olewa na mwanaume ambaye anamtoto tayari, anapenda kuwa na mwanaume ambaye anatengeneza watoto wao wenyewe. Bond ikavunjika na mdogo wangu akaanza mahusiano na huyo dada. Na walikubaliana kabisa mimi na wewe hatuna mtoto. Walienda hivyo mpaka kufunga ndoa ya kanisani. So sababu moja wapo ya ndoa kufunga ni sote hatuna watoto.

Sasa ililofika mwezi wa 7 dada wa mdogo wangu huyo ambaye wamezaliwa tumbo moja alitembelea maeneo ambayo dogo alisoma chuo kule mwanza ambapo alienda kikazi, katika kuzunguka zunguka akakutana na mdada mmoja anamtoto kafanana sana na mdogo wake ambaye amefunga ndoa mwezi wa 3, na akiangalia yale maeneo mdogo wake ndipo alipokuwa anaishi na ni karibu na chuo.

Sasa dada mtu baada ya mshituko akaamua kwenda kwa Dada mwenye mtoto ilikupata data, akamuuliza huyu mtoto Baba yake yupo wapi, dada yule akamjibu kuwa kuwa alikuwa anasoma chuoni hapa. Alinipa mimba kipindi amemaliza chuo hapa sikukutanane tena baada ya kuondoka. Dada akaamini ni mdogo wake kwa sababu kafanana naye kabisa. Akamwambia unaweza kunitajia jina akamtajia jina la mwanzo, likawa jina hilohilo dada akachukua simu na kumuonyesha picha ya kaka yake , dada mwenye mtoto akasema ndio huyo huyo.

Dada mtu bila kuchelewa akapiga simu home na kuwaeleza kila kitu. Baada ya siku kumaliza kazi yake akaenda kwao na kuwaambia kila kitu na mama akaamua kuwasiliana na Dada yule na kuongea nae. Walionyesha picha na dogo kweli walifanana hivyo hivyo.

Sasa familia wakaamua kumwambia dogo kuwa unajua mtoto sehemu flani , dogo akasema yeye hana mtoto kabisa. Dada mtu akaamua kumwambia kila kitu, dogo alipata mshangao sana. Maana anaelewa makubaliano na mkewe.

Dada za jamaa wakawa wanang'ang'ania mtoto haye humu ili wamjue vizuri vizuri mtoto. Baba mtu akasema mambo haya tufanye kwa utaratibu msikurupuke maana kijana mdogo wenu ameshaoa ana mke , mama na dada zake walimpenda mtoto yule wakawa wanataka aje home. Huku kaka yao anazuia, Mwishowe walimtumia nauli dada yule aje home.

Sasa kaka yao katika kuangaika kuangaika mkewe wake akajua kuna kitu hapa kwani alimuuliza mbona kama huko sawa shida ni nini, anakwepa kumwambia simu zilikuwa nyingi sana anapigiwa na dada zake aje home coz dogo kashafika na unaweza usimwambie mkeo tutatafuta namana ya kumwambia mkeo usijali.

Baada ha simu kuwa nyingi na maongezi mkewe si akasikia bwana mazungumzo. Case ikawa kubwa sana.

Kwa kifupi mkewe aliamini familia ilishirikiana kumficha yeye, kuhusu kaka yao kuwa na mtoto. Kwa nzia siku ile ndoa ilikosa amani kabisa, yule Dada alikuwa analia kama kafiwa na mume vile tena mume aliyemtegemea. Daa niliona huruma sana nikikumbuka.

Baba yao akasema niliwaambia case kama hizi inahitaji kuwa na hekima kuzisuruhisha.

Dada zake kama mawifi si unajua wakaanza kusema huyu ni damu yetu atuwezi itupa.

Sasa kuweka sawa ile kesi wazazi wa dogo wakamwambia kuwa wewe endelea na ndoa yenu mtoto hatakuja kuishi kwenye nyumba yenu.
Ila yule dada still aliamini kuwa familia ilimficha kuhusu ilo.
Na aliwaambia hana imani tena na familia yenu na hata kwa mume wake, walijaribu kumshawishi hata kutumia wazazi wake na viongozi wa dini na walimwambia kuwa unandoa ya kanisani. Lakini still alikataa katakata, yule dada alikuwa analia mpaka huruma.

Wazazi wake walimshauri basi aendela na ndoa yenu tuu haina shida mtoto hana shida yoyote ila dada alisema hawezi ishi na mtu ambaye kampa
maumivu makali kwenye maisha yake. Na dada yule kutokana na maumivu na vilio mimba ilitoka ilikuwa na 2 month hivi, kutokana na situation ile.

Mwishowe dogo aligombana sana dada yake akiona kama kamwalibia ndoa yake , tena ngumi kama ngumi na maneno, mpaka leo hawapatani na dada yake. Dada mtu alijaribu kuomba msamaha ila wala.
Kwa kifupi ndoa ilivunjika.

Kama ungekuwa wewe mtu mzima case kama hii unaisove vipi.
Una ishuruhisha kivipi karibuni jamani.

Huyo dada hana sifa ya kuwa mke. Maisha ni very complicated, people must be open minded to survive.

Mfano mimi wakati nipo high school, nilikuwa namla kisela bekitatu wa mtaani. Sasa baadae akaondoka bila taarifa na kipindi kile hata simu za mkononi hamna.

Bekitatu mwenyewe anatokea mkoa mwingine. Kumbe yule dada inaonekana alishika mimba yangu. Toka 2002. Nakuja kufahamishwa 2016. Tena nafahamishwa na kaka ambaye tulikuwa naye high school japo yeye alikuwa mbele yangu. Yule dada alikuwa anafanya kazi kwao na alikuwa kama ndugu wa mbali.

Hizi taarifa nakuja kuzipata baada ya kundi la whatsapp kuundwa, ndo jamaa anashangaa kuniona kwenye kundi, kama utani ananiambia we mjinga ulimtia bekitatu wetu mimba, binti yako amekuwa mtu mzima tayari.

Imagine all that time. Sikuwa na taarifa wala nini coz nilivyomaliza high school nikahamia Dar, baadae nikahamia ughaibuni napoishi mpaka leo.

Tatizo ni mpaka sasa sijakutana na huyo mwanangu coz huyu kaka aliyenipa taarifa ni cha pombe hatari hataki kuniunganisha na mama mtoto. Inawezekana sitamuona mtoto wangu ati.
 
wifi na mama mkwe.
Wangemshirikisha mwali mapema au wangenyamaza tu, mwisho mtoto angemjua tu baba yake
 
Habari jf ni Crala Kidoti tena. Hii issue ilimtokea mdogo wangu mwaka 2019 upande wa baba mkubwa wangu.

Dogo alikuwa na mchumba wa kike aliyedumu nae kwa miaka miwili kwenye uchumba. Hatimaye wakafunga ndoa mwaka 2019 mwenzi wa 3, na mkewe alimpata na kuwa mchumba wake baada ya kuachana na mkaka mmoja hivi.

Na sababu ya kuachana na jamaa yule alikuwa na mtoto tayari aliyempata kabla ya kukutane nae. Yule binti alimchana tuu kwamba yeye hawezi olewa na mwanaume ambaye anamtoto tayari, anapenda kuwa na mwanaume ambaye anatengeneza watoto wao wenyewe.

Bond ikavunjika na mdogo wangu akaanza mahusiano na huyo dada, na walikubaliana kabisa mimi na wewe hatuna mtoto. Walienda hivyo mpaka kufunga ndoa ya kanisani. So, sababu moja wapo ya ndoa kufunga ni sote hatuna watoto.

Sasa ililofika mwezi wa 7 dada wa mdogo wangu huyo ambaye wamezaliwa tumbo moja alitembelea maeneo ambayo dogo alisoma chuo kule Mwanza ambapo alienda kikazi, katika kuzunguka zunguka akakutana na mdada mmoja ana mtoto kafanana sana na mdogo wake ambaye amefunga ndoa mwezi wa 3, na akiangalia yale maeneo mdogo wake ndipo alipokuwa anaishi na ni karibu na chuo.

Sasa dada mtu baada ya mshituko akaamua kwenda kwa dada mwenye mtoto ilikupata data, akamuuliza huyu mtoto baba yake yupo wapi, dada yule akamjibu kuwa kuwa alikuwa anasoma chuoni hapa. Alinipa mimba kipindi amemaliza chuo hapa sikukutanane tena baada ya kuondoka.

Dada akaamini ni mdogo wake kwa sababu kafanana naye kabisa. Akamwambia unaweza kunitajia jina akamtajia jina la mwanzo, likawa jina hilohilo, dada akachukua simu na kumuonyesha picha ya kaka yake, dada mwenye mtoto akasema ndio huyo huyo.

Dada mtu bila kuchelewa akapiga simu home na kuwaeleza kila kitu. Baada ya siku kumaliza kazi yake akaenda kwao na kuwaambia kila kitu na mama akaamua kuwasiliana na dada yule na kuongea naye. Walionyesha picha na dogo kweli walifanana hivyo hivyo.

Sasa familia wakaamua kumwambia dogo kuwa unajua mtoto sehemu fulani, dogo akasema yeye hana mtoto kabisa. Dada mtu akaamua kumwambia kila kitu, dogo alipata mshangao sana. Maana anaelewa makubaliano na mkewe.

Dada za jamaa wakawa wanang'ang'ania mtoto aje home ili wamjue vizuri mtoto. Baba mtu akasema mambo haya tufanye kwa utaratibu msikurupuke, maana kijana mdogo wenu ameshaoa ana mke, mama na dada zake walimpenda mtoto yule wakawa wanataka aje home. Huku kaka yao anazuia, mwishowe walimtumia nauli dada yule aje home.

Sasa kaka yao katika kuangaika kuangaika mkewe wake akajua kuna kitu hapa, kwani alimuuliza mbona kama hauko sawa shida ni nini, anakwepa kumwambia simu zilikuwa nyingi sana anapigiwa na dada zake aje home sababu dogo kashafika na unaweza usimwambie mkeo tutatafuta nmana ya kumwambia mkeo usijali.

Baada ya simu kuwa nyingi na maongezi mkewe si akasikia bwana mazungumzo. Case ikawa kubwa sana.

Kwa kifupi mkewe aliamini familia ilishirikiana kumficha yeye kuhusu kaka yao kuwa na mtoto. Kuanzia siku ile ndoa ilikosa amani kabisa, yule dada alikuwa analia kama kafiwa na mume vile tena mume aliyemtegemea. Dah, niliona huruma sana nikikumbuka.

Baba yao akasema niliwaambia case kama hizi inahitaji kuwa na hekima kuzisuluhisha. Dada zake kama mawifi si unajua, wakaanza kusema huyu ni damu yetu hatuwezi itupa. Sasa kuweka sawa ile kesi wazazi wa dogo wakamwambia kuwa wewe endelea na ndoa yenu mtoto hatakuja kuishi kwenye nyumba yenu.

Ila yule dada still aliamini kuwa familia ilimficha kuhusu ilo na aliwaambia hana imani tena na familia yenu na hata kwa mume wake, Walijaribu kumshawishi hata kutumia wazazi wake na viongozi wa dini na walimwambia kuwa unandoa ya kanisani, Lakini still alikataa katakata, yule dada alikuwa analia mpaka huruma.

Wazazi wake walimshauri basi aendela na ndoa yenu tu, haina shida, mtoto hana shida yoyote ila dada alisema hawezi ishi na mtu ambaye kampa maumivu makali kwenye maisha yake na dada yule kutokana na maumivu na vilio mimba ilitoka ilikuwa na 2 month hivi, kutokana na situation ile.

Mwishowe dogo aligombana sana dada yake akiona kama kamuharibia ndoa yake, tena ngumi kama ngumi na maneno, mpaka leo hawapatani na dada yake. Dada mtu alijaribu kuomba msamaha ila wala.
Kwa kifupi ndoa ilivunjika.

Kama ungekuwa wewe mtu mzima case kama hii unasuluhisha vipi?

Karibuni jamani.
Hiyo mke kimeo, mwanamke ndo anaangaliwa past, mwanaume anaangaliwa future, sasa mtoto wa mwanaume kinakuuma nini.
 
Mikasa Kama hii inaumiza Sana. Binafsi imenitokea Mimi mwenyewe lakin mazingira tofauti ila story Ni hiyo tu na ndoa yangu ya kanisani ikavunjika lakini nikiwa na mtoto ambaye nilimpata sikujua kabla ya ndoa na nikipindi ambapo mchumba alinikataa nikamkubalia nika move on akarudi asamehewe tufunge ndoa nikamuoa sbb na history nae na sikutaka imsumbue peke yake ya kutokupata mtoto mapema.

Aisee inauma Sana yan lakini nimezoea Sasa angalau nna mtoto na yy Hana. Na imani hata pata kamwe na ninamuchukia Sana sbb alinipeleka mahakamani na kunisingizia vitu ambavyo sikuwah kumfanyia kisa ana pesa nilinyamaza kimya na Yesu wangu nikaruhusu hakimu afanye anavoona inafaa.sbb Mungu alinifunulia upuuzi wao na mahakimu wake nikasema hata Yesu aliuzwa.

Yule Dada hata kaa azae si kwa maneno yangu lakin kwa Mimi kukazia hukumu yangu iwe Kama nilivyohukumiwa
 
Dada mtu alijua fika kua akilifumbua hilo ndoa itavunjika na ndivyo alivyotaka na likatokea. Si ajabu wala hakwenda kikazi ila alienda kumtafuta huyo dada baada ya kumuona mahali.
 
Haya mambo ya kuzaa na mwanamke na usijue ni kawaida. Mimi first born wangu nimemfahamu akiwa tayari na miaka 9. Mama yake nilichapa mara moja tu na sikua na muendelezo nae tena. Lakini cha ajabu yeye alikua na means ya kunipata na home anapajua. Alikuja nitafuta kipindi kuna mwanaume anataka kumuoa akampa sharti la kumpeleka mtoto kwa baba yake. Kwa kumuangalia dogo, ni copy yangu, sikutaka vita nyingi. Nikamwambia ampeleke kwa bibi[mama yake mwanamke] then nitaendelea muhudumia.
 
Back
Top Bottom